kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 4,604
- 6,622
Wanaosema roho inaenda mbinguni au motoni hayo mawazo wametoa wapi?
(De jávù) i.e Umewahi kuishi kwenye mazingira hayo au yanayofanania na hayo kwenye uhai wako uliopita. Endapo itatokea zaidi ya mara mbili katika hali ile ile, itakuwa rahisi kuanza kutambua ulikuwa nani na ulifanya nini uhai uliopitaMimi kuna ile hali inanikuta kikitokea kitu au nikifanya kitu akili yangu inaniambia hilo tukio nilishawah kulifanya kabla yaani kila kitu kinachotokea nahisi niliwahi kufanya kabla
Hii inahusiana vipi je ni hisia tu au ndiyo nafsi imejirudia
Wakati tunapata uhuru tulikuwa 2 million now tuko more than 60 million izi roho zingine zimetoka wapi?
AiseeddEbu tusichoshane aisee
Mkuu salama??Kuna watu wengine wanazaliwa na birth mark , mfano mimi nina kumbukumbu hunijia, nilikuwa miongoni mwa wale waliokufa kwenye vita 1 ya dunia , nilipigwa risasi kwenye shingo, unfortunately hiyo alama ipo hadi leo just around my neck as birth mark
Nimezaliwa nayo
This means my soul ilitransfer some of the genetic DNA into this body I have now
Soul inaweza kuhama na baadhi ya old genetic information
Sad but true
Ndio maana watu kama bush Putin na wengineo ni wale wale tu kama watawala wa zaman
Mkuu kabla ya yoteKuna roho nyingi awaiting kuliko miili
Kimsingi hata hiyo idadi unayosomewa sio actually learn
Hii kitu ina make sense kuliko huko jehanam na peponi kwenu
Eti mtu akifa anaenda moton kuchomwa moto dah
"Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.Baba yangu aliyefariki 2001 , baada ya kufa kwake tukiwa tunawasiliana kwa ndoto mara kwa mara.
Baada ya miaka 15 ya kifo chake aliniaga kwamba roho yake imewekwa kwenye mnyama fulani hapa sitamtaja.
Na akaaniambia wazi hicho ulichokiandika hapo juu.
Hivyo ni kweli kabisa
Au Vinginevyo tuandamane kushinikiza Hoja yetu.Mia ni mingi tuombee ipunguzwe angalau iwe mitano jamani!
Let say umezaliwa kama NGAMIA.then ukachinjwa na kuliwa nyama,roho yako inaenda wapi tena?Sio tu wa kike, kuna baadhi ya wanyama selective ambao roho yako inaweza kuwa humo. Baadhi yao ni ngamia, nyoka, sokwe, paka, fisi, n.k
I.e Unaweza kuzaliwa kama ngamia pia
what did you feel.?Baba yangu aliyefariki 2001 , baada ya kufa kwake tukiwa tunawasiliana kwa ndoto mara kwa mara.
Baada ya miaka 15 ya kifo chake aliniaga kwamba roho yake imewekwa kwenye mnyama fulani hapa sitamtaja.
Na akaaniambia wazi hicho ulichokiandika hapo juu.
Hivyo ni kweli kabisa
Mamndenyi na wewe pia unatupanga?Baba yangu aliyefariki 2001 , baada ya kufa kwake tukiwa tunawasiliana kwa ndoto mara kwa mara.
Baada ya miaka 15 ya kifo chake aliniaga kwamba roho yake imewekwa kwenye mnyama fulani hapa sitamtaja.
Na akaaniambia wazi hicho ulichokiandika hapo juu.
Hivyo ni kweli kabisa
Inarudi kwenye LRP Zone kisha ina-count miaka 100 mingineLet say umezaliwa kama NGAMIA.then ukachinjwa na kuliwa nyama,roho yako inaenda wapi tena?
ccm oyeeBaba yangu aliyefariki 2001 , baada ya kufa kwake tukiwa tunawasiliana kwa ndoto mara kwa mara.
Baada ya miaka 15 ya kifo chake aliniaga kwamba roho yake imewekwa kwenye mnyama fulani hapa sitamtaja.
Na akaaniambia wazi hicho ulichokiandika hapo juu.
Hivyo ni kweli kabisa