Hakuna kitu kama hiki kwa kawaida kabisa Rais alitakiwa awepo na si vinginevyo,Rais kakosea sanaUraisu ni cheo kigumu sana.. Angeenda wangehoji kwann asingewakilishwa.. Hajaenda wanahoji kwanini hajaenda.. Bora tu uwe raia wa kawaida
Aliangalia kwenye tv akasema amesikitika sana! Lkn wafiwa walikuwepo! Ila yeye alisikitikia through tv then twitter!
duh huwezi jibu hoja bila kujadili mtu, hongera kwa kunizidi akili lakini ni kama umekurupuka hiviKabla ya kukujibu swali lako la ' Kipumbavu ' kabisa kuwa uwepo wake ungepunguzaje majonzi mtafute hapo karibu Mtu unayedhani anakuzidi au amekuzidi ' akili ' kisha muulize nini maana ya ' Rais ' na huwa ana ' umuhimu ' gani kwa Wananchi alioapa kuwatumikia pindi wanapokumbwa na matatizo / majanga kisha akishakujibu rudi hapa tena Kwangu ili nikufundishe sasa jinsi ya kufikiri na kujenga hoja pengine siku nyingine usije ukawa ' Kichekesho ' kwa Great Thinkers ' tuliotukuka '.
I'm sure in TZ there is no one who loves that Nigga even his wife.Nilipo anza kumchukia ni pale ambapo sikumuona kwenye msiba wa wale watoto wa arusha alafu hakua na chochote cha muhim alichokua anafanya nikajiuliza ata mjali nani kama pale hakuenda