WEMBE WENGE
Senior Member
- Mar 6, 2011
- 132
- 45
Mhariri wa gazeti la Tanzania Daima Edson Kamukara anashikiliwa na Jeshi la Polisi tangu asubuhi mpaka muda huu.
Taarifa kutoka ndani ya jeshi la polisi hazijaweka bayana kosa la Mhariri huyo ingawa amehojiwa kutokana na habari anazozihariri.
Baada ya serikali kulifungia gazeti la Mwanahalisi gazeti linaloandamwa kwa sasa ni Tanzania Daima.Inadaiwa serikali haifurahishwi na habari mbalimbali zinazotolewa na gazeti hilo hasa taarifa zinazoonekana kukitangaza na kukijenga Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA
sasa wakimkamata ndiyo iweje, wawa funge wote lakini CDM ni zaidi na Taarifa zitawafikia wananchi kwa namna tofauti kabisa, Magazeti yote , maredio yote, maTV yote, Wasanii wote, Wanakwaya wote, zaidi ya mia tano yote hayawatoshi? mnataka hata hilo moja mlifungie? haya lifungueni mfurahi.
Wananchi hawategemei Tanzania daima kupena habari Mabadiliko ni Lazima tuuu hata iweje