Yapi hayo? Yaseme chifu.Kuna kaukweli...... Ila Magufuli ana mazuri mengi pia tuyaseme
tulia weweeeEndelea kuisoma namba, umeonyesha jinsi unabyomuwazia kila sekunde. VIZURI
Nitakua wa mwisho kumlaumu katika hili.
Uraisi nafikiri si kuamua kila unachotaka.
Huenda alitamani kwenda ila taasisi ikaona hapaswi kwenda, huwezi jua.
Ila labda kama itatokea akatoa maneno tatanishi kama bk.....hapo sasa ndio tunaweza kutia neno.
Bibie mzima!Endelea kuisoma namba, umeonyesha jinsi unabyomuwazia kila sekunde. VIZURI
Napenda kuwapongeza na kuwashukuru washauri wa rais kwa kutumia weledi wao kwa kumshauri asihudhurie msiba wa Leo wa watoto wetu sheikh abeid karume. Kwasababu jamaa angetuongezea majonzi na simanzi kwa kauli zake mbofumbofu.
Moyo ulikuwa unadunda labda ataibuka ghafla lahaula haikuwa hivyo.
Sasa kwa huo weledi hawa washauri waliotumia pia wamshauri Sizonje utawala bora na kuinua uchumi wa nchi.
RAMBIRAMBI ZIWAFIKIE WALENGWA
Kwani kasahau maneno ya Lema? Kwani hajitaki? Na pia Raisi angesikia kichefuchefu kumuona Lema. Bora hajaenda.
Ila mleta Mada kichwani hayupo Sawa kiakili tena kitambo tu kagombana kwa matusi karibu nusu ya wana jf ni wa kumpuuza tu... ndio waandishi makajanja aliyoisema Mwakyembe. Pia mwambieni a edit maneno yake vichapizi vingi mno.
Kwani kasahau maneno ya Lema? Kwani hajitaki? Na pia Raisi angesikia kichefuchefu kumuona Lema. Bora hajaenda.
Ila mleta Mada kichwani hayupo Sawa kiakili tena kitambo tu kagombana kwa matusi karibu nusu ya wana jf ni wa kumpuuza tu... ndio waandishi makajanja aliyoisema Mwakyembe. Pia mwambieni a edit maneno yake vichapizi vingi mno.
Upo makini sana mkuuMkuu ni uwanja wa Shekh Amri Abeid na si Sheikh Abeid Karume
Hoja za wana JF umezishindwa maana faster unakimbilia matusi kama hujafunzwa na wazazi wako na watu wa dini.. utakuwa Unalaana wewe si bure... wengi tumekupuuza sasa unarukia kwa Raisi soon utapotezwa trust me ukiendelea na upuuzi wako... wewe unajua sababu za raisi kitokwenda? Ati mtetezi wa raisi mtandaoni unaandika huku umebana pua. .. humu watu wanatoa Stress tu Raisi hafutilii kimaanani. Acha Kucheza na Taasisi ya Uraisi msione nchi inaenda tu vyombo vinafanya kazi... sina haja ya kukuonya tena.Mliozaliwa kwa ' Mimba ' za bahati mbaya zilizowaingia ' Waliowazaa ' huku zikiwa na ' chembechembe ' za ' takataka ' mkizaliwa mnakuwa na ' matatizo ' makubwa sana na moja wapo ni kama ' upupu ' uliotuanikia hapo juu.
Kuna kaukweli...... Ila Magufuli ana mazuri mengi pia tuyaseme
Bibie mzima!
Hoja za wana JF umezishindwa maana faster unakimbilia matusi kama hujafunzwa na wazazi wako na watu wa dini.. utakuwa Unalaana wewe si bure... wengi tumekupuuza sasa unarukia kwa Raisi soon utapotezwa trust me ukiendelea na upuuzi wako... wewe unajua sababu za raisi kitokwenda? Ati mtetezi wa raisi mtandaoni unaandika huku umebana pua. .. humu watu wanatoa Stress tu Raisi hafutilii kimaanani. Acha Kucheza na Taasisi ya Uraisi msione nchi inaenda tu vyombo vinafanya kazi... sina haja ya kukuonya tena.