Mheshimiwa Zitto Kabwe

Luteni cool down,hii ni free media sio kama uhuru na mzalendo.hapa tunatoa maoni ,hakuna gagging.Jilulize haya:
1.huyu ni serving MP,anaruka kusoma ulaya kwa chuo private ,kinatoza millioni 40 kwa mwaka.Bila shaka Kigoma kaskazini kuna kids wanakaa chini darasani!Kama kuna watu wamemponsor (sio govt) unaquestion independence yake,yeye kama mtu nyeti katika kamati ya bunge.je hawa wanaomsponsor ni lobbyists?
2.je bunge linamruhusu mtu analipwa fortune kuwasilisha wananchi wa kigoma,huku akisoma ulaya at the same time?

naona hii ni Tanzania tu,hata wapopo hawafanyi haya mambo


Mimi naona watu wengi ni wabinafsi na hawapendi kuona mtu anajiendeleza pengine kupata mafanikio.
Zitto Kabwe kusoma kwa Tshs 40m kwanini iwe issue, mbona wengine wanasoma kwa hela za baba zao au sponsorship. kumwambia eti anapigia kelele ufisadi halafu ansoma kwa 40m, ni ufinyu wa mawazo na kumtaka abaki na elimu aliyonayo na asipanue mawazo na mtazamo katika kuchambua mambo mbalimbali.
angekuwa hajasoma ingekuwa ooo Zitto uelewa wake mdogo si atafute shule, sasa yeye hajaridhika na digrii yake ya kwanza anatak ya pili tayari members washatia neno.

Jamani acheni hizo, wengine wenu ndo rais JK akiwa marekani alisema manaendesha magari mazuri huko mkifa mkija kuzukwa inakuwa haiwezekani hapo ndo kwao azike maana nnyumba hamna kwa wazazi wenu ni vibanda.

Jamani kuweni na mawazo pevu.
 
Come on Gangi Longa,kuhusu african leadership,hatuhitaji mtu asome ujerumani ili awe kiongozi mzuri,eti kutayarisha future leaders.What a nonsense.Nimefika Ujerumani,mzungu wa huko unafikiri anacare less about Tanzania?

Naona unajidanganya.Kuhusu wananchi wa kigoma kaskazini,kama ujuavyo wananchi wengi wa tanzania hawajui lolote,wengi wako vijijini,they cant read or right,they cant read newspapers ,access ya mediahawana kabisa.Nilifika Kigoma najua mambo ya huko. To be fair hata jijini Dar the same,ndio maana mtu anaweza kuwa mmbunge na fake Phd, lakini atachaguliwa tu .

Eti unataka kusema chuo hicho ni maalumu kwa Mineral law,what a rubbish.Kumbuka hiki sio Chuo Kikuu proper!angalia modules zao za Masters hiyo ya Zitto.Huhitaji kusoma mineral law uwe lawyer wa mining..what a joke. Kuna watu wengi wenye LLB wanaspecialise katika labour,immigration,mining contracts,commercial wakiwa kazini baada ya kuingia katika firm inayotoa huduma hizo.

Hapa ndugu hatujuani,so ukisema mimi mbeba ni stereo type ya watu hapa bongo kwa wale wanaoishi majuu.sio wote wanafanya kazi za mabox(though wachache)

Nimeona maaccountants, IT people, doctors, engineers etc.
 
Umezungumzia JK akiwa state,eti ushauri kwa watu wa huko wasiendeshe expensive cars,hawajajenga nyumba kwao etc.What a rubbish.I know kuna watu wengi bongo hawajajenga makwao,wote wameishia Dar na mijini tu.

Kama mtanzania yuko nje mwenye akili,sioni sababu ya kuhudhuria mikutano na viongozi kutoka bongo.hawa wana kula per diem na kununua suit mpya ,bora kama unapiga mabox ,piga sawasawa upate dollar,euro au pound.lakini kama wewe ni mwana SISIEM hudhuria tu
 
Duh, JF jamani kuna mambo!! Jamani kwanza kuna maswali hayana majibu, kama aliovyouliza Julius Je, kaandika yeye au? halafu suala la nani kalipia ada yake, tusikurupuke na kuanza kutuhumu mtu ufisadi, mwisho tutapoteza maana halisi ya vita ya ufisadi. Tufanye utafiti kwa viwango vya JF ndio tumkome nyani giledi.
 
