Drjacka92
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 445
- 522
MY TAKE:
Natumai Kumekucha salama.
Kuwaelewa wazanzibar wanachomaanisha wakiongea ni kwa Msaada wa Mungu tu.
Kufuatia Sherehe za mapinduzi huko Zanzibar, mh. Shein amewapa msamaha baadhi Ya WANAFUNZI ambao walikuwa bado wameendelea Na mafunzo Kwenye vyuo mbalimbali.
Sasa kila nikitafakari Naona ukakasi hivi, Yani amewasamehe Wanafunzi??. Kwa haraka nikaelewa labda wanamaanisha wafungwa, Na ivyo vinavyosemekana vyuo labda Ndio Magereza.
Sasa nimeona nije hapa labda wazanzibar wenyewe watatuelekeza vizuri wanachomaanisha.
Naomba kuwasilisha.
Habari zaidi soma=>LIVE - Yanayojiri Uwanja wa Aman, Zanzibar: Sherehe za kuadhimisha miaka 54 ya Mapinduzi ya Zanzibar