Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Wacha wao waendele na Move lakichinaInapendeza
Unata aende kwa chama cha watekaji?Maskini Sumaye katika meza yeye ndie kiongozi aliyewahi kushika nyadhifa kubwa hapa Tanzania lakini leo hii anatumwa na akina mnyika na mdee
Kila mtu ni unique! kama hukujua hilo kabla chukua leo litakusaidia maishani kijana.Yaani ningekuwa Mimi ningenyuti tu nakaa na wajukuu, hii ni Sawa na samatta aje kustaafu mpira halafu asajiriwe ndanda fc
Huo ndio mfano w kiongozi wa Ukweli. Nenda Israel utaelewa, Netanyahu kesha kuwa Waziri mkuu, akarudi kuwa waziri wa kawaida na nyazifa zingine kisha karudi kuwa waziri Mkuu.Maskini Sumaye katika meza yeye ndie kiongozi aliyewahi kushika nyadhifa kubwa hapa Tanzania lakini leo hii anatumwa na akina mnyika na mdee
Wakora wabobezi
Akome kiranga,,alikimbilia huko akiamini chadema itachukua uongozi wa nchiMaskini Sumaye katika meza yeye ndie kiongozi aliyewahi kushika nyadhifa kubwa hapa Tanzania lakini leo hii anatumwa na akina mnyika na mdee
Mbona wana sura za huzuni hivyo?
Unaweza kutaja kikao hiki kimefanyika ukumbi gani hapo jijini mwanza?Safi sana!
kabisaWatu makini hawa!
Na hapo ndo utajua kuwa nyinyiem wana akili za ufahamu ambazo haziwezi kutatua matatizo. Hawa wana akili za nusu fahamu ambazo ndo zinazoongoza kwenye kuleta utatuzi wa migogoro katika jamii.
Piga kazi makamanda.