Mhariri Tanzania Daima ashikiliwa na Polisi!

Mhariri Tanzania Daima ashikiliwa na Polisi!

tatizo ukweli hua unauma ckuzote kama wanafikiri kuyafungia magazeti ndio suluhisho watayafungia yote na bado ukweli utawafikia tu
 
mimi nawashangaa sana,huyu ustadh anatukuna wakirsto wazi wazi lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa,sasa wewe suburi haya mambo yatawacost sana serikani.serikali gani isiyowajali watu wake ! Kiufupi kazi imewashinda na kama vipi wastepdown hata jeshi lichukue nchi potiriya mbali .tumechoka.

Kwani ile Radio ya Mwanza ya Kikristo ni Maria FM inayotukana UISLAM umeshawahi kuiskia na kuitaka serikali waifunge ?

Achana na uzuzuuu wa kufikiri kwa masaburi. Grow up !
 
Mbona Ustaadhi Ilinga pamaoja na matoleo yake ya DVDs na mihadhara yake hatujasikia walau akihojiwa?? Hii serikali iko hapo kwa maslahi yao binafsi au ya nchi??

Ulammaaah, Ustaadh, Sheikh Ilunga my mentor ! Namkubali sanaaaa

Hadanganyi kabisaaa na anaeleza kinaga ubaga kwanini Waislamu wamsaidie Nyereree kudai Uhuru na alafu Nyereree kuja kuwageukaa Waislamu kama hawajui...hata wale waliokuwa wanamlinda siku anaingia kanisani alikuja kuwageukaaa !

Nyerere amelaaaniwaa sanaaaa... Kwahiyo anachosema Sheikh Ilunga na juu ya huu mfumo kristo ni kweli kabisaaaa
 
THE 'THOSE HOOLIGANS' INSINUATION

Just a minute, there in item number one; DIDI I GET YOU RIGHT as attempting to brand Fr Mushi's killers in Zanzibar as 'THOSE HOOLIGANS'? Which hooligans are these that you are surely talking about here?

By any chance are you trying to confess here on the social media that the priest's thoughtless killers are WELL KNOWN TO YOU yet they are again too far to be apprehended by the same government you are most vehemently seeking to dislodge of any marks of dirt or blames on it all?

Just let's hope you are NOT trying to kid anyone on this listless killing of our faith leaders and with several others forced to live under immense fear for their lives to this minute!


THE SICK ATTRIBUTION OF 'WE TOO HAVE BEEN BUTCHERED AND MASACRED'


Ladies and gentlemen, the reason for the justification of the killing of a number of christian leaders may as well be far deeper than any one of us ever imagined.

A person down here who, to me is a well-informed member of our society, is busy seeking to POUR COLD WATER on the cold-blood killings of a number of church leaders in recent times.

In fact, the biggest tired thinking that our friend seeking to sell ou here is that these MOST UNFORTUNATE killings of Christian clarics in the country and those reportedly on the pipelines are merely clasified by him / her to be 'JUST LIKE ANY OTHER'.

Indeed this person is still gathering even more energy to aurgue his own case and unroll his point-of-justification of christian leaders the other week by so attempting to convince everyone that SINCE MUSLIMS whom are only well-known to him / her had to die unjustifiable deaths (some days, weeks, months or even years) and so now a heat of the same magnitude is ultimately turned on his presupossed instigators of the earlier dooms hence no one today has any grounds to yell about anything the least.

To this end, I choose differ with that hallmark since I would not want to believe that I killing, if any, most sufficiently justifies for another life or several of them to be nipped-off this way.


the poison you are planting, isnt good for our nation. making suspicions realities is an offense. the government is working on the znz killings by (1)hunting those hooligans and bringing them to justice after they have been caught. investigation can take a week, a month, a year and so on.

religious leaders, including cardinal Pengo, have frequently preached to Tanzanians to stay calm as the government is working on the current unpleasant situation. think about our unity. think about peace that we enjoy. dont make it as if the government or muslims have declared war against christians. (2) how many muslims have been butchered and massacred in their home nation, tanzania? the list is long. dont take us into civil wars. dont paint a picture to the world that tanzania is against christianity!
 
Mhariri wa gazeti la Tanzania Daima Edson Kamukara anashikiliwa na Jeshi la Polisi tangu asubuhi mpaka muda huu.

Taarifa kutoka ndani ya jeshi la polisi hazijaweka bayana kosa la Mhariri huyo ingawa amehojiwa kutokana na habari anazozihariri.

Baada ya serikali kulifungia gazeti la Mwanahalisi gazeti linaloandamwa kwa sasa ni Tanzania Daima.Inadaiwa serikali haifurahishwi na habari mbalimbali zinazotolewa na gazeti hilo hasa taarifa zinazoonekana kukitangaza na kukijenga Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA
Hivi hao policcm wanadhani nchi ni ya mfumo wa chama kimoja.......''watashindana lakini hawatashinda'' nchi ndio inaenda hivyo jeshi la polisi haliwezi zuia wananchi kuipenda chadema(M4C)
 
Wayafungie wanayodhani ni ya Chadema wabakishe ya kwao, Chadema itasonga mbele tu kwani tulianza na mungu na tutamaliza na Mungu hakuna litakaloshindikana
 
Safi sana weka ndani huyo popo wanavuruga amani kwa kuandika. Fitna na majungu tuu
 
Jeshi la polisisiem ni janga kwa wahariri wetu!

