Jaman hivi ni kwel tunaamina rais tunayempenda sis dk slaa akishinda atatangazwa mshindi. Nan kawateuwa viongoz wa tume ya uchaguz tuweke watu wenye msimamo, kwenye kulinda kula hawa watu watatumia hata ushilikina.mi naomba tunipange
Ushirikina!!!
Ndugu tupo imara sana, sana kwa masuala hayo ya kishenzi, kabila ya tarehe mosi dunia itastaajabu aibu watakayoipata wote walifunga hirizi viunoni wakitarajia kuchukua uongozi wa taifa kupitia kuzimu walikoapishwa.
tume ya taifa ya uchaguzi/nec ni chombo huru licha ya kuteuliwa na rais; hivyo usihofu hawawezi kuwasaliti watanzania kama ile ya kenya ilivyofanya.
Na ndio maana uwanunua mawakala wa vyama pinzani!