Mi naona kikwete atatumia nguvu

Safre

JF-Expert Member
Sep 2, 2010
273
36
Jaman hivi ni kwel tunaamina rais tunayempenda sis dk slaa akishinda atatangazwa mshindi. Nan kawateuwa viongoz wa tume ya uchaguz tuweke watu wenye msimamo, kwenye kulinda kula hawa watu watatumia hata ushilikina.mi naomba tunipange
 
yeah, for the first tym we gonna build a rome in a day. jus weka tiki kwa DR SLAA.
 
tume ya taifa ya uchaguzi/nec ni chombo huru licha ya kuteuliwa na rais; hivyo usihofu hawawezi kuwasaliti watanzania kama ile ya kenya ilivyofanya.
 
Jaman hivi ni kwel tunaamina rais tunayempenda sis dk slaa akishinda atatangazwa mshindi. Nan kawateuwa viongoz wa tume ya uchaguz tuweke watu wenye msimamo, kwenye kulinda kula hawa watu watatumia hata ushilikina.mi naomba tunipange


Ushirikina!!!
Ndugu tupo imara sana, sana kwa masuala hayo ya kishenzi, kabila ya tarehe mosi dunia itastaajabu aibu watakayoipata wote walifunga hirizi viunoni wakitarajia kuchukua uongozi wa taifa kupitia kuzimu walikoapishwa.
 
Ushirikina!!!
Ndugu tupo imara sana, sana kwa masuala hayo ya kishenzi, kabila ya tarehe mosi dunia itastaajabu aibu watakayoipata wote walifunga hirizi viunoni wakitarajia kuchukua uongozi wa taifa kupitia kuzimu walikoapishwa.

Hirizi kwa Dr.Slaa hazina nguvu zinasambaratishwa kiurahisi zinawarudia wao na kuwadhoofisha.
 
Kama anataka yatokee yale yaliyotokea Kenya, basi ajalibu kutumia nguvu.Nchi haitatawalika na The hegue itamsubiri kwa hamu kubwa.Jk ni kama chui wa karatasi hatishi!
 
Hata mimi simuamini sana Huyu Mkwele, mbona kama vile kakaa kishari shari hivi....ogopa mtu anayejichekelesha na kukenuliwa meno, si rafiki hata kidogo..MUNGU sikia maombi yetu.

Jana nilisikiliza kwa ufasaha sana Hotuba ya Kakobe, kweli ilikuwa nzuri na iliyojaa positive mtazamo,, kweli thithiemu hawana lao tena,
 
Tuwasilishe kura yetu tusiogope japo ccm wanasema ushindi ni lazima maana yake wako tayari kumwaga damu km walivyofanya zanzibar............tuko tayari kuuawa kwa ajili ya mabadiliko...........kikwete ondoka
 
naona Wajukuu wa slaa mashawaza mbali saaaana kushika mitutu ya bunduki!! OLE WENU!!
 
tume ya taifa ya uchaguzi/nec ni chombo huru licha ya kuteuliwa na rais; hivyo usihofu hawawezi kuwasaliti watanzania kama ile ya kenya ilivyofanya.

Na ndio maana uwanunua mawakala wa vyama pinzani!
 
Ee KIKWETE Uliye tufilisi, Jina lako USANII MTUPU, utakalo lifanyike BAGAMOYO TU,
utupe leo mabilioni yetu ya EPA, uwapeleke MAFISADI wote Mahakamani, uwape
WASTAAFU pesa zao, uwasamehe wafungwa hasa BABU SEYA kama ulivyomsamehe
LOWASA, Usitutie katika mikataba FEKI, kwa kuwa UFISADI ni fani yako na uwongo hata
milele, na Uanguke kwenye uchaguzi ujao kama unavyoanguka hovyo jukwaani…
"AMINA"
Tanzania yenye neema inawezekana changua mabadiliko – Changua CHADEMA
www wilbrodslaa com

mmmmmmmmmmmmmmmmm naomba KIKWETE ASOME HII SALA NI YAKE KABLA HAJAWAZA KUTUMIA NGUVU ZAIDI!!!!!!!!!!!!!!!!:decision:
 
Tume ya uchaguzi usifikiri hawaoni upepo unavyovuma dhidi ya bosi wao JK. kazi ya JK iliyobakia ni kuwarubuni wahesabu kura akishindwa hapo hilo ni baooooooooooooooooooo.

Kazi ya Chadema ni kuwa waangalifu katika uteuzi wa wahesabu kura na kuchagua watu waliotosheka na ambao hawawezi kubabaishwa na vijisenti vya Bw. JK ambaye yupo tayari kuiuza hazina ili mradi tu yeye atangazwe mshindi.

Hivi sasa serikalini kazi zote zimesimamishwa na hela yote inaelekezwa katika kuokoa jahazi la JK lisizame
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom