Miaka 33 jeshini nakubalika?

Miaka 33 jeshini nakubalika?

Habar,
Mm ni kijana wa miaka hyo hapi juu natamani sana kuingia jeshini!
Elimu yangu n bachelor degree!
sasa kwa huo umri naweza pata ??
Kama siwezi nifanyaje au nitumie mbinu gan?

NAAMINI LAZIMA KUTAKUA NA EXCEPTION


NB: Najua limit n 20’s
Mkuu nenda US unakubalika kwa roho nyeupe kwa East Africa..mtafute Miki Wilson atakupa mchongo...........pia Russia na Ukraine.
 
Habari,

Mimi ni kijana wa miaka hyo hapi juu natamani sana kuingia jeshini!

Elimu yangu n bachelor degree!
sasa kwa huo umri naweza pata?

Kama siwezi nifanyaje au nitumie mbinu gani?

NAAMINI LAZIMA KUTAKUA NA EXCEPTION

NB: Najua limit n 20’s
Nafasi zimetoka nini za ajira jeshini?
 
Jeshi sio ajira rafiki yangu...futa ndoto za kulitumikia wengi walioko majeshini jeshi limewajeruhi vibaya...asilimia kubwa wanajuta hata kulifahamu...ile nguo kuivaa ni raha kweli Kwa msiojua kinachoendelea...

ila haki vile fanya mambo mengine siku shauri uingie jeshini huo umri ni mdogo sana unaweza kuingia hata kesho ukibahatika ila. Narudia tena siku shauri ujiunge na mambo yoyote ya Ulinzi iwe Jeshi, polisi, uhamiaji, magereza, Usalama na hata Usu...usisubutu... Mimi nimeweka Nia kuwa katika kizazi changu Mimi ndio nitakuja mlinzi wa mwisho...

Mwisho wa hao watu Huwa ni mbaya.. ebu tafuta wastaafu wa jeshi walio mtaani kwako harafu uniambie maisha Yao yakoje...?​
 
Mgambo vipi? maana kaelimu kako katakubeba.
Nb: kwa umri huo unaweza kuingia by profession.
 
Habari,

Mimi ni kijana wa miaka hyo hapi juu natamani sana kuingia jeshini!

Elimu yangu n bachelor degree!
sasa kwa huo umri naweza pata?

Kama siwezi nifanyaje au nitumie mbinu gani?

NAAMINI LAZIMA KUTAKUA NA EXCEPTION

NB: Najua limit n 20’s
Kwa umri huo ungekuwa na masters ili uende kwanza jkt ila kama utaenda moja kwa moja jwtz bila kupitia jkt unafaa mpaka 35 kwa elimu yako
 
Habari,

Mimi ni kijana wa miaka hyo hapi juu natamani sana kuingia jeshini!

Elimu yangu n bachelor degree!
sasa kwa huo umri naweza pata?

Kama siwezi nifanyaje au nitumie mbinu gani?

NAAMINI LAZIMA KUTAKUA NA EXCEPTION

NB: Najua limit n 20’s
Jeshi la nchi gan??? Km vp kakinukishe Wagner
 
haya mambo mda sio mrefu najichomoa, tafakari kuna tatizo alafu mnaenda kumudhibiti anaelisababisha, huyohuyo wenda kajipanga kama wew au zaidi yako tena ukute una stress za hapa na pale dah.
 
Back
Top Bottom