Mheshimiwa rais Magufuli, Kwanini ulikimbia Ualimu?

Samiaagain2025

JF-Expert Member
Dec 2, 2020
2,926
3,054
Ndiyo wakuu,

Tupo wengi sana tuliokacha kazi serikalini au hata kubadili fani kwa maslahi binafsi.

Mheshimiwa rais Magufuli aliukimbia ualimu na kuingia kwenye kada tofauti na ualimu.

Sasa ni muda muafaka wa yeye naye kutuambia kwanini alifanya hivyo, huku akiwazuia wengine kufanya vitendo kama alichofanya yeye.

Kama ni maslahi mazuri, wote tunataka.

Ila tuambie, kwa nini ulikimbia ualimu?
 
Alikimbia ualimu akitokea wapi na akaenda wapi?
akitokea Sengerema Sec School km Mwl wa Kemia na Hesabu 1983 aliingia mitaani na baada ya miaka 3 akaenda Mlimani UDSM hadi 1988
baada ya hapo akaajiriwa na Nyanza Co-operative Union km mtaalam wa Kemia baada ya hapo akajiunga na siasa Jimbo Biharamulo Mashariki baadaye likaitwa Chato.
Mleta Mada yupo sahihi mpeni majibu, hata mm nilikimbia Ualimu

Early life and political career[edit]​

John Joseph Magufuli ventured into elective politics after a short period as a teacher at The Sengerema Secondary School between 1982 and 1983. He taught chemistry and mathematics. Later on, he quit his teaching job and was employed by The Nyanza Cooperative Union Limited as an industrial chemist. He remained there from 1989 to 1995, when he was elected as Member of Parliament (MP) representing Chato district.
 
Jane mtoto wa kwanza wa Magufuli kwenye ubora wako,hongera baba kuwa president
Duh bora post nyingine uwe na uhakika nazo, sina uhakika na huyu Bint km yupo hai
km yupo tusimuhusishe, lkn yupo wa Mzee wetu katangulia mbele ya haki RIP
 
akitokea Sengerema Sec School km Mwl wa Kemia na Hesabu 1983 aliingia mitaani na baada ya miaka 3 akaenda Mlimani UDSM hadi 1988
baada ya hapo akaajiriwa na Nyanza Co-operative Union km mtaalam wa Kemia baada ya hapo akajiunga na siasa Jimbo silikumbuki lkn baadaye likaitwa Chato.
Mleta Mada yupo sahihi mpeni majibu, hata mm nilikimbia Ualimu

Early life and political career[edit]​

John Joseph Magufuli ventured into elective politics after a short period as a teacher at The Sengerema Secondary School between 1982 and 1983. He taught chemistry and mathematics. Later on, he quit his teaching job and was employed by The Nyanza Cooperative Union Limited as an industrial chemist. He remained there from 1989 to 1995, when he was elected as Member of Parliament (MP) representing Chato district.
Sasa hapo alibanwa na mkataba gani?

Wa diploma?!
 
Back
Top Bottom