Sikujua kuwa Mh. Kabwe naye yuko njiani kupata Phd!atapata tu.Hivyo vyuo viwili ni private
,vilianzishwa mwaka 2000 na watu wawili named after the colleges.Sio full fledged University,
Ujerumani kinaitwa Hochscule.Vyuo hivi vinatoa combine masters ya business and law,hivyo
vinashirikiana.

Kama Mh atakuwa amemaliza Masters huko,it means alikuwa full time kwa mwaka mmoja,
sijui wananchi wa kigoma kaskazini wanajua mbunge wao alikuwa full time huko,au akina sam six wanaweza kuruhu serving MP kusoma ujerumani wakati also yuko kwenye kamati
nyeti za bunge.Ukiangalia hii masters ni mwaka mmoja full time.

ada ya kusoma (tuition) ni EURO 22000/= kabla ya living costs!Ukiconvert kwa hela ya madafu ni rate ya Tshs 1800 kwa euro ni Tshs 39,600,000/= karibu millioni Tshs 40millioni.

Ndiyo huyu wabongo ndio tunamwona ni anti -ufisadi,you are jocking!

Wewe una matatizo kweli. sasa habari ya sifa ya chuo chake anachosoma na ada yake inakuhusu nini wewe? Barua ya scholarship ya Zitto ilishawahi kuwa hapa jamvini, ikijieleza waziwazi, kama hukuiona una bahati mbaya. sasa huu ufisadi kwenye elimu anayolipiwa na wakoloni hawa ambao yumkini wanarudisha pesa zetu, umeingiaje hapa? Na ukome kukurupuka na hoja usizokuwa na ushahidi nazo.
 
umezungumzia JK akiwa state,eti ushauri kwa watu wa huko wasiendeshe expensive cars,hawajajenga nyumba kwao etc.What a rubbish.I know kuna watu wengi bongo hawajajenga makwao,wote wameishia Dar na mijini tu.

Kama mtanzania yuko nje mwenye akili,sioni sababu ya kuhudhuria mikutano na viongozi kutoka bongo.hawa wana kula per diem na kununua suit mpya ,bora kama unapiga mabox ,piga sawasawa upate dollar,euro au pound.lakini kama wewe ni mwana SISIEM hudhuria tu

Ulishakosea tangu mwanzo , bro naona unaanza kukimbia, wote tunaosomeshwa nje na nchi za watu, makampuni, scholarships ni wezi kwa mujibu wako,

Usijibaraguze humu.
 
Motto ya JF ni kusema:where we dare to talk openly!
Ukiangalia posts zangu i dont care kama wewe ni mwana SISIEM,CHADEMA au chama chochote.Napenda tujadili maana hapa ni free speech bila ya kutukanana

1..Swali langu je kama wewe ni serving MP,unalipwa taxpayers money kuwakilisha watu wako,unaweza kusoma nje ya nchi bila ya kijiuzulu ubunge?huyu Mbunge vilevile yuko kamati
nyeti vile vile za taifa
2.Kama hizo pesa ni za sponsor fair enough,tujiulize hawa sponsor wakumlipia Ths 40m,wampeleka chuo kinachomilikiwa na wao.Guys ukipata sponsor ya GTZ miaka ile ujue
unakwenda chuo cha uhakika ujerumani,au DAAD.
3.Kama akianza Phd tuone itakuwaje!Ataachia ubunge?
 
Sikujua kuwa Mh. Kabwe naye yuko njiani kupata Phd!atapata tu.Hivyo vyuo viwili ni private,vilianzishwa mwaka 2000 na watu wawili named after the colleges.Sio full fledged University, Ujerumani kinaitwa Hochscule.Vyuo hivi vinatoa combine masters ya business and law,hivyo
vinashirikiana.!


WHU-Otto Beisheim School of Management
From Wikipedia, the free encyclopedia
The WHU – Otto Beisheim School of Management is a private business school founded in 1984. The school is located in [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Vallendar"]Vallendar[/ame], a small city near [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Koblenz"]Koblenz[/ame]. The School sees its mission as the education of global managers and entrepreneurs, and its programs have an international focus. Over the past twentyfive years WHU has established a network of over 150 partner universities worldwide. The school was the first German university to receive EQUIS accreditation.
WHU is supported by the WHU Foundation. The school is ranked as a top business school in Germany. and is increasingly recognized worldwide and across Europe. The School's partnership with the [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Kellogg_School_of_Management"]Kellogg School of Management[/ame], USA has led to the joint Kellogg-WHU Executive MBA Program being consistently ranked one of the best EMBA programs in Europe Source, Financial Times EMBA rankings 2006.

