Mheshimiwa Zitto Kabwe

Who told you Zitto anajilipa mwenyewe?kwa taarifa yako halipi kwa fedha zake za mfukoni..
Kwani hawezi kujilipia jamani acheni mambo hayo.

Huyu kijana ni mbunge kwa mshahara na marupurupu anweza kujilipia kwani amekuwa mbunge kwa kipindi ambapo inawezekana alikuwa anadunduliza visenti ili aweze kutimiza azma yake ya elimu [siyo kununua mashangingi kama wengine]

Tunastahili tumpe pongezi kwa kuweza kushughulikia kero za jimbo lake,taifa na wakati huohuo kujiendeleza kielimu.
 
Sikujua kuwa Mh. Kabwe naye yuko njiani kupata Phd!atapata tu.Hivyo vyuo viwili ni private
,vilianzishwa mwaka 2000 na watu wawili named after the colleges.Sio full fledged University,
Ujerumani kinaitwa Hochscule.Vyuo hivi vinatoa combine masters ya business and law,hivyo
vinashirikiana.

Kama Mh atakuwa amemaliza Masters huko,it means alikuwa full time kwa mwaka mmoja,
sijui wananchi wa kigoma kaskazini wanajua mbunge wao alikuwa full time huko,au akina sam six wanaweza kuruhu serving MP kusoma ujerumani wakati also yuko kwenye kamati
nyeti za bunge.Ukiangalia hii masters ni mwaka mmoja full time.

ada ya kusoma (tuition) ni EURO 22000/= kabla ya living costs!Ukiconvert kwa hela ya madafu ni rate ya Tshs 1800 kwa euro ni Tshs 39,600,000/= karibu millioni Tshs 40millioni.

Ndiyo huyu wabongo ndio tunamwona ni anti -ufisadi,you are jocking!
You have personal problems with Zitto, tatizo ni Eur22000 au ni nini?
Do you know who pays that fee?
Did you ask Zitto?
You did an analysis but you had put a wrong conclusion which doesn't match your analysis!!!!!
 
Msimsumbue Zitto! Yeye ni mtu makini zaidi ya vijana niliokutana na kuongea nao. Nina ilmani amepata msaada wa kusoma na wala si kwamba fedha hizo anazitoa mfukoni. Msimvuruge mtoto wa watu, mwachie asome kwa amani.

Usiwasikilize Zitto, songa mbele na walal usirudi nyuma!
 
You have personal problems with Zitto, tatizo ni Eur22000 au ni nini?
Do you know who pays that fee?
Did you ask Zitto?
You did an analysis but you had put a wrong conclusion which doesn't match your analysis!!!!!
CHUKI BINAFSI imemfanye ahitimishe vibaya.
Jamani let us be objective. **** tunafanya analysis ya kitu basi tuachie logic iamua conlusion na siyo kuwa personal
 
Nanu,i have no problems with Zitto!
As a free man with free minds i have the right to write anything without offending anybody.
Naona hujanielewa mpak sasa.
 
Luteni cool down,hii ni free media sio kama uhuru na mzalendo.hapa tunatoa maoni ,hakuna gagging.Jilulize haya:
1.huyu ni serving MP,anaruka kusoma ulaya kwa chuo private ,kinatoza millioni 40 kwa mwaka.Bila shaka Kigoma kaskazini kuna kids wanakaa chini darasani!Kama kuna watu wamemponsor (sio govt) unaquestion independence yake,yeye kama mtu nyeti katika kamati ya bunge.je hawa wanaomsponsor ni lobbyists?
2.je bunge linamruhusu mtu analipwa fortune kuwasilisha wananchi wa kigoma,huku akisoma ulaya at the same time?

naona hii ni Tanzania tu,hata wapopo hawafanyi haya mambo

Br. Mmakonde ( kama wewe ndiye huyu, hongera sana bwana :D)

I perfectly understand your concerns ila hapa wandugu wataku-bash tu, na katu usitegemee any constructive arguments. Lakini nimekuelewa 100%. Na nita-iterate hoja zako kwa jinsi ninavyoziona.

1. Hoja yako kuhusu fee ya hiyo shule ya bwana Zitto..(au kama wenyewe tabaka tawala wanavyopenda waitwa Mh.Zitto). Hoja yako ni kwamba kama anajilipia hii fedha na au analipiwa. Hoja hii haina mashiko, maana kuna mipaka kati ya mbunge na private citizen. Private citizen anamaamuzi yake kuhusiana na mali yake jinsi gani ai-spned provided havunji sheria. Na ubunge ni vilevile. Kama ungekuwa na uhakika kuwa kuna kasma ya ubunge inatolewa majimboni na Bw. Zitto anaitumia kujisomesha Ujerumani hapo ungekuwa na hoja ya haja. Nadhani kwa hili umepotoka.


2. Hoja yako ya pili kuhusu kujishughulisha kwake ktk masomo na uwakilishi wake, anawezaje kuugawa muda kuwatumikia mabwana wawili. Nadhani hapa na-side na wewe. We had the same concern kwa Magufuli et al na maPhD yao. Kuna suala la uwakilishi legelege na pia kuna suala la mafao ya kibunge ambazo ni kodi za wadanganyika zinateketea. Kwa ujumla bwana Zitto ni aina ileile ya watu ambao ni mzigo kwa taifa na watu wajanja wajanja wanaoseek opportunity. Na ndio sifa kuu ya wanasiasa wa Tz. Ubinafsi.

