Mhe. Khamis Hamza Khamis, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,895
940

Mhe. Khamis Hamza Khamis, Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)

Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imesema inaendelea kutekeleza mikakati mbalimbali ya kukuza utalii wa ndani ikiwa ni pamoja na kutoa huduma bora zenye gharama nafuu kwenye vivutio hasa huduma za malazi, chakula, usafiri na viingilio.

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhe. Khamis Chillo (Mb) kwa Niaba ya Waziri wa Maliasili na Utalii alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Baraza la Wawakilishi, Ameir Abdallah Ameir aliyetaka kujua mkakati wa Serikali wa kuhakikisha utalii wa ndani unaimarika.
 

Attachments

  • FvW_mBiWIAAdFcO.jpg
    FvW_mBiWIAAdFcO.jpg
    60.3 KB · Views: 2
Back
Top Bottom