Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Hawa ni viongozi wa kubwabwaja tu vitendo sifuri. Eti makampuni ya simu shusheni bei za vifurishi , halafu kimyaaaa. Kweli tumepatikanaKama wabunge wasio na sifa wataendelea kulipwa fedha za umma na viongozi wakuu wa nchi wasikemee wala kudhibiti huu wizi wa wazi nivigumu kupambana na wizi wa mali za umma. Kama mwanasiasa atapewa haki na baraka za Serikali kufuja Mali za umma nivigumu Serikali hiyo kuadhibu Watumishi wa Umma na wafanyabiashara kwa wizi.
Kama CAG ataleta ripoti inayoonyesha wanasiasa walivyotumia fedha za umma vibaya na Serikali ikakaa kimya,lakini Serikali hiyohiyo ikisikia ripoti ya CAG inamtaja Mkurugenzi mara moja mwanasiasa anakimbilia kumsimamisha kazi hii haiwezi kuwa nchi yenye usawa
Kama hotuba za viongozi wakuu wa nchi zinazotoa mwelekeo zitaacha kutoa maelekezo kuhusu taarifa za watafiti wa Serikali ikiwemo taarifa ya CAG nikuonyesha Serikali kutokuwa na imani na vyombo vyake. Kwa muktadha huo huo endapo Serikali itaendelea kuamini maneno yasiyo na facts kutoka kwa wanasiasa basi utumishi wa Umma hauna haja yakuwepo Bora wanasiasa waongoze kila sikta
Kama wakuu wa nchi wataendelea kusimamia sheria zinazotoa Kinga yakuishtakiwa wanasiasa akiwemo Spika na Naibu Spika nivigumu kwao kulijenga Taifa lenye maendeleo na haki. Dunia Leo hii inawavua watawala Kinga za kushtakiwa sisi tunaongeza idadi ya kutokushtakiwa.
Kama nchi ikiwa inaona wazi kwamba sheria Ni mbovu na ikaziruhusu kupelekwa Bungeni na ubovu wake na baada ya muda flani kwa bunge linavyojisikia likaelekeza zirekebishwe kuendana na wabunge wanataka nini, Ni vigumu kuwa na Taifa endelevu.
Mhe. Rais na Makamu wa Rais maneno yenu na matendo yenu yanakosolewa nakutoaminika kwa sababu mizania haipo sawa. Double standard nikubwa sana Kati ya raia na mwanasiasa.
Siku tukiondoa ubaguzi wakisheria na kimamlaka ndipo mtaanza kutoa hotuba zikatekelezeka. Kwa Sasa nivigumu kutekelezeka kwa Yale mnayodhani mlitaka kuwafanyia Watanzania kwa sababu Watanzania wanaona hayapo kwenye misingi ya sheria Bali yapo zaidi kwenye misingi ya utashi na tafsiri ya anayetaka kutekeleza.
Wabunge wote ikiwepo nae rais hawakupita Kwa njia ya Halali. Wale wabunge 19 wapo mle kuharalisha ule uchaguzi wa October 2020. Ikumbukwe hata nape alipita bila kupingwa Jimboni kwake. Hio hata yeye sio mbunge HalaliKama wabunge wasio na sifa wataendelea kulipwa fedha za umma na viongozi wakuu wa nchi wasikemee wala kudhibiti huu wizi wa wazi nivigumu kupambana na wizi wa mali za umma. Kama mwanasiasa atapewa haki na baraka za Serikali kufuja Mali za umma nivigumu Serikali hiyo kuadhibu Watumishi wa Umma na wafanyabiashara kwa wizi.
Kama CAG ataleta ripoti inayoonyesha wanasiasa walivyotumia fedha za umma vibaya na Serikali ikakaa kimya,lakini Serikali hiyohiyo ikisikia ripoti ya CAG inamtaja Mkurugenzi mara moja mwanasiasa anakimbilia kumsimamisha kazi hii haiwezi kuwa nchi yenye usawa
Kama hotuba za viongozi wakuu wa nchi zinazotoa mwelekeo zitaacha kutoa maelekezo kuhusu taarifa za watafiti wa Serikali ikiwemo taarifa ya CAG nikuonyesha Serikali kutokuwa na imani na vyombo vyake. Kwa muktadha huo huo endapo Serikali itaendelea kuamini maneno yasiyo na facts kutoka kwa wanasiasa basi utumishi wa Umma hauna haja yakuwepo Bora wanasiasa waongoze kila sikta
Kama wakuu wa nchi wataendelea kusimamia sheria zinazotoa Kinga yakuishtakiwa wanasiasa akiwemo Spika na Naibu Spika nivigumu kwao kulijenga Taifa lenye maendeleo na haki. Dunia Leo hii inawavua watawala Kinga za kushtakiwa sisi tunaongeza idadi ya kutokushtakiwa.
Kama nchi ikiwa inaona wazi kwamba sheria Ni mbovu na ikaziruhusu kupelekwa Bungeni na ubovu wake na baada ya muda flani kwa bunge linavyojisikia likaelekeza zirekebishwe kuendana na wabunge wanataka nini, Ni vigumu kuwa na Taifa endelevu.
