Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli something is wrong here!

Mheshimiwa Rais Dkt. Magufuli something is wrong here!

Mistari 3 uzi umekamilika. Unauweka watu waje kujua chuki zako kwa Maguli...
 
Sidhani kama hata yeye anakupenda !! Unachukia mtu asiyejua kama humpendi hahahhaha
 
Mm namkubali sana mara sana kwanza ni mcheshi,ana huruma pia ni mchapakazi
 
Nilipo anza kumchukia ni pale ambapo sikumuona kwenye msiba wa wale watoto wa arusha alafu hakua na chochote cha muhim alichokua anafanya nikajiuliza ata mjali nani kama pale hakuenda
haukumpigia kura...siku zote we ni kumsema vibaya... nakushauri Hama nchi na urudi baada ya miaka 8 atakuwa amemaliza mda wake ....hatuwezi kuhudhuria kila msiba..Hapa kazi tuuu
 
Siku hizi kama ni tv au radio yeye anaongea huwa nahamisha channel! Simpendi na najua naye hanipendi.
 
mimi nampenda sana.
Na kauli yako inanifanya nimpende zaidi kwa sababu kama tumeanza kumchukia kwa sababu hizo "HAKUWA NA CHOCHOTE CHA KUFANYA"na sio ufisadi basi tumepiga hatua kubwa sana.
5349628_1c8ff654946329214e6ad8ec6689f42e_jpeg218f6dade628599b225f53a5b0a61f48
 
Sio lazima kila Rais awajibike kufika Maadam akiidha Salam za pole Atatuma wa Wakilishi kwenye Maziko ambao wapo kila kona ya Nchi
 
Back
Top Bottom