Ee KIKWETE Uliye tufilisi, Jina lako USANII MTUPU, utakalo lifanyike BAGAMOYO TU,
utupe leo mabilioni yetu ya EPA, uwapeleke MAFISADI wote Mahakamani, uwape
WASTAAFU pesa zao, uwasamehe wafungwa hasa BABU SEYA kama ulivyomsamehe
LOWASA, Usitutie katika mikataba FEKI, kwa kuwa UFISADI ni fani yako na uwongo hata
milele, na Uanguke kwenye uchaguzi ujao kama unavyoanguka hovyo jukwaani…
"AMINA"
Tanzania yenye neema inawezekana changua mabadiliko – Changua CHADEMA
www wilbrodslaa com
mmmmmmmmmmmmmmmmm naomba KIKWETE ASOME HII SALA NI YAKE KABLA HAJAWAZA KUTUMIA NGUVU ZAIDI!!!!!!!!!!!!!!!!:decision: