Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli something is wrong here!

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli something is wrong here!

Tuna Mkuu mwenye moyo wa jiwe. Kuhudhuria mazishi atajishusha sana atapoteza "presidencyhood" Amepanga kuhudhuria hivi vitu wakati wa Kampeni lakini will be TOO LATE
 
kwanza tu nikupe pole kuwa wewe si jasiri ni muoga sana na hizo sifa ulianza kueleza kwenye hii makala haunazo embu leo toa maoni yako kwakutumia ID isiyo mficho yaani weka namba yako ya simu ili utumiwe meseji kuwa ujumbe wako umefika pili usitake kumpangia mh raisi majukumu kumbuka raisi ni taasisi hivyo akiwakilishwa na makamu wake ni sawa na yeye kuwa yupo pale .yaani makamu kama mwenyewe hayupo pale basi ndiye mkuu.i hope umeelewa.kwa kuanzia hapo.
Rais ni taasisi? Ameshawaambia hakuna aliyemsaidia kwenda kuchukua fomu ya urais. Kwahiyo urais ni kwake peke yake, muwe mnaelewa!
 
Mpaka karne hii unaamini ushirikina pole sana. Yaani hata part ya akili yako haijakupeleka kwingine. Unajua nani anamshauri Rais. Unajua hatua anazochukua ( ni kuhakikisha mali ya watanzania inaliwa na wote inamcost kiasi gani?) Unataka kuniambia umeumia na unauchungu zaidi kuliko Mh. Rais. Unajua impact yake achilia mbali uchungu kwa wazazi fanmilia na Watanzania wengine umeanalyse impact yake kitaifa lakini! Hebu muache masihara kwenye serious Issue kama hizi!
Mwingine huyu akili fupi wa kuQuote thread nzima, kha!
 
Mkuu Gentamycine umemchana kiongozi live!!! Hakika maneno kama haya ungeweza kuyasema jukwaa la wazi pale mwembeyanga nakuhakikishia wananchi wangelikuwa barabarani hivi sasa kuelekea magogoni kumtoa Mpangaji wao wa muda!!!!
 
1. Magufuli si Msukuma.
2. Kuongelea tabia ya mtu kwa kabila ni ukabila, si kitu kizuri.
3.Kuongelea jinsi ya kumalizatatizo lisijirudiekunaweza kuwa muhimu zaidi ya rais kwenda kwenye msiba.
4.Ni kweli rais anaweza kuwapa moyo wananchi kwakuwepo msibani, lakini kama hujamuelewa rais huyu mpaka sasawewe ndiye utakuwa una tatizo, kashasema hapendi habari mbaya.Hakwenda kwenye msiba wa wanausalamamkoawa Pwani.Hataki kupangiwa, ukimsema vibaya hivyo ndiyokabisa unamwambia asiende kwa sababu ataona unampangia aende.
 
Mkuu kazoea kuzika, sijui kazoea maiti wala haziogopi, nilishangaa sana kwenye msiba wa mwanae kipindi hicho mkuu akiwa waziri baada ya maziko aliongea tena kwa tabasamu tu na kusema eti mwanae kabla hajafa alienda na rafiki yake nyumbani na akawaomba wazazi wamtambue kama mtoto wao, sikumuelewa halafu akasema huyu rafiki ataziba pengo la mwanae maana aliletwa na marehemu, huyu jamaa kuna tatizo si bure....hajali kabisa msiba.
 
Huyu jamaa nilishasema sana ana roho mbaya ila watu hamtaki kukubali. Nilishaliona mapema tangu lile tetemeko la Kagera sins imani naye tena.
 
Nakumbuka ndege ilianguka ikitokea Barcelona wanafunzi wa shule Fulani hapa ujerumani walipoteza maisha lakini siku ya mazishi karibia serikali mzima ilikuwepo ikiongozwa na Chancellor Merkel na kwa jinsi alivyo busy aliacha cancelled shughuli zote. Huo ndo uongozi imara sio huyu jamaa hii Mara ya tatu sasa anajificha ikulu na asitudanganye kwamba yupo busy.
 
Wachangiaji wote hapo juu mnaonyesha mna leta siasa kwenye mambo ya msingi. Raisi ni mkuu wa nchi hivyo safari zake zote zinahitaji maandalizi ndo maana akawa na washauri. Safari za mkuu yeyote wa nchi ni lazima zizingatie usalama wake tofauti na nyinyi mnaokurupuka bila hata kunawa uso. So msimlinganishe Raisi na mtu mwingine yeyote na safari zake zote zipo kwenye ratiba. Acheni lawama ambazo wala haziwasaidii lolote. Angekuwa hajali hata salaam asingetuma.
 
Amefanya vizuri kuacha kuja,anavopenda kubwatuka,kuarisha kwa kutumia mdomo basi angetuliza zaidi sisi wengine.Magufuli kaza huko ikulu baba.
 
Back
Top Bottom