Mhariri wa Mwanahalisi akatwa mapanga

nani ana namba ya kubenea ?pole sana mkuu wa kazi.
wameziasi fikra za mwalimu na wamekosa pa kushikilia,
wanapofusha watu ili wasione uozo unaofanyika,ila mkono na masikio yatatoa habari za kuwashtua,
maswali magumu yataendelea kuulizwa bila uoga na watakomaa,
mwaka huu lazima wajiunge nasi
 
Ni wakina mvi hao (an educated hunch), this might signal the beginning of the end of mafisadi hao. Mwanahalisi ndio wako mstari wa mbele kabisa kuanika uchafu wao. Pole sana waioathirika. Itabidi waondoe mamilioni ya watu kabla ya kudhani siri zao hazitafichuka wale.

..Oh Yes!! lakini Ukifanya deep analysis.. MVI si nyewele zinazoonyesha uchanga wa mtu. Mvi ni uzee, that means ..muda umepita..na umepita kweli. Kwa kifupi kabisa Ni kupitwa na wakati. Vituko vya kumwagiana acid namnahiyo ni vijimabo visivyo na nguvu kutishia harakati za ukweli. Kwa Kuwa kama unakwenda na wakati..utaona kuwa unaweza kuchukua mvi na kuzitengeneza ACID vilevile..just wait and you will C. Nawatakia wagonjwa ..kupona haraka. Mambo yakumwgiana acid yalifanyika zamani..! But Kutengeneza acid kutoka kwenye mvi ndio Kasi mpya na ushindi wa kishindo
 
Kama lengo lilikuwa kumnyamazisha yeye na kutoa onyo kwa wanahabari wengine wanaofichua maovu,basi wameshindwa.Mafisadi wataendelea kufichuliwa na siku ikiingia madarakani serikali makini,wataishia Segerea tu.
 
Wacha tungoje Serikali itoe tamko au CCM tena na Polisi waseme imekuwaje . Jamaa ametishiwa usalama je kapewa ulinzi sasa na polisi ama ndiyo hivyo tena ?
 
Nafikiri serikali ili iaminiwe inapaswa kutoa tamko lenye kulingana na uzito wa tukio. Wasiwasi wangu ni kwamba hili suala litachukuliwa kisiasa na wahalifu wataitwa majambazi wa kawaida tu.
 
Una maana Sirikali ya CCM ? Sina hakika na hili na hasa kwa kuwa waliwasema mafisadi na kuandika kwa fujo .Sijui lakini wacha tungoje tusiie hata Tibaigana atasema nini.
 
Oooooooh! Serikali ya Kikwete haiwezi kuliepuka hili. Watu wengi tunajua jinsi ambavyo Lowassa amejaribu kuwatisha wamiliki na waendashaji wa gazeti la MwanaHalisi, na kwamba vitisho hivyo vimeongezek kasi baada ya gazeti kuandika habari za mafisadi na kuwataja majina. Hizi ni njama za kuua uhuru wa habari na uandishi unaoikosoa serikali, na ipo orodha ya waandishi kadhaa wanaotafutwa na serikali kwa mtindo huu...

Mungu waponye haraka waliokatwa mapanga na kumwagiwa asidi. Inusuru Tanzania yetu maana inakoelekea si kwema...
 
Quote:-

"Taarifa rasmi ni kwamba watu watatu wasiojulikana wamevamia ofisi za Mwanahalisi zilizopo Kinondoni,"

Wakuu heshima mbele, ninaomba kuuliza eti hiii habari inasema kuwa CCM na serikali wanahuska na huu uvamizi? Is that so? Kwenye maoni ya haraka haraka namna hii sometimes we are not doing our big name JF any favors.

Jambo Forum, ni too big kwa this kind of comments bila dataz, mwenye nazo aweke hapa, maana if that is the case wanaweza kuwa ni majambazi waliotumwa na upinzani pia maana hayo magazeti huwalima hata upinzani, tusipande mbegu za fitina na uchonganishi this cheaply, na pia tuheshimu jina letu hapa maana ni kubwa mno kuwa na haya maoni uchwara!
 
Mzee Es heshimu maoni ya wenzako wacha kusema maoni uchwara . Kila mtu anajua beef iliyopo kati ya Serikali na Kubenea .Mafisadi hawa walio guswa na magaeti haya kuandika ni ambao wako tayari kuua mtu bila kujali thamani ya maisha ya mtu na uhuru wa Mtanzania kupata habari . Naamini kwamba ni CCM inaweza kuwa imehusika kwa kuwa Kubenea ana ugomvi na wenye CCM.
Better kuheshimu maoni ya wenzio badala ya kuja hapa hoja za data's maana hata hisia zinaweza kuwa ni kweli kabla ya data's .
 
Sorry Kubenea,mimi ni mmoja wa wasomaji maarufu wa Gazeti hili Makini kuliko yote ktk miaka hii 07-08.

Simfahamu huyu bwana ila napenda makala zake kabla na baada ya kuzaliwa kwa Mwana-Halisi, naambiwa anapelekwa India kwa tiba ,ugua pole ndugu Mtanzania
 
Quote:-

"Taarifa rasmi ni kwamba watu watatu wasiojulikana wamevamia ofisi za Mwanahalisi zilizopo Kinondoni,"

Wakuu heshima mbele, ninaomba kuuliza eti hiii habari inasema kuwa CCM na serikali wanahuska na huu uvamizi? Is that so? Kwenye maoni ya haraka haraka namna hii sometimes we are not doing our big name JF any favors.

Jambo Forum, ni too big kwa this kind of comments bila dataz, mwenye nazo aweke hapa, maana if that is the case wanaweza kuwa ni majambazi waliotumwa na upinzani pia maana hayo magazeti huwalima hata upinzani, tusipande mbegu za fitina na uchonganishi this cheaply, na pia tuheshimu jina letu hapa maana ni kubwa mno kuwa na haya maoni uchwara!

Mkuu ES,

Hizo data unazotaka ni za namna gani? Unataka tukuletee orodha ya barua alizoandikiwa na simu alizopigiwa,za vitisho na lawama kutoka kwa watu wa EL na RA ndipo uamini? Kwa hakika hutavipata hivyo hapa, lakini wanaojua utendaji wa MwanaHalisi, linalosimamiwa na Ndimara, hawawezi kusema kwamba inawezekana majambazi wametumwa na opposition...Hii ni thinkng yao hao hao wanaotaka kutufanya sisi wengine hatuna akili...Wengi wanaoandika hapa wanajua kinachoendelea kati ya serikali na gazeti hilo, ambalo kina Mkono, Karamagi, na mafisadi wengine walisema 'hawatalipeleka mahakamani' kwa sababu halina hela ya kuwalipa. Ushahidi upo. Soma makala za gazeti hilo na za Ndimarar mwenyewe katika gazeti hilo na Tz Daima...na kwenye blogu yake...Kama wewe unasubiri ushahidi unaoshikika, subiri tu lakini damu ya wenzio imeshwamwagika....
 
Quote:-

"Taarifa rasmi ni kwamba watu watatu wasiojulikana wamevamia ofisi za Mwanahalisi zilizopo Kinondoni,"

Wakuu heshima mbele, ninaomba kuuliza eti hiii habari inasema kuwa CCM na serikali wanahuska na huu uvamizi? Is that so? Kwenye maoni ya haraka haraka namna hii sometimes we are not doing our big name JF any favors.

Jambo Forum, ni too big kwa this kind of comments bila dataz, mwenye nazo aweke hapa, maana if that is the case wanaweza kuwa ni majambazi waliotumwa na upinzani pia maana hayo magazeti huwalima hata upinzani, tusipande mbegu za fitina na uchonganishi this cheaply, na pia tuheshimu jina letu hapa maana ni kubwa mno kuwa na haya maoni uchwara!

Upo sahihi kabisa hapo mkuu. Tunaanza kujenga precedence ya yeyote anepatwa na tatizo basi kuna mkono wa serikali. Kuna watu wamenda mbali kudai ajali ya Mrs Mbhatia mlengwa alikuwa Zitto only kwa kuwa Zitto alifika eneo la tukio muda mfupi baada ya kutokea.

Hizi hukumu nzito kana hizi tunazotoa humu kwa zipo unfair kabisa unless kuna ushahidi haya mambo ya hearsay sijui ana beef na EL or whoever hazuiwi mtu kusema, lakini basi kuwe na walau kau-ushahidi, haya mambo ya ku create a lie and repeat it several times then people will accept it to be true yamepitwa na wakati tuwe objective kama issue ni kuandika story ya so called mafisadi hao wabaya kwanini wasimdhuru Slaa aliesema badala yake waende kwa kubenea?

Mimi nawa treat hao kuwa ni wahuni (majambazi) kama wengine mpaka hapa itakapokuwa prove otherwise na wewe Lunyungu endelea na majungu yako, after-all nobody is taking u serious anymore.
 
nimeona wanamhoji huyo mhariri channel 10. nina uhuru wa kusema kwamba wenye dola watakuwa na mkono wao katika hili.

nakutakia wewe mhariri na ndimara kupona haraka.
 
Masatu,

Funguka akili haraka, think fast na gundua yaliyofichika. Hatuna sababu ya kuwatuhumu serikali bila sababu katika hili. Kama huwezii ku-think fast katika suala hili, basi jipe muda uone mambo yatakavyo-unfold. Kumbe tunaishi nchi moja, lakini hatujuani!
 
Quote:-

Hizo data unazotaka ni za namna gani? Unataka tukuletee orodha ya barua alizoandikiwa na simu alizopigiwa,za vitisho na lawama kutoka kwa watu wa EL na RA ndipo uamini? Kwa hakika hutavipata hivyo hapa, lakini wanaojua utendaji wa MwanaHalisi, linalosimamiwa na Ndimara, hawawezi kusema kwamba inawezekana majambazi wametumwa na opposition...Hii ni thinkng yao hao hao wanaotaka kutufanya sisi wengine hatuna akili...Wengi wanaoandika hapa wanajua kinachoendelea kati ya serikali na gazeti hilo, ambalo kina Mkono, Karamagi, na mafisadi wengine walisema 'hawatalipeleka mahakamani' kwa sababu halina hela ya kuwalipa. Ushahidi upo. Soma makala za gazeti hilo na za Ndimarar mwenyewe katika gazeti hilo na Tz Daima...na kwenye blogu yake...Kama wewe unasubiri ushahidi unaoshikika, subiri tu lakini damu ya wenzio imeshwamwagika....


Kwenye haya maneno yote uliyoyasema hapo juu eti kuna ushaidi, au I am missing something?
 
Masatu,

Funguka akili haraka, think fast na gundua yaliyofichika. Hatuna sababu ya kuwatuhumu serikali bila sababu katika hili. Kama huwezii ku-think fast katika suala hili, basi jipe muda uone mambo yatakavyo-unfold. Kumbe tunaishi nchi moja, lakini hatujuani!

Nilidhani unazungumza kwa niaba yako mwenyewe kumbe upo na wenzio! Kama kweli "unathink fast" ungeona kuwa kama kuna "mkono" wa serikali wa kwanza kudhuriwa angekuwa Dr Slaa.

Yes, its utterly true we live in the same Country, but we dont know each other...
 
Kama kweli "unathink fast" ungeona kuwa kama kuna "mkono" wa serikali wa kwanza kudhuriwa angekuwa Dr Slaa.

Yes, its utterly true we live in the same Country, but we dont know each other...

Masatu huko kwa kutazama ya Dk Slaa ndiko kunakokufanya uwe slow thinker. Hicho unachokiwaza wenzio wamekiwaza sana, na wanajua kwa nini Dk. Slaa hapaswi hata kujikwaa kwenye jiwe! Nimesema tunaishi kwenye nchi moja lakini hatuijui kwa sababu wewe hujui yaliyomzunguka Kubenea hadi jana...na nimemwambia ES hapo juu kwamba sitarajie kuona ushahidi wa kushikika hapa...yeye bado anataka ushahidi....staili ya mkapa ya kukwepa hoja ya rushwa. Tusi-conclude...we jipe muda tu, utajua haya usiyoyajua...
 
Quote:-




Kwenye haya maneno yote uliyoyasema hapo juu eti kuna ushaidi, au I am missing something?

Sikuwa na nia ya kukupa ushahidi ambao umeuchunguza na kuukosa kwenye maneneo mengi ukiyosoma hapo juu. Nimesema hutaupata, maana nao si wajinga...hata mimi si mjinga kutoa ushhidi kwa watu nisiowajua...Lakini kumbuka yapo mengi yanayotendeka na ushahidi haupatikani, na bado yapo yanaonekana na yanatuathiri. Unataka kusema tuyakane hadi ushahidi utakapopatikana? Basi, JF imekuwa court of law!
 
Masatu huko kwa kutazama ya Dk Slaa ndiko kunakokufanya uwe slow thinker. Hicho unachokiwaza wenzio wamekiwaza sana, na wanajua kwa nini Dk. Slaa hapaswi hata kujikwaa kwenye jiwe! Nimesema tunaishi kwenye nchi moja lakini hatuijui kwa sababu wewe hujui yaliyomzunguka Kubenea hadi jana...na nimemwambia ES hapo juu kwamba sitarajie kuona ushahidi wa kushikika hapa...yeye bado anataka ushahidi....staili ya mkapa ya kukwepa hoja ya rushwa. Tusi-conclude...we jipe muda tu, utajua haya usiyoyajua...

Mr fast thinker swali dogo tu kwako hao walimfanya Dr Slaa asijikwae hata na jiwe wameshindwa vp kumlinda Kubenea?

Kuna habari za "uhakika" kuwa waliomshambulia Kubenea wametumwa na Chadema! How does that sound fast thinker?
 
Pole sana Kichwamaji unataka kubishana na jiwe ? Haya endelea watu wako kazini .Wanataka Ushahidi kama ule Mkapa alitaka katika mkutano wa hadhara Singida juu ya mwekezaji wa barabara hahaha . Ushahidi , ushahidi, source nk ujinga mtupu .

Ukitaka la Zitto na Mbatia kifo chake utapewa a clear picture na bado utaomba ushahidi . Ndiyo mlengwa alikuwa Zitto kuna hata recorded voices Zitto anaulizwa na Waziri mmoja yuko maeneo gani kitu ambacho hakipo maana hawana mawasiliano ya akaribu ila alijua kwamba Zitto anaenda Songea .In like 3 minutes ajali ikatoea huyo waziri hakuwa na la kumuuliz Zitto zaidi ya kusema uko wapi .Akapewa jibu la uongo niko Njombe mjini.
 
Back
Top Bottom