Mheshimiwa Rais, je umetusahau watumishi wa umma?

Acha kuleta hoja za kipuuzi. Hivi wewe ni mtumishi wa umma kweli. Unajua taratibu za promotion. Hebu tuambie ulijaza opras lini? Pia unajua taratibu za kudai maslahi yako. Ukijua hayo utatambua wewe sio mtumishi wa umma. Acheni kuzungumzia vitu msivyovijua. Unadai uhamisho hizi taratibu za uhamisho unazijua ama unalalama tu. Acheni siasa ongeeni uhalisia
Avha kujifanya wewe ndio serikali.
 
Yan Awamu hii ni Changamoto tupu.
Kodi ya loan board asahivu wanakwanyua 15% badala ya 8% ya utawala wa Kikwete.
Sasa jumlisha na makodi mengine
Kutokusoma na kuelewa ni shida ya watanzani. Hivi kama wewe muda wote unalipa deni lako hiyo sheria inakuhusu. Baada ya sheria kusainiwa inahusu hao watu katika kipindi sheria inasaniwa. Sasa wewe sijui nisemeje
 
Acha kuleta hoja za kipuuzi. Hivi wewe ni mtumishi wa umma kweli. Unajua taratibu za promotion. Hebu tuambie ulijaza opras lini? Pia unajua taratibu za kudai maslahi yako. Ukijua hayo utatambua wewe sio mtumishi wa umma. Acheni kuzungumzia vitu msivyovijua. Unadai uhamisho hizi taratibu za uhamisho unazijua ama unalalama tu. Acheni siasa ongeeni uhalisia
Nyie ndo vichaaa na malofa tunao hangaika nao kila cku,,kama huna hoja pita kushoto
 
Nyie ndo vichaaa na malofa tunao hangaika nao kila cku,,kama huna hoja pita kushoto
Wewe ni mtu mwingine usiye jielewa Leta hoja yako. Hapa hakuna matusi leta hoja. Ukiwa mtumishi unajua taratibu za utumishi wa umma ama unaongea tu
 
Pesa zipo lakini hatuwapi...! Hakuna pesa za bulebule hapa na kama unaona mshahara hautoshi acha kaxi
 
Wewe ni mtu mwingine usiye jielewa Leta hoja yako. Hapa hakuna matusi leta hoja. Ukiwa mtumishi unajua taratibu za utumishi wa umma ama unaongea tu
Nini hasa unataka kusema? Hizo taratibu zilizosababisha annual increments kuzuiwa kwa zaidi ya miezi sita sasa ni zipi?
 
Acha kuleta hoja za kipuuzi. Hivi wewe ni mtumishi wa umma kweli. Unajua taratibu za promotion. Hebu tuambie ulijaza opras lini? Pia unajua taratibu za kudai maslahi yako. Ukijua hayo utatambua wewe sio mtumishi wa umma. Acheni kuzungumzia vitu msivyovijua. Unadai uhamisho hizi taratibu za uhamisho unazijua ama unalalama tu. Acheni siasa ongeeni uhalisia
Unatumia lugha Kali sana ungali huna weledi wowote na masuala ya utumishi.
Unafahamu maana ya neno "tajwa" lapaswa kitumika pahala gani?
Kuna wakati maandishi ya MTU hutoa hesabu kamili ya fikara zake.
 
Tena bora mkae kimya mkileta minongono hachelewi kuwafanyia vya salooni ili mpungua deni aongeze mishahara kwa watakao baki.
 
Acha kuleta hoja za kipuuzi. Hivi wewe ni mtumishi wa umma kweli. Unajua taratibu za promotion. Hebu tuambie ulijaza opras lini? Pia unajua taratibu za kudai maslahi yako. Ukijua hayo utatambua wewe sio mtumishi wa umma. Acheni kuzungumzia vitu msivyovijua. Unadai uhamisho hizi taratibu za uhamisho unazijua ama unalalama tu. Acheni siasa ongeeni uhalisia
Mambaku wewe ni mtu wa ovyo kuwahi kutokea. Unaamini mleta mada kakurupuka kama unavyotaka kuaminisha umma, na kwamba OPRAS yeye haijui? Kila kitu kimesimamishwa hadi itakapotangazwa, japo uhamisho maalum upo lakini ni kwa sehem maalum kwa kazi maalumu. Suala la kupanda vyeo/madaraja na nyongeza ya mishahara bado haijafanyiwa marekebisho, ndiyo maana mtoa mada akatoa ombil maalum kwa mh.
Sasa wewe kwa kutojua au kwa kujua ila ukajitoa maarifa na ufaham, unataka kuaminisha watu kuwa mtoa mada anapotosha. Mtoa mada yuko sahihi kadri ya ukweli ulivyo hadi leo hii Desemba 24 2016!
 
