Mheshimiwa Rais, je umetusahau watumishi wa umma?

Wewe unaongea theory na sio uhalisia. Umepandishwa daraja halafu ukarudishwa mshahara wa zamani hivi unaelewa unachoongea ama uliandika ukiwa umesahau unachoongelea. Kwa kawaida idara na taasisi za serikali zinapofanya promotion lazima zisibitishwe na utumishi. Maybe ulikuwa hujafikia vigezo vya kupandishwa cheo. Na ofisi unayofanyia kazi bado wanafanya kwa mazoea. Kwa kawaida kabla hujapewa barua ya kupandishwa cheo lazima ofisi huska wapate uthibitisho kutoka UTUMISHI. Kama ulipewa barua bila uthibitisho hapo kuna shida.
Hujui unachoongea aisee...poor you
 
Kiongozi unaclip yoyote inayotoa maelekezo ya kusimamisha uhamisho wa watumishi umma. Tatizo lilikuwapo mwanzo lilikuwa halmashauri ama wizara kuhamisha mtumishi bila kulipa stahili zake pale zinapohitajika. Hili lilisababisha kuongezeka kwa madeni ya utumishi pasipo na tija. Hivyo ajenda ikawa mwajiri ahamishe mtumishi baada ya kujirizisha kuwa anafungu la kulipa stahili husika. Lakini uhamisho usio na cost implication kwa nini usitishwe. Ndio maana naomba kama una hiyo clip. Tuwekee tusikie.
Hivi unajua kuna uhamisho wenye kulipiwa na uhamisho ambao haugharamiwi na Serikali! Hahahhahaha kweli hujui kitu...hahahahahahahhahahaha
 
Kiongozi unaclip yoyote inayotoa maelekezo ya kusimamisha uhamisho wa watumishi umma. Tatizo lilikuwapo mwanzo lilikuwa halmashauri ama wizara kuhamisha mtumishi bila kulipa stahili zake pale zinapohitajika. Hili lilisababisha kuongezeka kwa madeni ya utumishi pasipo na tija. Hivyo ajenda ikawa mwajiri ahamishe mtumishi baada ya kujirizisha kuwa anafungu la kulipa stahili husika. Lakini uhamisho usio na cost implication kwa nini usitishwe. Ndio maana naomba kama una hiyo clip. Tuwekee tusikie.
We ulikuwa nchi gani wakati yale Maadhimio yametolewa, hahahahah....au ulikuwa umewekwa ndani na mimama ya mjini! Ndo unashtuka sasa hivi eti unaomba Clip
 
Acha kuleta hoja za kipuuzi. Hivi wewe ni mtumishi wa umma kweli. Unajua taratibu za promotion. Hebu tuambie ulijaza opras lini? Pia unajua taratibu za kudai maslahi yako. Ukijua hayo utatambua wewe sio mtumishi wa umma. Acheni kuzungumzia vitu msivyovijua. Unadai uhamisho hizi taratibu za uhamisho unazijua ama unalalama tu. Acheni siasa ongeeni uhalisia
Sijawahi ona hoja puuzi kama hizi...
 
Kosa walilloanya viongozi wa zamani ni kutoweka usawa wa mishahaara. Haiwezekani afisa utawala wa TBS apewe mshahara ambao ni Mara tano ya mshahara wa afisa wa utawala wa wizara ya viwanda. Hiyo inaondoa morale kwa watumishi wa umma.
hizo ni chuki binafsi...huwez kudai maslai yako bila kumention wengine? Wivu utakufanya uwe masikini daima
 
Mh. Magufuli amesema ataweka harmonisation kwenye misharaha..haiwezekani afisa utawala wa wizarani ya nishati apate laki 5..wakati afisa huyohuyo anapewa mil 3.5 kwa mwezi. Bado huyu afisa wa ewura unampa allowance ya nyumba, usafiri n.k..
hakuna kitu kama icho kwa jinsi anavyo bana budget usitegemee eti mtu wa laki 5 awe sawa na wa mil 3
 
Acha kuleta hoja za kipuuzi. Hivi wewe ni mtumishi wa umma kweli. Unajua taratibu za promotion. Hebu tuambie ulijaza opras lini? Pia unajua taratibu za kudai maslahi yako. Ukijua hayo utatambua wewe sio mtumishi wa umma. Acheni kuzungumzia vitu msivyovijua. Unadai uhamisho hizi taratibu za uhamisho unazijua ama unalalama tu. Acheni siasa ongeeni uhalisia
Wewe unayejua taratibu twambie lini hayo yatatekelezwa ,uache uropo.
 
Acha kuleta hoja za kipuuzi. Hivi wewe ni mtumishi wa umma kweli. Unajua taratibu za promotion. Hebu tuambie ulijaza opras lini? Pia unajua taratibu za kudai maslahi yako. Ukijua hayo utatambua wewe sio mtumishi wa umma. Acheni kuzungumzia vitu msivyovijua. Unadai uhamisho hizi taratibu za uhamisho unazijua ama unalalama tu. Acheni siasa ongeeni uhalisia
Kama hautumii unga, tumshukuru Mungu!
 
Ndg mheshimiwa Rais:

Naandika haya nikijua fika vyama vya wafanyakazi havina msaada wowote katika kutetea maslahi ya Watumishi.
Mheshimiwa Rais,
Je,
1.Ni lini serikali yako itapandisha madaraja watumishi wa umma?
2.Ni lini serikali yako itaweka nyongeza ya mshahara kwa watumishi?
3.Ni lini utaruhusu uhamisho kwa watumishi wa umma?

Haya ni motisha kwa wafanyakazi.
Kama pesa hakuna,
Serikali iseme itaeleweka.
Pia issue ya uhamisho haihitaji pesa Mh Rais, kwa nini usiruhusu?
Kwani wewe mtumishi una silaha ya kumlinda??
 
Back
Top Bottom