Tattoo ilimkimbiza mafunzoniMM kumbukumbu zangu nakumbuka alikuwa JWTz
Ninavyojua mimi huyu jamaa alikuwa mcheza basket wa timu ya jkt mgulani, hivyo aliingia jeshi kama mwanamichezo.
Mkuu ukichora baada ya kujiunga sidhani kama ni shida, Ata Ukimwi kule huwezi ingia nao ila ni halali kuishi nao ukiwa kwenye system"Jeshini walinipiga chini sijui kisa nini"
"Wanadai tatuu ila mbona wanazo mpaka wakuu,tena wa ngazi za juu"
Afu najuaga we mzeeNakumbuka wakati nipo sekondari Headmaster wetu aliwahi kutusimulia story ya Temba tukiwa parade akimtolea mfano kama 'kijana mpumbavu' aliyetoswa jeshini kisa uhuni wa kuchora tattoo
JKT ipo kabla ya JWTZ, makamanda wa mwanzo kabisa kutoka JKT walishiriki kuunda JWTZ. JKT ili kua imeanzishwa na Makamanda kutoka Islael baada ya baba wataifa kuwaomba serikali ya Islael waanzishe icho chombo hapa nchini.
Ila kwa muundo ulivyo sasa baada ya kuanzishwa kwa JWTZ,JKT lipo katika matawi ya JWTZ. Kama ilivyo kikosi cha wanamaji, kikosi cha anga n.k
Kwa uelewa wako jeshini ni wapi mkuu?Huyu Temba anapenda sana kujikosha kuwa alikuwa jeshini kumbe ni jkt
Historia nzuri mkuuAlimaliza kozi ya jkt (jeshi la kujenga taifa) baadae ajira zilipokuja akajiunga na jwtz akafaulu kwenye usaili, nakumbuka wakati tupo kwenye kozi kipindi cha kubadilisha roho ya raia na kuingiza roho ya kijeshi (six week) nakumbuka tulikuwa kwenye mchakamchaka tupo hoi porini tukapewa tano (mapumziko ya muda mfupi) pembeni kuna bwawa la maji tukawa tunaoga bahati mbaya ndugu Amani Temba alijisahau akavua kombat ya juu mkufunzi akaiona ile tattoo yake akaitwa, basi tangu siku ile hatukumuona tena kikosini mpaka nakuja kusikia jamaa yupo uraiani kawa msanii. Ila jamaa aliwahuzunisha watu wengi sana kutokana na ucheshi wake, baadhi ya maofisa pia walihuzunika maana kuingia kwake jkt mpaka jwtz ulikuwa mpango ili baadae aje kuwa mchezaji wa kikapu kwenye timu ya jeshi ndio maana hata uingiaji wake ulikuwa ni hamasa kutoka kwa walimu wa michezo (wanajeshi) pale jitegemee sekondari.
Tatoo INA madhara gani na jeshi?Alikuwa Jkt, lakini alikuwa na ndoto za kuingia Jwtz, tatoo ndio ikamponza. Mara ya mwisho tuliachana Mafinga kwenye usaili. Kila mtu akaangalia ustaarabu wake.
Kwani JKT sio jeshi?Huyu Temba anapenda sana kujikosha kuwa alikuwa jeshini kumbe ni jkt