Mhe. Manara anafaa kuwa Meya wa Kiji la Dar

Mhe. Manara anafaa kuwa Meya wa Kiji la Dar

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,753
Kwa kofia yake kama Diwani. Anafaa kuongoza Dar kama Mstahiki Meya . Asanteni
 
Kweli Watanzania ni watu wajinga na wasahaulifu sana!!
Huyu huyu Haji Manara aliyejiuzuru nafasi ya Katibu Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam kwa kashfa ya utapeli wa magari leo anafikiriwa kuwa Mstahiki Meya wa Dar?!
Yawezekana Tanzania ni chanel ya vichekesho huko mbinguni!
Yaani huyu tapeli awe mayor?
JamiiForums1940860964.jpeg
 
Utumwa wa fikra hundoa hekima, ujuzi, akili na hata ubunifu.

Katika vyote hivyo kibaya ni kuwa mtumwa wa akili.
 
Kweli Watanzania ni watu wajinga na wasahaulifu sana!!
Huyu huyu Haji Manara aliyejiuzuru nafasi ya Katibu Uenezi wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam kwa kashfa ya utapeli wa magari leo anafikiriwa kuwa Mstahiki Meya wa Dar?!
Yawezekana Tanzania ni chanel ya vichekesho huko mbinguni!
JamiiForums-1290500738.jpg
 
Back
Top Bottom