EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
Katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru, kuna mtunzi ametunga wimbo mmoja lakini umekataliwa kupigwa redioni. Sijui hatima ya aliyetunga huu wimbo lakini umebeba maudhui makubwa tuu hasa katika kuadhimisha miaka 50 ya uhuru na ni bora watu wengi wakausikiliza huu wimbo. Sikiliza au jipakulie wimbo wenyewe hapo chini. Nawatakia wote miaka 50 ya uhuru.
[JFMP3]View attachment Miaka 50 ya Uhuru -King Pao.mp3[/JFMP3]
[JFMP3]View attachment Miaka 50 ya Uhuru -King Pao.mp3[/JFMP3]