Mhe. Rais na Makamu wa Rais maneno yenu na matendo yenu yanakosolewa nakutoaminika kwa sababu mizania haipo sawa. Double standard nikubwa sana Kati ya raia na mwanasiasa.
Siku tukiondoa ubaguzi wakisheria na kimamlaka ndipo mtaanza kutoa hotuba zikatekelezeka. Kwa Sasa nivigumu kutekelezeka kwa Yale mnayodhani mlitaka kuwafanyia Watanzania kwa sababu Watanzania wanaona hayapo kwenye misingi ya sheria Bali yapo zaidi kwenye misingi ya utashi na tafsiri ya anayetaka kutekeleza.
Hilo bunge wangelifuta tu. Rais angeunda Serikali ya Mpito. Halafu lingeundwa bunge la Katiba. Tungepata Katiba Mpya kabla ya 2025 huku ndani yake kukiwa na Tume Huru ya Uchaguzi!!Wabunge wote ikiwepo nae rais hawakupita Kwa njia ya Halali. Wale wabunge 19 wapo mle kuharalisha ule uchaguzi wa October 2020. Ikumbukwe hata nape alipita bila kupingwa Jimboni kwake. Hio hata yeye sio mbunge Halali
Muhimu ni kafanya wajibu wake kitaalamu na kitaaluma, haya ya ATCL ameyaweka wazi kuwa ni HASARA na gawio lilikuwa ni a staged comedy.Siasa tamu Sana, Kichele aliingia kichwa kichwa kaifanya ripoti yake kuwa ya kisiasa, ona sasa kiko wapi? ATCL oyeee!, Au nasema uongo ndugu zangu wa JF?
Hivi pale tuna bunge au ni manguruwe tu na mafisi in Mchungaji Mosse's voiceHilo bunge wangelifuta tu. Rais angeunda Serikali ya Mpito. Halafu lingeundwa bunge la Katiba. Tungepata Katiba Mpya kabla ya 2025 huku ndani yake kukiwa na Tume Huru ya Uchaguzi!!
Hakika uchaguzi mkuu wa 2025 ungenoga sana.
Kama wabunge wasio na sifa wataendelea kulipwa fedha za umma na viongozi wakuu wa nchi wasikemee wala kudhibiti huu wizi wa wazi ni vigumu kupambana na wizi wa mali za umma. Kama mwanasiasa atapewa haki na baraka za Serikali kufuja Mali za umma ni vigumu Serikali hiyo kuadhibu Watumishi wa Umma na wafanyabiashara kwa wizi.
Kama CAG ataleta ripoti inayoonyesha wanasiasa walivyotumia fedha za umma vibaya na Serikali ikakaa kimya,lakini Serikali hiyohiyo ikisikia ripoti ya CAG inamtaja Mkurugenzi mara moja mwanasiasa anakimbilia kumsimamisha kazi hii haiwezi kuwa nchi yenye usawa.
Kama hotuba za viongozi wakuu wa nchi zinazotoa mwelekeo zitaacha kutoa maelekezo kuhusu taarifa za watafiti wa Serikali ikiwemo taarifa ya CAG nikuonyesha Serikali kutokuwa na imani na vyombo vyake. Kwa muktadha huo huo endapo Serikali itaendelea kuamini maneno yasiyo na facts kutoka kwa wanasiasa basi utumishi wa Umma hauna haja yakuwepo Bora wanasiasa waongoze kila sikta
Kama wakuu wa nchi wataendelea kusimamia sheria zinazotoa Kinga yakuishtakiwa wanasiasa akiwemo Spika na Naibu Spika nivigumu kwao kulijenga Taifa lenye maendeleo na haki. Dunia Leo hii inawavua watawala Kinga za kushtakiwa sisi tunaongeza idadi ya kutokushtakiwa.
Kama nchi ikiwa inaona wazi kwamba sheria Ni mbovu na ikaziruhusu kupelekwa Bungeni na ubovu wake na baada ya muda flani kwa bunge linavyojisikia likaelekeza zirekebishwe kuendana na wabunge wanataka nini, Ni vigumu kuwa na Taifa endelevu.
Mhe. Rais na Makamu wa Rais maneno yenu na matendo yenu yanakosolewa nakutoaminika kwa sababu mizania haipo sawa. Double standard nikubwa sana Kati ya raia na mwanasiasa.
Siku tukiondoa ubaguzi wakisheria na kimamlaka ndipo mtaanza kutoa hotuba zikatekelezeka. Kwa Sasa nivigumu kutekelezeka kwa Yale mnayodhani mlitaka kuwafanyia Watanzania kwa sababu Watanzania wanaona hayapo kwenye misingi ya sheria Bali yapo zaidi kwenye misingi ya utashi na tafsiri ya anayetaka kutekeleza.
Ngoja uone Moto wake kuanzia mwezi wa tano , ni suala la muda tuSiasa tamu Sana, Kichele aliingia kichwa kichwa kaifanya ripoti yake kuwa ya kisiasa, ona sasa kiko wapi? ATCL oyeee!, Au nasema uongo ndugu zangu wa JF?