Study Programs
WHU offers the following programs:

  • Three-year [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Bachelor_of_Science"]Bachelor of Science[/ame] program which includes two mandatory internships and one semester in one of WHU's international partner schools.
  • One-and-half year [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Master_of_Science"]Master of Science[/ame] program consecutive to the Bachelor of Science program
  • The one-year [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Master_of_Law_and_Business"]Master of Law and Business[/ame] (MLB) program together with [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Bucerius_Law_School"]Bucerius Law School[/ame]. The program is highly international runs for one full year and combines education in Business and Law.
  • Fulltime [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/MBA"]MBA[/ame] program which includes visiting studies at [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Kellogg_School_of_Management"]Kellogg School of Management[/ame] - [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Northwestern_University"]Northwestern University[/ame] (USA), [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/IIMB"]IIMB[/ame] - Indian Institute of Management, Bangalore and [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/CEIBS"]CEIBS[/ame] - [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/China_Europe_International_Business_School"]China Europe International Business School[/ame], study language is English
  • The Kellogg-WHU Executive MBA programme in partnership with [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Kellogg_School_of_Management"]Kellogg School of Management[/ame] - [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Northwestern_University"]Northwestern University[/ame], Evanston/Chicago, Illinois, USA, study language is English.
  • Doctoral programs, students are awarded the German PhD equivalent Dr. rer. pol.
  • MBA Immersion Global Study Program where students from the [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Tepper_School_of_Business"]Tepper School of Business[/ame] - [ame="http://en.wikipedia.org/wiki/Carnegie_Mellon_University"]Carnegie Mellon University[/ame] attend WHU for four weeks every year studying the European Module of the MBA.
Accreditation

In 1998, WHU became the first German university to be accredited by the European Quality Improvement System (EQUIS). The accreditation has been extended for another five years in March 2009. This recognition is granted as a sign of approval for international business schools. The University of Mannheim is the only other university in Germany that has also fulfilled the stringent requirements for EQUIS accreditation.
All WHU degree programs are government approved. As an important step in the approval process, the Bachelor, Master, MBA and Kellogg-WHU Executive MBA programs underwent the accreditation process of the Foundation for International Business Administration Accreditation (FIBAA) in September of 2005; the accreditation was granted the same month. FIBAA accreditation also includes recognition by the "Stiftung zur Akkreditierung von Studiengängen in Deutschland" (German accreditation body).

Ranking
WHU is consistently placed among the top schools in national and international rankings: top place in Wirtschaftswoche, in Junge Karriere, and in the ZEIT/CHE ranking. Also, with its Kellogg-WHU EMBA program, WHU is ranked #18 worldwide in the international Financial Times ranking.
WHU is not only world-class in the eyes of its students – alumni and human resources departments also give WHU top grades. The rankings place WHU among the leaders in academics and – not a given for private universities – research. In fact, WHU wins out over some time-honored public institutions of higher education.
WHU's high standards extend beyond research and academics. Here, quality assurance begins with the selection of students, who are required to pass a two part competition for admission to WHU. Instructors and administrators are also subject to ongoing evaluation.

 
Kama Mh atakuwa amemaliza Masters huko,it means alikuwa full time kwa mwaka mmoja,sijui wananchi wa kigoma kaskazini wanajua mbunge wao alikuwa full time huko,au akina sam six wanaweza kuruhu serving MP kusoma ujerumani wakati also yuko kwenye kamati nyeti za bunge.Ukiangalia hii masters ni mwaka mmoja full time.



Kwa mujibu wa uchambuzi huo, Dk. Slaa ameshika nafasi ya kwanza kwa kujizolea jumla ya ushiriki 268, maswali ya msingi (33), maswali ya nyongeza (106) na michango (129) bungeni.

Wa pili, ni Msindai, mwenye jumla ya ushiriki 256, maswali ya msingi (5, maswali ya nyongeza (109) na michango (89), huku Lubeleje akishika nafasi ya tatu kwa kupata jumla ushiriki 225, maswali ya msingi (46), maswali ya nyongeza (9 na michango bungeni (81).

