Wild fauna
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 461
- 189
Katika uwasilishwaji wa bajeti ya kambi rasmi ya upinzani unaoendelea bungeni katika wizara ya maliasili na utalii,anasimama Mh lukuvi nakudai mchangaji msingwa anaichafua serikali ya ccm eti kada wao huko karatu ambaye ameshutumiwa kwa ujangili kuwa ni uongo.
Ndipo anaposimama Tundu lisu na kuhoji,lukuvi anasemaje kuwa kada wao hana hatia wakati hana hata vigezo vya kuthibitisha kauli ile kuwa its wrong?
Ndipo hapo najiuliza ni kweli Lukuvi anaweza kuvaa viatu vya mnadhimu wa kambi ya upinzani mh lisu?
I think hawa jamaa wakiwekwa kwenye mdahalo alafu kila mtu ajenge hoja,i'm sure lukuvi will totally fail.
Ndipo anaposimama Tundu lisu na kuhoji,lukuvi anasemaje kuwa kada wao hana hatia wakati hana hata vigezo vya kuthibitisha kauli ile kuwa its wrong?
Ndipo hapo najiuliza ni kweli Lukuvi anaweza kuvaa viatu vya mnadhimu wa kambi ya upinzani mh lisu?
I think hawa jamaa wakiwekwa kwenye mdahalo alafu kila mtu ajenge hoja,i'm sure lukuvi will totally fail.