Muundo wetu wa kisiasa is a big joke. Na ndio maana wabunge hawajui majukumu yao na hakuna anayejali. Hawahudhurii vikao vya bunge au wakihudhuria hawachangii, au wakichangia wanachangia pumba. etc etc.

Hii inanipelekea kuamini Tz bila siasa itapiga hatua kubwa sana za kimaendeleo. Just imagine ni mamilioni mangapi yanateketea kwa maigizo ya pale Dodoma??

Nways, naona imetosha.
 
Abdulhalim,at least umeniunga mkono ,naona posters wengi hapa hawataki kusoma my main point.Ukiangalia post zangu nimehoji Phd ya Magufuli,lakini naona kuna UDSM Vs Mzumbe
situation.Watu wa UDSM wamemsupport Magufuli na nikawauliza kama Nchimbi say akipata
Phd Mzumbe watalalamika?

Nilikuwa na points 2 kwa Magufuli:
1.Kama serving Cabinet Minister with wizara nyeti,aliwezaje kumaliza Phd kwa miaka 3 tu?
Eti alikuwa lab weekends hadi saa saba usiku(what a rubbish).Hiyo sio full time.
Part time Phd ni 5 -6 years,kwa any standard University.
2.nasikia supervisor wake alikuwa Nkunya???????si japrove kama ni Nkunya au other friend,hapa ,if so Nkunya yuko TCU
kujaribu kusort out ubora wa elimu wa versities including Phd holders.
Independence na objectivity inakuja hapa.
 
Luteni cool down,hii ni free media sio kama uhuru na mzalendo.hapa tunatoa maoni ,hakuna gagging.Jilulize haya:
1.huyu ni serving MP,anaruka kusoma ulaya kwa chuo private ,kinatoza millioni 40 kwa mwaka.Bila shaka Kigoma kaskazini kuna kids wanakaa chini darasani!Kama kuna watu wamemponsor (sio govt) unaquestion independence yake,yeye kama mtu nyeti katika kamati ya bunge.je hawa wanaomsponsor ni lobbyists?
2.je bunge linamruhusu mtu analipwa fortune kuwasilisha wananchi wa kigoma,huku akisoma ulaya at the same time?

naona hii ni Tanzania tu,hata wapopo hawafanyi haya mambo


Hivi wewe tatizo lako ni nini mbona hutujakusikia ukisema John Magufuli kusoma miaka mitatu Full time course wakati ni mtumishi wa umma viongozi wangapi wamesoma wakati wanashikilia ofisi za umma kwa zitto hasa umeona nini leave that selfishness

Wananchi wa kigoma wamekuuma nini leo wakati wana matatito yao miaka nenda rudi mbona hatujakusikia ukisema umeona zitto kwenda kusoma ndio watateseka sana kwani asingeenda angemaliza matatizo yao

halafu mbona mawaziri huwa wanaacha ofisi zao na kwenda kwenye kampeni mwezi mzima hatujakusikia ukilalamika eti kids wanakaa chini kwani akiwepo zitto ndipo atamaliza tatizo acha zakuleta kwanza umejinukuu maneno na kusingizia ya zitto it is a fake thread
 
Asante Mkuu, naelewa yote hayo kwamba anything baada ya bachelors degree ni postgraduate study (ukiondoa short courses). Swali langu ni hili, hiyo ya kwake ni nini? (maana amesema tu second postgraduate). Umeziorodhesha hapo, sasa yeye anasoma postgraduate study ipi?

Kwenye bold hapo.
Tupo pamoja mkuu. Ndio maana nikajitolea kuziorodhesha hapo ili atuambie. Si unajua kuna watu wengine kujibu maswali ya: "what? which? how?" hawawezi,ila ukimpa multiple choice ndio anajibu chap chap, sasa achague tu mwenyewe. Anaweza kutick au kubold jibu lililo sahihi.
 
Sikujua kuwa Mh. Kabwe naye yuko njiani kupata Phd!atapata tu.Hivyo vyuo viwili ni private
,vilianzishwa mwaka 2000 na watu wawili named after the colleges.Sio full fledged University,
Ujerumani kinaitwa Hochscule.Vyuo hivi vinatoa combine masters ya business and law,hivyo
vinashirikiana.

Kama Mh atakuwa amemaliza Masters huko,it means alikuwa full time kwa mwaka mmoja,
sijui wananchi wa kigoma kaskazini wanajua mbunge wao alikuwa full time huko,au akina sam six wanaweza kuruhu serving MP kusoma ujerumani wakati also yuko kwenye kamati
nyeti za bunge.Ukiangalia hii masters ni mwaka mmoja full time.

ada ya kusoma (tuition) ni EURO 22000/= kabla ya living costs!Ukiconvert kwa hela ya madafu ni rate ya Tshs 1800 kwa euro ni Tshs 39,600,000/= karibu millioni Tshs 40millioni.