Nini hasa unataka kusema? Hizo taratibu zilizosababisha annual increments kuzuiwa kwa zaidi ya miezi sita sasa ni zipi?
Annual increment katika utumishi wa umma unaendana na kanuni na taratibu ndani ya serikali. Serikali iliyopo madarakani ilisema inapitia utumishi wa umma wote ili kufanya marekebisho ya mfumo wa serikali ikiwemo kuondoa tofauti kubwa ya mishahara kati ya watumishi wenye sifa sawa katika utumishi wa umma. Kuna tume inafanya kazi. Sasa wewe kwa akili yako ulitarajia nini isipokuwa kusubiri kazi ya tume. Acheni porojo acheni serikali ifanye kazi. Hayo mengine yote mnayoongea ni mazoea. Mtumishi wa umma mwenye maadili hawezi kulaumu haya unless yeye alikuwa ananufaika zaidi na hapendi haya mabadiliko
 
Mambaku wewe ni mtu wa ovyo kuwahi kutokea. Unaamini mleta mada kakurupuka kama unavyotaka kuaminisha umma, na kwamba OPRAS yeye haijui? Kila kitu kimesimamishwa hadi itakapotangazwa, japo uhamisho maalum upo lakini ni kwa sehem maalum kwa kazi maalumu. Suala la kupanda vyeo/madaraja na nyongeza ya mishahara bado haijafanyiwa marekebisho, ndiyo maana mtoa mada akatoa ombil maalum kwa mh.
Sasa wewe kwa kutojua au kwa kujua ila ukajitoa maarifa na ufaham, unataka kuaminisha watu kuwa mtoa mada anapotosha. Mtoa mada yuko sahihi kadri ya ukweli ulivyo hadi leo hii Desemba 24 2016!
Ndio maana nwkuambia wewe sio mtumishi wa umma kasome Sher
 
Acha kuleta hoja za kipuuzi. Hivi wewe ni mtumishi wa umma kweli. Unajua taratibu za promotion. Hebu tuambie ulijaza opras lini? Pia unajua taratibu za kudai maslahi yako. Ukijua hayo utatambua wewe sio mtumishi wa umma. Acheni kuzungumzia vitu msivyovijua. Unadai uhamisho hizi taratibu za uhamisho unazijua ama unalalama tu. Acheni siasa ongeeni uhalisia

Utakuwa unaumwa ww sio bure. Alichosema ni sawa kila kitu kimesimama inaonekana ww si mtumishi Wa umma ni kada unayesubiri uteuzi
 
Pesa zipo lakini hatuwapi...! Hakuna pesa za bulebule hapa na kama unaona mshahara hautoshi acha kaxi
Mkuu,
Umenifanya nacheka kama kichaa mwenyewe, mpaka bibi wa Kifilipino ktk treni ya mwendo kasi ananishangaa. Lakini hayo ndiyo majibu ya viongozi wa awamu hii ktk kutekeleza ahadi /sera za CCM ndani ya ofisi za umma.
 
Utakuwa unaumwa ww sio bure. Alichosema ni sawa kila kitu kimesimama inaonekana ww si mtumishi Wa umma ni kada unayesubiri uteuzi
Kwa akili yako ndogo na uelewa mdogo unajua maana ya kuunda tume ifanye kazi yake baada ya hapo mabadiliko yaje unaelewa maana yake. Ulitaka kipi kije kabla ya kusubiri hayo mabadiliko. Kama wewe mtumishi wa umma huwezi kusubiri mabadiliko ya kweli then hufai kuwa mtumishi wa umma. Sifa moja kati ya zote ya mtumishi wa umma ni patient
 
Acha kuleta hoja za kipuuzi. Hivi wewe ni mtumishi wa umma kweli. Unajua taratibu za promotion. Hebu tuambie ulijaza opras lini? Pia unajua taratibu za kudai maslahi yako. Ukijua hayo utatambua wewe sio mtumishi wa umma. Acheni kuzungumzia vitu msivyovijua. Unadai uhamisho hizi taratibu za uhamisho unazijua ama unalalama tu. Acheni siasa ongeeni uhalisia
Mbona unaandika kwa kujifanya muelewa sana!! Unajua Watu hawajahamishwa toka lini? Unajua promosheni zilisimama kwa muda,
Hujui Hakujawa na ongezeko lolote la Mshahara mwaka huu????

Sasa unaongea kwa hasira unajua vyote hivyo????

Opras amekwambia kuwa hakujaza? Kwanza Opras unazijuua...?
 
Watumishi wa umma walikuwa wanaringa sana kutupa huduma sisi wananchi, wengine kama huna kitu mfukoni unaweza kukosa huduma.
-walitanguliza maslahi mbele kuliko kutoa huduma nzuri na bora kwa jamii.
--sikukuu, kukosekana ofisini, safari za nje, posho, bingo.
---hongera sana JPM heshima imerudi
 
Back
Top Bottom