Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,635
- 7,918
Jibu lako ni moja vile vile,ACHA KUIGA MFUMO USIOUWEZA! unazungumzia mfumo tofauti kabisa wa maisha,kabla ya kuupa umma stock options ni lazima uhakikishe kuwa umma huo una uwezo wa kununua hizo shares.Sio kujifunza tu,uwezo wa kununua shares watanzania wengi hawana,hivyo basi kwanini makampuni ya binafsi hayauzi shares zao hapa tanzania?Mkuu,
Mchambuzi nadhani jibu lako ni moja Ondokana na siasa za kijamaa. Kwa mujibu wa maandishi yako hicho unachokipendekeza ni vigumu sana kutokea na kitakuwa vigumu kutekelezwa. Hata huko marekani walipoanzisha stock markets kuna wengine waliingia darasani kujifunza stock market inafanyakazi vp kuna wengine walijifunzia mtaani mfano mzuri ni Rockefeller, Phillip Fisher, Jesse Livermore na wengineo wengi walikuwa hawana a formal education but they manage to penetrate into the industry and emerged themselves as top investors.
Sikubaliani na ushauri wako wa groups in ownership of public corporations. Hilo litasababisha wafanyakazi wafanye kazi mategemeo ya kupata stock options. Hii ni hatari kwani itachangia kukua kwa risk taking behavior among staff of the company. Vile vile itajenga kingdoms kwenye kampuni kitakachochangia kuongezeka kwa ufisadi. Ni vema waruhusu umma umiliki kampuni kupunguza uwezo wa mtu mmoja kutawala maamuzi ya kampuni.
Na asikudanganye mtu kuna makampuni hata marekani ambayo shares zake zinamilikiwa na wafanyakazi,mfano ni HYVEE FOOD STORES na makampuni mengi tu yanakupa stock options as a benefit!
Unajua wenzetu wamepata mali nyingi sana kwa kutumia migongo yetu,lakini mtu kama wewe unaona ni stories tu!....haya mataifa pamoja na kuwa na rasilimali nyingi nchini mwao,wamekuwa na mirija mingi ya kiuchumi na wametawala nchi nyingi tu kwa kutumia makampuni yao nadhani umeshasikia hiyo,pia hawakutosheka wakaja kununua watu ili wakawafanyie kazi kwao(slavery) kwa hiyo wewe na waziri wako kivuli wa fedha msitake kutufanya sisi ni wajinga!...mwambie apiganie kuondolewa kwa posho za wabunge na mawaziri kama ilani ya chama chake inavyoisema la sivyo come 2015 we gonna spend all of our time making sure they don't get any decision-making spots......shame on yall! pseudocapitalists,stop copying what you cant do!!