Jahlex
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 512
- 604
Aliyetoa mwingine,anayerudishiwa mwingine.
Vipi kuhusu riba ya miaka mitatu?
Ina maana mgawo uliolipiwa kodi unapaswa kuongezewa kodi?
Ngeleja katika hili umeiabisha taaluma yako ya sheria,kwani hata logic za kawaida zinakataa.
TRA rudisheni hizo pesa kwa Ngeleja ili azirudishe alikozitoa na sheria ya maadili ya utumishi wa umma ichukue mkondo wake.
TRA isitumike kutakatisha watu waliokuwa wamejificha,otherwise TRA itakuwa ni sehemu ya kutakatisha fedha haramu zinazohojiwa na serikali kupitia mahakama.
Vipi kuhusu riba ya miaka mitatu?
Ina maana mgawo uliolipiwa kodi unapaswa kuongezewa kodi?
Ngeleja katika hili umeiabisha taaluma yako ya sheria,kwani hata logic za kawaida zinakataa.
TRA rudisheni hizo pesa kwa Ngeleja ili azirudishe alikozitoa na sheria ya maadili ya utumishi wa umma ichukue mkondo wake.
TRA isitumike kutakatisha watu waliokuwa wamejificha,otherwise TRA itakuwa ni sehemu ya kutakatisha fedha haramu zinazohojiwa na serikali kupitia mahakama.