Miaka 20 bila promotion, Wanataka niwe mzalendo!

Miaka 20 bila promotion, Wanataka niwe mzalendo!

Mkuu umechelewa sana miaka yote hiyo ungejiajiri ungekuwa mbali sana wala usingekuja na uzi wako wa kulalamika hapa. Mimi nimeajiliwa mwaka 2015 na nina mpango wa kutoendelea na ajira baada ya miaka kumi.
Hata wewe utachelewa sana
 
Back
Top Bottom