Mheshimiwa na baiskeli ya kike!!

Step-through frame

Traditionally, bicycles with a step-through frame were known as "Ladies'", "Women's" or "Girls'", mainly for their advantage to riders wearing skirts or dresses. Bicycles with a high top tube (cross-bar), known as a diamond frame, were known as "Men's", "Gents'" or "Boys'". However, since the late 20th century, clothing has become less stereotyped and gender-based descriptions are now often seen as assumptive. Gender-neutral descriptions which describe the frame style, rather than the presumed gender of the rider, are increasingly common. This change acknowledges the fact that restrictions upon an individual's mobility may be due to a physical impairment as well as clothing worn by both men and women (long overcoats, rain garments).
Mkuu soma vizuri ndio utaona tatizo la heading na mtazamo wako usio sahihi. Hata hiyo link uliyoweka inaonyesha wewe bado unatumia vigezo vya tradition na definition zilizotumika wakati wa past na si present.

Ndio maana nasema mtu kama wewe ukipewa maamuzi ya kumnunulia waziri wa kiume gari hutaunua vitara just bcs traditionaly watanzania waniita kitcehn party . Tubadilike

Hizo unaziita za zike zinaweza kuwafaa wamasai wa kiume wanazovaa mavazi yao ya asili. so mavazi ndo yaweza kudetermine baiskeli gani inafaa sio jinsia . Soma vizuri link uliyoweka
 
Mleta maada hauna adabu! Nenda ulaya uone jinsi ambavyo baiskeli zinavyosaidia watu kuwahi mishemishe! Hakuna baiskeli ya kike wala ya kiume duniani.
 
Step-through frame

<!-- /firstHeading --><!-- bodyContent --><!-- tagline -->From Wikipedia, the free encyclopedia
<!-- /tagline --><!-- subtitle -->
<!-- /subtitle --><!-- jumpto -->Jump to: navigation, search
<!-- /jumpto --><!-- bodytext -->This article is about a type of bicycle frame. For step-through motorcycles, see Underbone.





Woman with a step-through frame bicycle in the 1890s


A step-through frame (aka low-step frame) is a type of bicycle frame, often used for utility bicycles, with a low or absent top tube or cross-bar.<SUP id=cite_ref-0 class=reference>[1]</SUP><SUP id=cite_ref-1 class=reference>[2]</SUP>
Traditionally, bicycles with a step-through frame were known as "Ladies'", "Women's" or "Girls'", mainly for their advantage to riders wearing skirts or dresses. Bicycles with a high top tube (cross-bar), known as a diamond frame, were known as "Men's", "Gents'" or "Boys'". However, since the late 20th century, clothing has become less stereotyped and gender-based descriptions are now often seen as assumptive. Gender-neutral descriptions which describe the frame style, rather than the presumed gender of the rider, are increasingly common. This change acknowledges the fact that restrictions upon an individual's mobility may be due to a physical impairment as well as clothing worn by both men and women (long overcoats, rain garments).
Ok let say ni ya kike, So what is the big deal??!!!
 
Mkuu mimi ntofautiana kidogo, kwa nchi ya Holland baiskeli zao karibu zote ziko hivyo na ni kama national symbol. So pengine muheshimiwa alikuwa amepanda Dutsch bike.

Mcheki huyu jamaa akikatiza mitaa ya Amsterdam.
 
Baskeli ni baskeli tu muhimu kurahisisha usafiri,baskeli km hiyo ipo ndani na unataka kuwahi utaacha kuchukua sababu ni ya kike?hiyo ya kiume hamuna halafu mnaitia jinsia iliyopo.
 
Baskeli ni baskeli tu muhimu kurahisisha usafiri,baskeli km hiyo ipo ndani na unataka kuwahi utaacha kuchukua sababu ni ya kike?hiyo ya kiume hamuna halafu mnaitia jinsia iliyopo.

Huyu mleta madahana tofauti na wale tunoashangaa narudia ten akiwa huyu jama amepwa mamlaka ya kumhagulia wairi gari la utumia. evryne can guess atachagua gari gani?

Alafu unaona kapotea kimya kimya kimya bila bila ujibu au kukiri kuwa alikosea same as wanasiasa they never wrong. sababu majina yenu yanaendana jaribu kumshauri huyo babu mwenzako teh teh teh
 
Mkuu mimi ntofautiana kidogo, kwa nchi ya Holland baiskeli zao karibu zote ziko hivyo na ni kama national symbol. So pengine muheshimiwa alikuwa amepanda Dutsch bike.

Mcheki huyu jamaa akikatiza mitaa ya Amsterdam.
Wanaume Scotland kuvaa sketi ni moja ya utamaduni wao aimaanishi pia mwanaume Tanzania kuvaa sketi ni sawa
 
Dunia ina mambo jamani...kumbe zipo za akina fulani pia!! Hapo basi tungemtafutia Guta (baskeli za miguu minne) pengine zile ndio za kiume........
 
Baskeli ni baskeli tu muhimu kurahisisha usafiri,baskeli km hiyo ipo ndani na unataka kuwahi utaacha kuchukua sababu ni ya kike?hiyo ya kiume hamuna halafu mnaitia jinsia iliyopo.
Stiletto heel ni viatu, Babukijana pia anaweza kuvaa kwa sababu viatu ni viatu?
 
ndio maana yake, yakwendea sokoni kununua mchicha na nyanya!!

mgando kweli kweli, fikra za mbongo kuelekea huko walipo wenzetu bado ni safari ndefu sana, ukitaka kuhakikisha angalia angalia topic zote wanazojadili humu na linganisha na forum za nchi zzingine, sina uhakika walio hapa wana umri kuanzia mika mingapi ila safari bado ndefu, huko gorofani (kichwani) na wapangaji wake, kazi ipo, nisiseme sana lbda kuna eneo lingine watu wanafanya mambo yaliyonyooka na ya kikubwa.
 
mgando kweli kweli, fikra za mbongo kuelekea huko walipo wenzetu bado ni safari ndefu sana, ukitaka kuhakikisha angalia angalia topic zote wanazojadili humu na linganisha na forum za nchi zzingine, sina uhakika walio hapa wana umri kuanzia mika mingapi ila safari bado ndefu, huko gorofani (kichwani) na wapangaji wake, kazi ipo, nisiseme sana lbda kuna eneo lingine watu wanafanya mambo yaliyonyooka na ya kikubwa.
Mawazo yako pia yana heshimiwa.
Kwenye hizo FORUM ZA NCHI NYINGINE hauja jifunza kujenga hoja!!
 
hiyo baisikeli ya kuendea dukani, ukinunua vitu unaweka kwenye kikapu ndiyo matumizi yake. wabongo walibambika jina ya kike kwavile walikuwa wanawaona wazungu wanawake mitaa kazaa wakiendea kununua vitu na kueka kwenye kikapu. basi jina likabambikwa wengine bila hata kufikiria wanazania ni ya kike tuu….

Kiukweli kabisa, Bwana mkubwa kachomekewa. Mbona hao Wakoloni hawaonekani kuendesha zenye vikapu ? KACHOMEKWA KUBALI TU KAKA
 
Back
Top Bottom