Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
mungu amlaze mahala pema peponi
bwana alitoa na bwana ametwaa
mungu amlaze mahala pema peponi
bwana alitoa na bwana ametwaa
Mmmmmh Mtu Pwani ndio Lugha gani tena hiyo!!.Huyu Bwana Mzima mbona unaandika Lugha Ngumu,ina maana una Taarifa Tofauti na hii aloandika Bwana Halisi?Waungwana hatupo hivyo Mkuu umetoka Mrima nini?
DUH hizi habari zikoje? maana Halisi hua anakuja na data za mashaka...VP halisi ile kesi yako na TRA kule ARUSHA imeisha maana nshasahau kabisa,...
mungu amlaze mahala pema peponi
bwana alitoa na bwana ametwaa
DUH hizi habari zikoje? maana Halisi hua anakuja na data za mashaka...VP halisi ile kesi yako na TRA kule ARUSHA imeisha maana nshasahau kabisa,...
Taarifa rasmi ni kwamba watu watatu wasiojulikana wamevamia ofisi za Mwanahalisi zilizopo Kinondoni, Dar es Salaam na kupambana na Mshauri wa gazeti hilo, Ndimara Tegambwage na baadaye Saed Kubenea, ambaye baada ya kupigwa na kitu kizito kichwani alimwagiwa acid usoni, iliyomwingia mdomoni na machoni.
Ndimara amekatwa mapanga kichwani, shingoni na mgongoni, lakini baada ya kushonwa nyuzi 15 kwa Dr Mvungi kinondoni na baadae yakupaatiwa matibabu zaidi Muhimbili, ameruhusiwa lakini Kubenea amelazwa kutokanan na madhara katika macho yake. Anaona kwa shida na tumuombee Mungu aweze kuona na kuendelea na majukumu yake magumu.
Kuna habari kwamba watu wasiojulikana wanaodhaniwa kuwa majambazi wamemvamia mhariri na mmiliki wa Mwanahalisi, Saed Kubena na kumkata kwa mapanga. Habari zaidi baadaye