Mhariri Tanzania Daima ashikiliwa na Polisi!

Mhariri Tanzania Daima ashikiliwa na Polisi!

Wakishaifungia redio imani, gazeti la alnuur na tv imani sitakuwa na shaka na kukamata wahariri
 
Laana ikishakukamata ujue umekwish mazima. CCM na Serikali yake wameamua kuitangaza CDM usiku na mchana bila woga wowote. CCM mko vizuri
 
mnataka kikwete awaache muendelee kuigawa nchi vipande vipande??????????????????????????????????????????

NAKEMEAUDINI;

Wewe na babu yako Kiwete ndio WAASISI WA UDINI na ukabila!!!
Hivi kwa akili yako hujiulizi ni kwanini mambo haya ya UDINI,UKABILA,UBAGUZI WA KISIASA umeanza kushamiri na kuvuma sana kwenye awamu hii ya Kikwete?????

Awamu ya Kwanza ya Baba wa Taifa Mwl.Nyerere(RIP) hatukuwahi kusikia upuuzi kama huu!
Awamu ya Pili ya Mzee Ruksa(Babu Mwinyi) hatukuwahi kusikia upuuzi na ujinga kama huu!!!!
Awamu ya Tatu ya Ben Mkapa(Njomba) hatukuwahi kusikia ujinga kama huu!!!!

Awamu ya Nne ya Mrisho Jakaya Kikwete ndiyo TUNASIKIA UJINGA NA UPUUZI WA UDINI,UKABILA,KUNYANYASA WAPINZANI na mambo mengine mengi ya KIJINGA mpaka Bungeni, Uchumi,Elimu,Afya na kila mahali ni MADUDU matupu!!!

Sasa wewe kama una AKILI TIMAMU jiulize NI NANI ANAYEIGAWA NCHI HII VIPANDE VIPANDE kama siyo huyo KIWETE Wako!!!Tafakari na chukua hatua! Pambaf zako!
 
Dah! Hawa jamaa wameshayanunua magazeti yoooote, sasa wanataka kuli-eliminate hili ili habari ziwe za upande mmoja.

"Yana mwisho haya" - Rashidi wa Kuli.
 
Mkiongozwa na viongozi dhaifu ndio matatizo yake na ndio maotkeo yake
 
Back
Top Bottom