Wao wana pesa Sisi tu MUNGU aliye hai!
 
Ulammaaah, Ustaadh, Sheikh Ilunga my mentor ! Namkubali sanaaaa

Hadanganyi kabisaaa na anaeleza kinaga ubaga kwanini Waislamu wamsaidie Nyereree kudai Uhuru na alafu Nyereree kuja kuwageukaa Waislamu kama hawajui...hata wale waliokuwa wanamlinda siku anaingia kanisani alikuja kuwageukaaa !

Nyerere amelaaaniwaa sanaaaa... Kwahiyo anachosema Sheikh Ilunga na juu ya huu mfumo kristo ni kweli kabisaaaa

Ninachowapenda wakristo wanamikakati ya kuandaa vijana wao kielimu na hivyo kuwa na sifa ,hekima,busara,uwajibikaji na utendaji na huwa machinery zao zinakuwa ni taasisi basically.....ila ninyi kujazana chuki,hila,fitina,majungu mbaya zaidi viongozi wenu wanashindwa kuwa na mikakati thabiti ya kujua nani ni adui yenu na mnakabiliana naye .....adui yenu ninyi popote pale duniani si Nyerere mwenye heri wala si ukristo na wala si wakristo......ninyi adui yenu ujinga,kukosa strategia,na mafundisho yasiyohitaji kuvumiliana na kuweka mikakati thabiti ila kulipa visasi......lalamikeni na si ndo tunajipanga zaidi.......mfano sisi tunachangishana na misaada ya vatican tunaendeleza vyuo kama vile St. Agustin na Buando ila ninyi wawezeshaji wenu wanaleta tende au pesa zikija manaanza kupambana na kutafuna mfano mzuri ni ujenzi wa msikiti wa Gadafi Dodoma zilipata kutumwa pesa watu wakataka kutoana kongosho na mradi kwa mara ya kwanza ukafeli matokeo yake gadafi alituma wasimamizi toka Libya ndo ukaisha ....sasa nani wakulaumiwa kati ya wakristo au ninyi wenyewe
 
wamezidi kupotosha umma wa watanzania. peleka korokoroni huyo.
 
Safi sana weka ndani huyo popo wanavuruga amani kwa kuandika. Fitna na majungu tuu

Nadhani wewe utakuwa kigogo wa serikali na unanufaika na ufedhuri huo ila kama sio utakuwa umewahi pelekwa milembe au baada ya kumaliza kupost huu utumbo umefungwa kamba unapelekwa milembe....maana kwa mtu timamu kabisa hali ya nchi ilpofikahuwezi washabikia hao majangili.....fuatilia yule jamaa waliyema mwanza amejiua baada ya kutaka kumuua polisi,kumbe uongo walienda kumpola ndo ujue shetani mkubwa wewe
 
CHRISTIANITY AND PRIVATE MEDIA HOUSES UNDER SIEGE AND
SYSTEMATIC
HUMILIATION BY THE STATE IN TANZANIA

In a span of less than two weeks the world has been made to witness a distributive spate of cold-blood killings of a number of vocal and most influencial church leaders and leftist media houses being put on the redlines day after day.

This time the treacherous murders had to be metted out in a MORE QUESTIONABLE PARTERN with bloodbaths being handed out systematically and in a suggestive pre-meditated look to a;

(a)
a LUTHERAN Church Bishop in Arusha under what is believed to have been POISONING,

(b)
a CATHOLIC Priest in Zanzibar by a tote of guns and

(c) a
MINORITY Group Christian faith leader in Geita by a reportedly 'State Friendly' home-grown terrorist outfit yet in all cases NOT EVEN A HOUSE-FLY is brought to court todate to answer any charges!!!

Which way Tanzania to this end?? Does anyone out there care before an river of blood courtesy of state-instigated religious-related cold-blood murders turns into an all-time ocean??

At the moment, the working strategy is shut-off all CHADEMA-friendly media houses and leave only newspapers owned by
President Kikwete & Rostam Aziz (Mtanzania and other related siblings) as well as 'Jambo Leo' who proprietor is one of the current CCM Presidential hopefuls.

Indeed, the most unfortunately failing last-ditch attempts of
'KILL-CHADEMA BEFORE 2015'
include those of being artificially blocked from media coverage, not to shine again on the floors of the parliament, get some youthful members bought-off the party soon and an outright killing in the offing.
 
Kama hayo maandishi hapo juu ni upuuzi mtupu basi wala mtu asihangaike kuyafuta humu kwa kuwa wasomaji wetu nao watayapuuzia mbali sana tu.
 
Back
Top Bottom