Mhariri Tanzania Daima ashikiliwa na Polisi!

Mhariri Tanzania Daima ashikiliwa na Polisi!

..., kwani gazeti la Tanzania Daima ni la CHADEMA?

Ndio ! Tanzania daima na MwanaHALISI ni magazeti ya CHADEMA.

• Tanzania daima; Mmiliki Freeman Mbowe chini ya kampuni yao na mkewe Lilian Mtei

•MwanaHALIS; Mmiliki wake ni Mkurugenzi wa fedha wa CHADEMA

Unataka yaandike mazuri ya serikali ya CCM ya JK na Kinana ?
 
Mhariri wa gazeti la Tanzania Daima Edson Kamukara anashikiliwa na Jeshi la Polisi tangu asubuhi mpaka muda huu.

Taarifa kutoka ndani ya jeshi la polisi hazijaweka bayana kosa la Mhariri huyo ingawa amehojiwa kutokana na habari anazozihariri.

Baada ya serikali kulifungia gazeti la Mwanahalisi gazeti linaloandamwa kwa sasa ni Tanzania Daima.Inadaiwa serikali haifurahishwi na habari mbalimbali zinazotolewa na gazeti hilo hasa taarifa zinazoonekana kukitangaza na kukijenga Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA

Hivi mhariri waTanzania Daima na Shehe Ilunga nani anatakiwa kuhojiwa kama kweli Polisi wana nia nzuri na Taifa letu???????.
 
Hata mimi nashangaa sana unaweza kudhani huenda Zitto anauhasama na Mhariri mhusika. Very strong message about Zitto Kabwe je nyie kama Tanzania Daima kwa Zitto Kabwe mnamjenga au mnambpmoa. Tunawashangaa sana.
Ndio sababu za kukamatwa huyo mhariri?
 
NI UJUHA KUJADILI KiTU MSICHOKIJUA, HAMJUI SABABU LAKIN MNAANZA KUUNDA HOJA ZISIZO NA MAANA.

KAMA AMEIBA? AMEBAKA? AMETUKANA? KATEMBEA NA MKE WA MTU?

INAMAANA MTU AKIWA MHARIRI ASIKAMATWE NA POLISI? SUBIRINI KWANZA MJUE SABABU YA KUKAMATWA KWAKE NASIO MNAKUJA NA HISIA TU KAMA SIO WASOMI.

USHABIKI WA KISIASA WA KUPINDUKIA HUPUNGUZA UWEZO WA KUTAFAKARI.

Ingekuwa ni kule Facebook ninge share hii comment yako ! Unaonyesha ulilipa ada shule
 
ustadh ilunga anadunda uswahilini,redio imaan inaendelea kurusha ----- hewani

mimi nawashangaa sana,huyu ustadh anatukuna wakirsto wazi wazi lakini hakuna hatua yoyote iliyochukuliwa,sasa wewe suburi haya mambo yatawacost sana serikani.serikali gani isiyowajali watu wake ! Kiufupi kazi imewashinda na kama vipi wastepdown hata jeshi lichukue nchi potiriya mbali .tumechoka.
 
mnataka kikwete awaache muendelee kuigawa nchi vipande vipande??????????????????????????????????????????

Tatizo hasa ni kwamba WEWE NA WENZIO mliopo ule upande wa watawala mnatumia vibaya utulivu wa watanzania. Na kwa bahati mbaya umma hauna polisi wa kuwakamata nyie kwa ajili ya kuhojiwa kutoka asubuhi hadi jioni ili mjitetee kwa makosa maelefu kwa maelfu unayowafanyia wananchi.
 
Mkuu, kwani hujui kama nchi iko under Auto-Pilot?

Vasco da Gama ametoka Ethiopia kaenda Uganda Kumzika Babake Museveni, huenda safari ya Ulaya tena ikaja soon

Only in Tanzania!

Who is Vasco da Gama jamani?
 
Mbona Ustaadhi Ilinga pamaoja na matoleo yake ya DVDs na mihadhara yake hatujasikia walau akihojiwa?? Hii serikali iko hapo kwa maslahi yao binafsi au ya nchi??
 
kama gazeti limekiuka maadili na kanuni za vyombo vya habari lazima lionywe. nakala ya onyo kupelekwa katika umoja wa vyombo vya habari. likirudia tena hfungiwa kwa muda. kama gazeti lina uchochezi na makala za kuhatarisha utulivu na amani ya nchi, bila shaka lazima lifungiwe.

kama makosa yapo na taratibu za onyo zilifuatwa, nashauri TANZANIA DAIMA LIFUNGIWE
 
Mhariri wa gazeti la Tanzania Daima Edson Kamukara anashikiliwa na Jeshi la Polisi tangu asubuhi mpaka muda huu.

Taarifa kutoka ndani ya jeshi la polisi hazijaweka bayana kosa la Mhariri huyo ingawa amehojiwa kutokana na habari anazozihariri.

Baada ya serikali kulifungia gazeti la Mwanahalisi gazeti linaloandamwa kwa sasa ni Tanzania Daima.Inadaiwa serikali haifurahishwi na habari mbalimbali zinazotolewa na gazeti hilo hasa taarifa zinazoonekana kukitangaza na kukijenga Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA

Watayafungia mengi sana maana CHAMASUMU kimeoza sasa walipoti nini kama habari kila kukicha ni uozo wa serikali?,leo ziro za f4,kesho makinda kapindisha sheria ,kesho kutwa PONDA kasingiziwa sio raia kisa kaigusa sheli kali kuwa iko dhaifu
 
kama gazeti limekiuka maadili na kanuni za vyombo vya habari lazima lionywe. nakala ya onyo kupelekwa katika umoja wa vyombo vya habari. likirudia tena hfungiwa kwa muda. kama gazeti lina uchochezi na makala za kuhatarisha utulivu na amani ya nchi, bila shaka lazima lifungiwe.

kama makosa yako na taratibu za onyo zilifuatwa, nashauri TANZANIA DAIMA LIFUNGIWE

Kama umetumwa na Shibuda ambaye ndo mlalamika juu ya huyo mhariri mjue imekura kwenu.
 
NI UJUHA KUJADILI KiTU MSICHOKIJUA, HAMJUI SABABU LAKIN MNAANZA KUUNDA HOJA ZISIZO NA MAANA.

KAMA AMEIBA? AMEBAKA? AMETUKANA? KATEMBEA NA MKE WA MTU?

INAMAANA MTU AKIWA MHARIRI ASIKAMATWE NA POLISI? SUBIRINI KWANZA MJUE SABABU YA KUKAMATWA KWAKE NASIO MNAKUJA NA HISIA TU KAMA SIO WASOMI.

USHABIKI WA KISIASA WA KUPINDUKIA HUPUNGUZA UWEZO WA KUTAFAKARI.

We mshenzi una akili sana..............lione kwanza!!! Umefundishwa reasoning and argument na Rwaitama au Mihanjo!!!???
 
Mhariri wa gazeti la Tanzania Daima Edson Kamukara anashikiliwa na Jeshi la Polisi tangu asubuhi mpaka muda huu.

Taarifa kutoka ndani ya jeshi la polisi hazijaweka bayana kosa la Mhariri huyo ingawa amehojiwa kutokana na habari anazozihariri.
Baada ya serikali kulifungia gazeti la Mwanahalisi gazeti linaloandamwa kwa sasa ni Tanzania Daima.Inadaiwa serikali haifurahishwi na habari mbalimbali zinazotolewa na gazeti hilo hasa taarifa zinazoonekana kukitangaza na kukijenga Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CHADEMA

Mlalamikaji ni njaa kali(SHIBUDA) ya kuwa gazeti lilimsema vibaya juu ya siasa zake chamani(CHADEMA).
 
Wanapoteza muda ,wafanye kazi tuliyowaajiri wafanye.Kwanza waanza na kutafuta wauaji wa viongozi wa dini wakiwapata ndio waanze na waandishi wote hata wa Uhuru na Mzalendo.

Ni wakati wa kujiweka sawa kwa vitimbi vya hii serikali penda rushwa. Kwa kawaida serikali corrupt zinahangaikia na namna ya kuuficha na kuuzuia uvundo wao usibainike kwa jamii. Katika harakati hizo hutumia kila njia kufanikisha uharamia wao zikiwa ni pamoja na Kuna kuvifunga mdomo vyombo vya habari kwa kuvinunua au kuvifungia kama walivyofanya kwa Mwanahalisi, Rai lililozaa Raia Mwema kina Rweyemamu, Kibanda na wengineo na wanasiasa kibao na kutunga sheria, maagizo na taratibu gandamizi kwa vyombo vya habari.
Binafsi siiogopi hali hiyo kwani mara nyingi sheria kandamizi hizo hizo ndizo hutumika kuwakomoa waliozitunga baada ya kung'atuliwa toka madarakani. Huu ndiyo utendaji wa serikali ya hilo zimwi liitwalo CCM - serikali fisadi iliyosheheni wezi kila kina na Kila ofisi kuanzia Ikulu hadi kata na vijiji!
Huhangaikia vijimambo na kuacha masuala mazito na muhimu kwa nchi na Taifa kama ilivyo hapa sasa, nchi inasumbuliwa na masuala mazito kabisa ya udini, ufisadi, kudorora kwa Elimu n.k.
Mapambano yanendelea, ushindi ni dhahiri.
 
Back
Top Bottom