Wanaofuatia kwenye mlolongo huo, na jumla ya ushiriki wao kwenye mabano ni Diana Chilolo (Viti Maalum-CCM- 214), William Shellukindo (Bumbuli-CCM- 20, Zitto Kabwe (Kigoma Kaskazini-Chadema- 199), Godfrey Zambi (Mbozi Mashariki-CCM- 192), Juma Killimbah (Iramba Magharibi-CCM- 186), Jenista Mhagama (Peramiho-CCM-185), Suzan Lyimo (Viti Maalum-Chadema-179), Michael Lekule Laizer (Longido-CCM-16, Lucas Selelii (Nzega-CCM-163) na Job Ndugai (Kongwa-CCM- 161).

Ok....
 
At the time i am doing a second post graduate on Law and Business at Bucerius Law School in Hamburg
Mimi swali langu halihusiani na hoja ya mleta mada, ila ninauliza, hiyo ni postgraduate what? Kwa maana kuna Postgraduate Certificate, Postgraduate Diploma au alimaanisha Postgraduate Study gani ?
 
Come on Gangi Longa,kuhusu african leadership,hatuhitaji mtu asome ujerumani ili awe kiongozi mzuri,eti kutayarisha future leaders.What a nonsense.Nimefika Ujerumani,mzungu wa huko unafikiri anacare less about Tanzania?
Naona unajidanganya.Kuhusu wananchi wa kigoma kaskazini,kama ujuavyo wananchi wengi wa tanzania hawajui lolote,wengi wako vijijini,they cant read or right,they cant read newspapers ,access ya mediahawana kabisa.Nilifika Kigoma najua mambo ya huko.
To be fair hata jijini Dar the same,ndio maana mtu anaweza kuwa mmbunge na fake Phd ,
lakini atachaguliwa tu .

Eti unataka kusema chuo hicho ni maalumu kwa Mineral law,what a rubbish.Kumbuka hiki sio Chuo Kikuu proper!angalia modules zao za Masters hiyo ya Zitto.Huhitaji kusoma mineral law uwe lawyer wa mining..what a joke.
Kuna watu wengi wenye LLB wanaspecialise katika labour,immigration,mining contracts,commercial wakiwa kazini baada ya kuingia katika firm inayotoa huduma hizo.

hapa ndugu hatujuani,so ukisema mimi mbeba ni stereo type ya watu hapa bongo kwa wale wanaoishi majuu.sio wote wanafanya kazi za mabox(though wachache)
Nimeona maaccountants,IT people,doctors,engineers etc.
wengine wanaenyeke china miaka minne kwa master hiyo ya mwaka mmoja mbona inanitisha.je na wajerumani nao ni mwaka huo mmoja au ni kwa foreigners tu.wengine maisha safi kweli
 
Umbe Zitto wetu yuko huko. Mara ya mwisho nilimwona kwenye kikao cha kamati yake ya Bunge wakimkubalia kila kitu Gavana Ndullu na majengo yake ya 2.5bn. Nataka kumfananisha Zitto na mwandishi wetu Muro lakini nakosa ujasiri na ushahidi wa kufanya hivyo.
 
Mimi swali langu halihusiani na hoja ya mleta mada, ila ninauliza, hiyo ni postgraduate what? Kwa maana kuna Postgraduate Certificate, Postgraduate Diploma au alimaanisha Postgraduate Study gani ?

Hata masters degree & phd ni postgraduate program. nijuavyo mimi any study program baada ya undergraduate inaitwa postgraduate(in most european universities) au graduate program(US).
Kwahiyo kuna post graduate certificate,post graduate diploma, postgraduate degree(masters au phd) au
graduate certificate, graduate diploma, graduate degree(masters au phd) US.

Open for corrections please!
 
Do! I was wandering kama siasa ya bongo inahitaji PHD, std 7 na maudhurio mengi ya bagamoyo ndo style ya siasa bongo.
 
At the time i am doing a second post graduate on Law and Business at Bucerius Law School in Hamburg
hata masters degree & phd ni postgraduate program. nijuavyo mimi any study program baada ya undergraduate inaitwa postgraduate(in most european universities) au graduate program(US).
Kwahiyo kuna post graduate certificate,post graduate diploma,postgraduate degree(masters au phd) au
graduate certificate,graduate diploma, graduate degree(masters au phd) US.
Open for corrections please!
Asante Mkuu, naelewa yote hayo kwamba anything baada ya bachelors degree ni postgraduate study (ukiondoa short courses). Swali langu ni hili, hiyo ya kwake ni nini? (maana amesema tu second postgraduate). Umeziorodhesha hapo, sasa yeye anasoma postgraduate study ipi?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom