Miaka 10 ndani ya JF

Miaka 10 ndani ya JF

Umenikumbusha Rajon Rondo wa wakati ule. Alikuwa na pasi za hatari, akikupiga hiyo fake sasa utatamani kuomba sub. Nini Imani nawe ulikuwa machachari kama yeye mpaka ukapewa hilo jina.
Nilikuwa najitahidi kiasi chake...mimi ndio wale ukiniona utanidharau ila tukianza kucheza hutaamini kitakachokupata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom