Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Najua hilo jamanii dearIla kumbuka mimi ni ndugu yako
Ila kama ushaanza kusikia na sauti jamani, nitaambia nini watu mimi
Najua hilo jamanii dearIla kumbuka mimi ni ndugu yako
Nimseme hapa?!Nani huyoooooo
Hahhaha mzee huyo kiboko ako na sauti tamu
Haya sasa
HahahahahahSasa ukinifungulia uzi dada ananijua nani humu zaidi ya watu kujua I'd ya shunie
Uje mazawadi yanguHahaha ebu ngoja tuone
Hebu initumie wasap jamaniHahhaha mzee huyo kiboko ako na sauti tamu
Najua hilo jamanii dear
Ila kama ushaanza kusikia na sauti jamani, nitaambia nini watu mimi



Nimecheka kwa sauti siwezi kukusaliti hata wewe ni ndugu yangu
Hapana bwana ukuje wassapNimseme hapa?!
Nimecheka kwa sauti siwezi kukusaliti hata wewe ni ndugu yangu







Sawa watanichamba na kivuli hawanijui hataHahahahahah
Hujui wanavyochamba eeehh
Nilikuwa najitahidi kiasi chake...mimi ndio wale ukiniona utanidharau ila tukianza kucheza hutaamini kitakachokupataUmenikumbusha Rajon Rondo wa wakati ule. Alikuwa na pasi za hatari, akikupiga hiyo fake sasa utatamani kuomba sub. Nini Imani nawe ulikuwa machachari kama yeye mpaka ukapewa hilo jina.
Hahhaha sauti ya kuniuliza tu zawadi nimepata
Ndugu eeeh, tatizo umeanza kusikia sauti jamani
Ndo hiyo siku utajua kuwa hawajui!Sawa watanichamba na kivuli hawanijui hata
Sanaaaaa
Uko na maakili mengii
Ndo hiyo siku utajua kuwa hawajui!
Jaribu kupotea na zawadi zangu uone





NdiwoooHahhaha sauti ya kuniuliza tu zawadi nimepata