Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Leo kwenye mkutano wa hadhara hapa Baraa Secondary Mhe. Sumaye atapokea kadi ya uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) anapewa kadi ya CHADEMA Rasmi.
Lowassa, Msigwa, Sugu, Owenya, na wabunge kibao kushuhudia.
Ni kwenye mkutano wa kufunga kampeni za uchaguzi jimbo la Arusha Mjini, utakao fanyika kesho tarehe 13.12.2015.
Msemaji Mkuu ni Kamanda wa anga Freeman Mbowe.
Lowassa, Msigwa, Sugu, Owenya, na wabunge kibao kushuhudia.
Ni kwenye mkutano wa kufunga kampeni za uchaguzi jimbo la Arusha Mjini, utakao fanyika kesho tarehe 13.12.2015.
Msemaji Mkuu ni Kamanda wa anga Freeman Mbowe.