Huyu hafai kabisa, ana hasira isio na mpango, ni mtenda kazi mzuri lakini gazabu zake ndo zinamponza, ameitia hasara ya mabilioni serikali kwa haraka zake za kwenda kuvunja mali ya mdosi mwanza, sasa serikali ndo inalipa. Huyu apewe waziri mkuu lakini uraisi hauwezi huyu. kwa upande mwingine ni mwanakijiji na Jina POMBE ni noma sana.