Mh.Nundu alikua anatetea maslahi ya umma ndio maana CCCC wakaamua kumtumia mwenzake.
Mkuu umma upi tena wakati Ticts tuu na mkataba wao wa miaka 25 ni mingi sasa yeye na huo mkataba wa miaka 45
Jamaa hilo nundu lipo hadi kwenye moyo wake, Kwa taarifa yako wizara ya uchukuzi na taasisi zote zimefurahi sana kwa jamaa kupigwa chini mwizi mkubwa