Majumuisho ya haraka haraka, nagundua haya yafuatayo:Huyu hafai kabisa, ana hasira isio na mpango, ni mtenda kazi mzuri lakini gazabu zake ndo zinamponza, ameitia hasara ya mabilioni serikali kwa haraka zake za kwenda kuvunja mali ya mdosi mwanza, sasa serikali ndo inalipa. Huyu apewe waziri mkuu lakini uraisi hauwezi huyu. kwa upande mwingine ni mwanakijiji na Jina POMBE ni noma sana.
Tatizo letu Tanzania ni la kimfumo zaidi kuliko kiongozi mmoja mmoja. Tuna mfumo ambao hauna vidhibiti mwendo kwa kiongozi mkuu kabisa wa nchi na wateule wake hasa pale wanapoamua kushirikiana kuifilisi nchi. .
Pinda ni bora mara mia kuliko Pombe. Bahati mbaya sana Pombe tunafahamiana kiasi cha kutosha. Hatufai kwa ngazi ya Urais.
Kama tungekuwa tunachagua mtu kwa maslahi ya taifa na si ushabiki wa kundi fulani, Katika walishika madaraka makubwa kama uwaziri Magufuli anafaa kuwa rais kwa maslahi ya nchi na watanzania
bora yeye with outhoritarian character but honest kuliko kuwa na lowassa ambaye ni dictator plus mwizi! unaju tatizo la zile nyumba ilikuwa utekelezaji wako ufisadi ulijipenyeza lakini nia ilikuwa nzuri yaani kujenga mpya sasa alivyokuja huyu wa kubembea mpango ukafaNajua JPM ni mchapakazi mzuri zaidi ya mawaziri wengine wengi kama siyo wote, ni mfuatiliaji mzuri wa watu wa chini yake, ana uwezo wa kujieleza, kujenga hoja na kizisimamia hata pale hoja hizo zinapokuwa na upinzani wa dhahiri - mfano ni uuzwaji wa nyumba za serikali.
Tatizo langu na huyu jamaa ni moja tu si msikilizaji mzuri na anaweza kuwa "dictator" mzuri sana hasa pale mitazamo na misimamo yake itakapokuwa kinyume na maslahi ya nchi - refer uuzwaji wa nyumba na ubadilishwaji wa ramani ya barabara kuu kupitia wilayani kwao. Wakati wa uuzwaji wa nyuma za serikali JPM alikuwa na majibu ya kejeli - kama ya bosi wake Mkapa - kwa wale wote waliokuwa wanahoji busara ya zoezi lile. Ni aina ya mtu ambaye anapenda kutumia hoja za nguvu badala ya nguvu ya hoja pale anapokabiliwa na wapinzani makini wanaohoji busara za maamuzi na matamshi yake.
Tatizo letu Tanzania ni la kimfumo zaidi kuliko kiongozi mmoja mmoja. Tuna mfumo ambao hauna vidhibiti mwendo kwa kiongozi mkuu kabisa wa nchi na wateule wake hasa pale wanapoamua kushirikiana kuifilisi nchi. Ninashawishika kuamini kuwa hata kama utamweka JPM kama mfumo ni huu huu wa kuwa na imperial president hakuna jambo la maana atakalofanya zaidi ya kujitwalia chake mapema. JPM katika mfumo wetu wa sasa hana tofauti na Benjamin William Mkapa.
Katika mfumo wa sasa nadhani JPM anaweza kuwa mtendaji mzuri akiwa waziri mkuu na apewe mamlaka kamili ya kuwasimamia na kuwawajibisha mawaziri wote.
..Buswelu huyu jamaa ni kweli akiwa ndio mkuu wa kaya kiukweli kabisa huu ujinga ambao muugwana anaufumbia macho lazima atafanya kweli. Hayo masuala ya kukimbia sana mpaka anapitiliza home ni mambo yanarekebishika kabisa.Mbona hata muungwana alipokuja kwa mara ya kwanza alikuwa namna gani vipi?? I really support JPM kuwa mkuu wa kaya. Hawa wengine wote ni wajasiriamali tu!!!The Champ is good...kwa kweli...ila sasa huwa anakimbia mpaka anapitiliza home..Ila I hope akipata uwaziri mkuu atafanya vizuri zaidi badala ya urais....
Pinda mbabaishaji, kila siku anang'ang'ania viwanja vya Nyamagana km vile hajui sheria! wamemlisha bumba!Augustino Lyatonga Mrema alikuwa kama huyu bwana, kasoro tu yeye hakuwa na PHD. Alipoutaka uraisi tu, akaishia hapa alipo leo hii
Magufuli can better be appreciated for what he has so far done, and should not be honoured for what he can do in the future, bacause that will spoil his excelent perfomance so far!
I will vote for Pinda, for the honour of Mwalimu!
Toeni sababu za msingi za kumpigia debe zaidi ya uchapa kazi. Nini hasa alichofanikisha katika uongozi wake kinachowapa imani.
Amandla.......
background ya jkikwete na Pmagufuli ni nani kafanya mambo makubwa tanzania na tumeyashuhudia.Toeni sababu za msingi za kumpigia debe zaidi ya uchapa kazi. Nini hasa alichofanikisha katika uongozi wake kinachowapa imani.
Amandla.......
Tufafanulie kuwa "msukuma" kuna dosari gani, ni vyema wana JF tukaelewa sababu ya kimsingi!tatizo lake ni MSUKUMA!
Toeni sababu za msingi za kumpigia debe zaidi ya uchapa kazi. Nini hasa alichofanikisha katika uongozi wake kinachowapa imani.
Amandla.......
Tufafanulie kuwa "msukuma" kuna dosari gani, ni vyema wana JF tukaelewa sababu ya kimsingi!