Ndiyo huyu wabongo ndio tunamwona ni anti -ufisadi,you are jocking!

Acha hizo kama unadhani elimu ni ghali basi ndugu yangu aliyetoa ushauri huu wa hovyo kwa Zitto ajaribu ujinga. PhD hata kama ni milioni 100 bado ni nafuu kulinganisha na gharama za ujinga. Mwache Zitto awaonyeshe vijana njia kwa kufanya kila analoweza kujielimisha.
 
Kwa mujibu wa uchambuzi huo, Dk. Slaa ameshika nafasi ya kwanza kwa kujizolea jumla ya ushiriki 268, maswali ya msingi (33), maswali ya nyongeza (106) na michango (129) bungeni.

Wa pili, ni Msindai, mwenye jumla ya ushiriki 256, maswali ya msingi (5, maswali ya nyongeza (109) na michango (89), huku Lubeleje akishika nafasi ya tatu kwa kupata jumla ushiriki 225, maswali ya msingi (46), maswali ya nyongeza (9 na michango bungeni (81).

- Sasa hapa ndio kuchanganyana, ina maana kuuuliza maswali mengi bungeni ndio sifa za kuwa mbunge safi kwa wananchi wa jimbo lilomchagua? Dr. Slaa tunaheshimu kazi yake ya kufichua ufisadi, lakini haya ya kuuliza maswali haijakaa sawa! Wananchi hawakumchagua mbunge yoyote kwenda kuuliza maswali tu!

Respect.


FMEs!
 
Mimi naona watu wengi ni wabinafsi na hawapendi kuona mtu anajiendeleza pengine kupata mafanikio.
Zitto Kabwe kusoma kwa Tshs 40m kwanini iwe issue, mbona wengine wanasoma kwa hela za baba zao au sponsorship. kumwambia eti anapigia kelele ufisadi halafu ansoma kwa 40m, ni ufinyu wa mawazo na kumtaka abaki na elimu aliyonayo na asipanue mawazo na mtazamo katika kuchambua mambo mbalimbali.
angekuwa hajasoma ingekuwa ooo Zitto uelewa wake mdogo si atafute shule, sasa yeye hajaridhika na digrii yake ya kwanza anatak ya pili tayari members washatia neno,
Jamani acheni hizo, wengine wenu ndo rais JK akiwa marekani alisema manaendesha magari mazuri huko mkifa mkija kuzukwa inakuwa haiwezekani hapo ndo kwao azike maana nnyumba hamna kwa wazazi wenu ni vibanda.

Jamani kuweni na mawazo pevu.

kweli kikwete alisema maneno haya????
nina imani kikwete ana akili timamu, hawezi kusema maneno haya..
 
mmakonde kwani kuna tattizo gani mtu kusoma chuo kilichoanzishwa 2000, tatizo ni 2000 au elimu inayotolewa na aliye kwambia kuwa chuo bora ni cha 20s nani? achana na fikra potofu, chuo chaweza kuwsa kizuri hata kama kimeanzishwa jana mradi tu mitaara yake inaendana na hali halisi iliyopo.

halafu kusoma ni garama kamanda, unajuaje kama Mh. Zitto alijiandaa, kwani kusoma lazima utoe hela yako mfukoni, kuna schollarship zipo kaka na watu wenye bahati zao hupata mradi mungu amejalia, fikiria tena na hiyo thread yako
 
- Sasa hapa ndio kuchanganyana, ina maana kuuuliza maswali mengi bungeni ndio sifa za kuwa mbunge safi kwa wananchi wa jimbo lilomchagua? Dr. Slaa tunaheshimu kazi yake ya kufichua ufisadi, lakini haya ya kuuliza maswali haijakaa sawa! Wananchi hawakumchagua mbunge yoyote kwenda kuuliza maswali tu!

Respect.

FMEs!

Sasa mkuu FMES bila mbunge kuchangia hoja na kuuliza maswali bungeni anaenda humo kufanya nini
Respect
 
Hebu sasa tuweke hoja kwa mtiririko unaofaa.kwamba Zitto kakosea kwa ku-point 1,2,3,4...
 
Jamani, sio kila mtu anayesoma ulaya anakuwa na third-party sponsor. Kuna vyuo vinatoa scholarship based on merit, na uki'present application iliyoshiba, chuo chenyewe kitakumwagia pesa ilimradi uende kusoma kwao. Ada zinazoandikwa kwenye tovuti ya hivyo vyuo ni kwa wale ambao wana uwezo wa kulipia full, ila wenye vipaji wanapewa nafasi ya kusoma "free-ride".
 
Jamaa unahoja lakini watu wanakupinga bila sababu. Je zitto angekuwa kwenye sekta binafsi ingekuwaje. Angeambiwa achukue likizo ya mwaka1 akasome, au wengine wangemuambia a resign kwa ajil huwezi kusoma germany full time na kufanya kazi tz full time.

Na kama tafanya phd kwa miaka3 inamanisha atakuwa hayupo kwa kipindi hicho chore. Je kampuni binafsi inaweza kukulipa 12m a month ukiwa away
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom