Mhe. Rais Magufuli, naomba kila mwisho wa mwezi tupate hotuba zako

Style yake ya uongozi ni kuwapo kwenye matukio yote makubwa ili credit achukue yeye, na kurusha vijembe kwa wanaomkosia huku akishangiliwa na wapambe.
 
hotuba za huyu mtu ni mashudu matupu,hanaga jipya kila akiongea ni kulalamika tu na kuchezesha mbichwa ake,

hatumuhitaji kwakweli aendelee tu kufanya uzinduzi maana ndicho anaweza kwa ufasaha, nchi imesha mshinda kabaki kutafuta kuonekana kwenye media hata kwa vitu ambavyo ni hadhi ya mwenye kiti wa kijiji anataka aonekane yeye lakin ndii ushamba wa watu wa kanda ya ziwa kupenda.picha

na mie nimejenga kibanda changu cha sungura na nimesha andika barua kumuomba aje anizindulie maana nshapata sungura wawili tayari naaamin hata kosa kuja.
 
Akitumia media (radio na tv) nani atamshangilia na kupiga makofi? maana anataka akipiga kijembe ashangiliwe!!
 
hotuba za huyu mtu ni mashudu matupu,hanaga jipya kila akiongea ni kulalamika tu na kuchezesha mbichwa ake, hatumuhitaji kwakweli aendelee kufanya uzinduzi na mie nimejenga kibanda changu cha sungura na nimesha andika barua kumuomba aje anizindulie maana nshapata sungura wawili tayari.
Kulia lia na kulalamika kama vile hana mamlaka!!!
 
Imekua miaka ya mafanikio makubwa sana Katika historia ya nchi yetu.

We are very proud of this term.

Ukweli ni kuwa alipoingia alikuja kwa mbwembwe na kumalizia miradi ya JK. Ila ukweli kwa sasa amechuja kishenzi na hana lolote jipya la kutuambia. Ajira hakuna na zilizokuwepo kazipunguza kwa kisingizio cha vyeti fake. Unakumbuka kipindi kile live kila uchao tunawadai Barrick $190b, je tumelipwa ngapi mpaka sasa? Makinikia bado yanashikiliwa hapo bandarini? Kama yalikamatwa na wananchi tukaaminishwa tunaibiwa, yameichiwaje? Acacia tuliambiwa hawajasajiliwa hapa nchini, je wameondoka au bado wanachimba madini?

Mradi unaopigiwa upatu wa SGR umefikia % ngapi kipande cha Dar-Moro kabla watu hawajahamasishwa na uzinduzi wa kipande cha Moro-Dom huku hela hamna? Unaweza ukaweka jedwali la viwanda vilivyojengwa toka aingie madarakani na mahali vilipo ili tuvione wenyewe badala ya kutajiwa idadi bila kuonekana hiyo idadi? Mradi wa stigler gorge uliokuwa unahubiriwa kama sehemu ya mafanikio yake eti kisa tender ilitangazwa ni uwongo wa mchana kweupe maana hakuna hata cent ya huo mradi. Sasa hivi kinachofanyika ni kuzindua viwanda vya zamani vilivyo pakwa rangi. Kilichobakia anachokifanya kwa usahihi ni wizi wa mabox ya kura toka vituoni na kuyarudisha. Hizo hotuba unazotaka afanye ataishia kudanganya watu na kutoa vitisho tu, ila hana jipya la kuwaambia wananchi.
 
Raisi wetu HAPANGIWI kitu. Acha tu aendelee na utaratibu wake wa kutumia ufunguzi wa miradi (ambayo inaweza hata kufanywa na DC) KUJIBU hoja ambazo nyingine huwa siyo sehemu yake. Yaani kwenye vyombo vya habari tusikie: FYATUENI WATOTO Serkali itawasomesha BUREEEE! Never. Mwachage tu ayaseme haya kwenye ufunguzi wa NGOs..
 
hapangiwi wewe pokea ujira wako uendelee kupiga debe ukijifanya unajua sana utaona matokeo yake.
 
Rais anao utaratibu wa kuaddress Taifa kila anapokuwa Katika event yeyote.

Utaratibu ni mzuri sana kwani unampa fursa ya kuwasiliana na wananchi Mara kwa Mara.

Ila bado naona umuhimu wa kuwa na Ratiba ya hotuba za mwisho wa mwezi ambazo hizo zitakua zimesheheni kila jambo kwa mwezi husika; wenzetu wanaita State of the Union address.

Ikiwamo na hili Hakuna shaka; awamu itakuwa timamu.
Very true mkuu. Hapo alipofikia sasa ameshaweka mwelekeo anaweza kuanza kutoa hotuba za kutupatia wananchi hali halisi na kule tunaelekea.
 
Ukweli ni kuwa alipoingia alikuja kwa mbwembwe na kumalizia miradi ya JK. Ila ukweli kwa sasa amechuja kishenzi na hana lolote jipya la kutuambia. Ajira hakuna na zilizokuwepo kazipunguza kwa kisingizio cha vyeti fake. Unakumbuka kipindi kile live kila uchao tunawadai Barrick $190b, je tumelipwa ngapi mpaka sasa? Makinikia bado yanashikiliwa hapo bandarini? Kama yalikamatwa na wananchi tukaaminishwa tunaibiwa, yameichiwaje? Acacia tuliambiwa hawajasajiliwa hapa nchini, je wameondoka au bado wanachimba madini?

Mradi unaopigiwa upatu wa SGR umefikia % ngapi kipande cha Dar-Moro kabla watu hawajahamasishwa na uzinduzi wa kipande cha Moro-Dom huku hela hamna? Unaweza ukaweka jedwali la viwanda vilivyojengwa toka aingie madarakani na mahali vilipo ili tuvione wenyewe badala ya kutajiwa idadi bila kuonekana hiyo idadi? Mradi wa stigler gorge uliokuwa unahubiriwa kama sehemu ya mafanikio yake eti kisa tender ilitangazwa ni uwongo wa mchana kweupe maana hakuna hata cent ya huo mradi. Sasa hivi kinachofanyika ni kuzindua viwanda vya zamani vilivyo pakwa rangi. Kilichobakia anachokifanya kwa usahihi ni wizi wa mabox ya kura toka vituoni na kuyarudisha. Hizo hotuba unazotaka afanye ataishia kudanganya watu na kutoa vitisho tu, ila hana jipya la kuwaambia wananchi.
Ishu ya SGR kwa updates angalia Reli TV You tube, kule utapata kila jibu la maswali yako.
 
Nakubaliana nawe Mhe. RAIS awe na mpango wa kuongea na wananchi. Mathalani kama angekuwa na mpango huo wa kujibu baadhi ya tuhuma kama vile Udkiteta wala kusingekuwa na sababu ya polisi kukurupuka KUKAMATA wanasiasa. Hoja kama Udkiteta yawezekana ni kutoeleweka kwake hivyo akiwa anafafanua baadhi ya maamuzi yake na serikali atapunguza msuguano usio na maana na kupata uungwaji mkono akiwahudumia watanzania wote.
 
Ishu ya SGR kwa updates angalia Reli TV You tube, kule utapata kila jibu la maswali yako.

Nina umakini wa kutosha kwani nimefuatilia sana naona ni yaleyale na hakuna maendeleo ya maana.
 
Back
Top Bottom