October 29
JF-Expert Member
- Nov 5, 2024
- 3,143
- 4,445
- Thread starter
- #141
Oooh! Kwahiyo haupo serious kwamba unataka house for rentndio familia yangu hii
Oooh! Kwahiyo haupo serious kwamba unataka house for rentndio familia yangu hii
natakaOooh! Kwahiyo haupo serious kwamba unataka house for rent
hautaki auwin bana 😀 😀
Natakahautaki au
Sawanataka
Oknataka
Elfu sabini yenye choo ndani?? Ni nadra mkuu... labda kuanzia laki moja unapata masta...labda kubahatisha... ngojea dogo akuchekie aingie kitaanahitaji chumba cha kupanga maeneo ya tegeta dau langu 70000single n iwe self
Poapoanakuja inbox
Mwenye kuhitaji chumba cha kupangisha maeneo ya Vijibweni kigamboni mjini Dares-Salaam awasiliane na namba ya simu 0658 217 288Habari wakuu,
Anaeitaji nyumba/kiwanja/ chumba maeneo hayo kwajili ya kupanga, MAENEO KUANZIA Afrikana,mbuyuni,Tegeta, Skanska, mji mpya kule chini zamani machimbo ya mawe,kwasasa kumejengeka sana,Chumba kimoja master chenye jiko kuanzia Elfu themanini, laki moja hadi laki na hamsini.
Chumba sebule chenye choo ndani, ,kuanzia laki mbili, nyumba nzima pia zinapatikana.
Na Mwenye kuitaji vyumba, nyumba maeneo ya mapinga pia.
Cont:+255672324777
Sawa bossMwenye kuhitaji chumba cha kupangisha maeneo ya Vijibweni kigamboni mjini Dares-Salaam awasiliane na namba ya simu 0658 217 288
nilishapataga kitambo,kuna mtu nilikuwa namtafutiaJamaa hajibu PM jaribu kuconnect naye
Oknilishapataga kitambo,kuna mtu nilikuwa namtafutia