pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,035
- 15,242
hahahaaaaaaaaa! sasa mnakereka nini yeye kuwepo kwa matakwa ya wana CDM? nyie mna lichama lenu? komaeni nalo kwa sana japo linaumwa ule ugonjwa mbaya kabisa!
i mean huyu mbowe ni mkuu wa chama mkuu but wale ni wakuu wa nchi ,maana sasa tusije tukamu include kwajima mkuu wa ufufue na uzima church then tukafika hadi mpk kwa kadinali pengo kama isuue ni tym,so naona kama hawa kina museveni kagame wapo kwe category yao,afu mkuu hapa kwa akina mugabe naomba tumuongeze na putinIts matter of tym mkuu soon atafall huko hata mugabe alikuwa 12 kama mbowe
Shikamoo mkuui mean huyu mbowe ni mkuu wa chama mkuu but wale ni wakuu wa nchi ,maana sasa tusije tukamu include kwajima mkuu wa ufufue na uzima church then tukafika hadi mpk kwa kadinali pengo kama isuue ni tym,so naona kama hawa kina museveni kagame wapo kwe category yao,afu mkuu hapa kwa akina mugabe naomba tumuongeze na putin
heshima yako kakaShikamoo mkuu
Zitto ana bahati. Ule mkwara wake kwamba kaaga kwao na atakayejaribu kumdhuru kwake mpaka panya watateketea naona ulimsaidia. Otherwise huyu mwenyekiti wa maisha angekuwa amesham-Chacha Wangwe!I see kaka Zitto hapo ndipo alipoanza kuonekana msaliti, hahahaha siasa bado Africa
Lini mtaachia? Kwenye siasa kuna kuachia? Ulishaona wapi chama kinaachia tu? May be siku wakipatikana wapinzani wa maana na siyo hawa wababaishaji vingunge wa ufisadi na gia zao feki za angani.kweli nyani haoni kundu lake, vipi kuhusu nyie Chama cha Makaburu lini mtaacha kuifanya zenji km koloni? Lini mtaachia wengine waitawale Tanganyika,
JK anajulikana lini ataachia ngazi, huyo Mbowe upo uwezekano ukifika wakati mwingine wa uchaguzi katiba ikabadilishwa tena. 2014 ulikuwa ndio uwe mwisho wa vipindi vyake viwili vya uongozi. JK hajawahi kushinikiza katiba ya CCM iguswe eti kwa sababu ya yeye kuendelea kuwa mwenyekiti wa CCM.Mugabe - Raisi (1980 ........
Museveni - Raisi (1986 .......
Mbowe - Mwenyekiti wa Chama (2004 .....
Jk - Mwenyekiti wa chama (2005 ......
Tafakari
JK anajulikana lini ataachia ngazi, huyo Mbowe upo uwezekano ukifika wakati mwingine wa uchaguzi katiba ikabadilishwa tena. 2014 ulikuwa ndio uwe mwisho wa vipindi vyake viwili vya uongozi. JK hajawahi kushinikiza katiba ya CCM iguswe eti kwa sababu ya yeye kuendelea kuwa mwenyekiti wa CCM.
Sihitaji kutulia mpaka JK atoke madarakani. Utaratibu wa CCM siku zote haukiukwi kwa sababu eti ya matakwa ya kiongozi wa juu. Mbowe keshapitiliza muda wake kwa miaka miwili, ndio maana nimetoa onyo yasijekuwa kama yale ya kina Mugabe na Museveni. Mbowe asipogombea tena utakuwa ni ushindi wa dhana nzima ya demokrasia, na actually neno CHADEMA litakuwa limeheshimiwa kwa sababu ile DE inawakilisha demokrasia.Kwa hiyo tulia mpaka JK atoke madarakani ndio uje na hoja yako. Usiwe mtabiri wa kwa upande wa Mbowe. Je Mbowe asipogombea tena utasema nini ?
Ambaye bado hana uwezo hawezi kukabidhiwa nchi kirahisi tu. CCM ina succession plan kubwa sana, imelea wanasiasa wengi ambao hurithishana nafasi za uongozi kadri kizazi kimoja kinavyoonyesha kupevuka kisiasa. CHADEMA inapaswa kujenga misingi ya uwezo wa chama kuwa na uwezo wa kurithishana uongozi. Majina ya Lowassa na Membe yanakatwa halafu bado anakuwepo mtu mwenye uwezo kama JPM, Lowassa kaenda CHADEMA na kupata kura milioni 6, naamini hata Membe kama angeenda upinzani angeweza kupata kura nyingi tu. Yaani CCM kwa sababu ya ubora wake katika kuandaa vizazi vya viongozi, haitetereki hata wanachama wenye ushawishi wanapoondoka.Ni kweli ulichosema ila usisahau na ccm imekaa madarakani muda mrefu sana nayo inatakiwa kupumzika 1977- 2016
Mbowe ndoto zake ni Kuikabidhi TZ chini ya CHADEMA basi na ataachia nafasi ya uenyekiti bila shida.
Inachotakiwa ni ninyi ccm kukabidhi madaraka kwa CHADEMA Tanganyika na CUF kule Zanzibar over!
Hivi Mkurunzinza alikuwa kiongozi wa chama cha upinzani au Tawala? Nadhani Mkurunzinza ni patner na Dr.Shein na ccm yakoJamaa na Mkurunzinza ni partners
Hata shein nae ni MkurunzinzaHivi Mkurunzinza alikuwa kiongozi wa chama cha upinzani au Tawala? Nadhani Mkurunzinza ni patner na Dr.Shein na ccm yako
Nimemlinganisha na hao viongozi wa nchi kwa sababu wote wamefanya dhambi ile ile moja. Kutengeneza mazingira ambayo yanawafanya wanabakia kwenye madaraka. Mbowe alipaswa kuachia uongozi mwaka 2014, ukiwa ni mwaka wa kumi tangu akabidhiwe chama. Yeye katengeneza mazingira ya kubadili kifungu cha katiba ili aendelee kuwa mwenyekiti. Akili yangu ninaitendea haki siku zote, ndio maana nipo tayari kujenga hoja kwa kuulinganisha ujanja wa CHADEMA katika kumuongezea muda mwenyekiti wao na ujanja wa madikteta wa Afrika kina Mugabe na Museveni.Mtoa mada hujamtendea haki Mbowe kwa kumlinganisha na viongozi hao uliowataja maana vigezo havilinganishiki.. Haki ingekuwa kumlinganisha na Mrema, Cheyo, au basi wenyeviti wa vyama vyote vilivyoanzishwa 1992-2000, nani bado anashikilia uenyeviti. Namshauri mtoa mada aitendee haki akili aliyopewa na mwenye enzi Mungu.
Ili CHADEMA muweze kufikiriwa kupewa uongozi wa nchi inabidi mjijenge ili ndani ya chama muwe na watu walioandaliwa kwa miaka mingi. Miaka 39 ya CCM huwezi kulinganisha na ukongwe wa kina Republican na Democrat