Mhariri Mtendaji wa Uhuru aliyetimuliwa atinga semina ya TANAPA

Mhariri Mtendaji wa Uhuru aliyetimuliwa atinga semina ya TANAPA

kkarumekenge

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
1,708
Reaction score
1,030
Tanzania zaidi ya uijuavyo. Yule Mhariri Mtendaji wa magazeti ya CCM, Bw Joseph Kulangwa ambaye alitimuliwa na CCM kupitia Bodi na Nape akafunga kazi, Bw Joseph Kulangwa naona tunaye hapa Mwanza kwenye semina iliyoandaliwa na TANAPA kwa Wahariri.

Sijapitia orodha ya wanaohudhuria na utambulisho wao, lakini mwenzangu mmoja humu ukumbini kasema, Bw Kulangwa kajitambulisha kuwa ni Mhariri Mtendaji anatoka Uhuru na Mzalendo.

Muda mfupi jamaa atalamba posho ya sh 50,000! Ama kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo.
 
Usikute mwaliko ulikuja jamaa akaudaka akauficha kobis kabla hajatimuliwa kazi, bongo coordination ni zero kabisa
 
Tanzania zaidi ya uijuavyo. Yule Mhariri Mtendaji wa magazeti ya CCM, Bw Joseph Kulangwa ambaye alitimuliwa na CCM kupitia Bodi na Nape akafunga kazi, Bw Joseph Kulangwa naona tunaye hapa Mwanza kwenye semina iliyoandaliwa na TANAPA kwa Wahariri. Sijapitia orodha ya wanaohudhuria na utambulisho wao, lakini mwenzangu mmoja humu ukumbini kasema, Bw Kulangwa kajitambulisha kuwa ni Mhariri Mtendaji anatoka Uhuru na Mzalendo. Muda mfupi jamaa atalamba posho ya sh 50,000! Ama kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo.

Anajipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, ni kosa kisheria, kama ni kweli, njaa mbaya aisee!!
 
Huo ni umbea mkuu, kwanza hujamshuhudia yeye akijitambulishwa ati umeambiwa halafu unakimbia kuleta uzushi humu wa nini? Na hujui kama karejeshwa kazini wala nini, uliona barua iliyomwachisha kazi? Elfu 50 yako iko pale pale acha chuki za kike mkuu


tanzania zaidi ya uijuavyo. Yule mhariri mtendaji wa magazeti ya ccm, bw joseph kulangwa ambaye alitimuliwa na ccm kupitia bodi na nape akafunga kazi, bw joseph kulangwa naona tunaye hapa mwanza kwenye semina iliyoandaliwa na tanapa kwa wahariri. Sijapitia orodha ya wanaohudhuria na utambulisho wao, lakini mwenzangu mmoja humu ukumbini kasema, bw kulangwa kajitambulisha kuwa ni mhariri mtendaji anatoka uhuru na mzalendo. Muda mfupi jamaa atalamba posho ya sh 50,000! Ama kweli tanzania ni zaidi ya uijuavyo.
 
kweli hawa watu hawakulipwa mshahara kipindi kirefu sana ! kutoka Dar hadi mwanza kufuata 50000 !
 
kweli hawa watu hawakulipwa mshahara kipindi kirefu sana ! kutoka Dar hadi mwanza kufuata 50000 !

Mbona wenzao wa RFA, Star tv na Kiss, keshokutwa wanaanza mwezi wa saba (7) hawajalipwa lakini kutokana na moyo wa uzalendo uliotukuka jamaa wanapiga mzigo!
 
Tanzania zaidi ya uijuavyo. Yule Mhariri Mtendaji wa magazeti ya CCM, Bw Joseph Kulangwa ambaye alitimuliwa na CCM kupitia Bodi na Nape akafunga kazi, Bw Joseph Kulangwa naona tunaye hapa Mwanza kwenye semina iliyoandaliwa na TANAPA kwa Wahariri.

Sijapitia orodha ya wanaohudhuria na utambulisho wao, lakini mwenzangu mmoja humu ukumbini kasema, Bw Kulangwa kajitambulisha kuwa ni Mhariri Mtendaji anatoka Uhuru na Mzalendo.

Muda mfupi jamaa atalamba posho ya sh 50,000! Ama kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo.

Huu ni uongo. niko kwenye huo mkutano, kulangwa hayuko hapa
 
Anajipatia fedha kwa njia ya udanganyifu, ni kosa kisheria, kama ni kweli, njaa mbaya aisee!!
Anajipatia 'ujuzi' kwa njia ya udanganyifu maana kilichowapeleka pale ni semina sio pesa!
 
Na wewe itakuwa mhariri wa hovyo kiwahi kutokea duniani,kama upo kwenye semina na hujui kajitambulisha vipi,shame on you.
 
Tanzania zaidi ya uijuavyo. Yule Mhariri Mtendaji wa magazeti ya CCM, Bw Joseph Kulangwa ambaye alitimuliwa na CCM kupitia Bodi na Nape akafunga kazi, Bw Joseph Kulangwa naona tunaye hapa Mwanza kwenye semina iliyoandaliwa na TANAPA kwa Wahariri.

Sijapitia orodha ya wanaohudhuria na utambulisho wao, lakini mwenzangu mmoja humu ukumbini kasema, Bw Kulangwa kajitambulisha kuwa ni Mhariri Mtendaji anatoka Uhuru na Mzalendo.

Muda mfupi jamaa atalamba posho ya sh 50,000! Ama kweli Tanzania ni zaidi ya uijuavyo.

Yaani jamaa katoka Dar kuja Mwanza kulamba posho ya sh50,000 au umekosea kuandika?
 
Yan unataka kuniambia amesafiri kutoka dar mpaka mwanza kufata posho ya elf 50? Mbona njaa kali sana
 
Atakuwa bado hajapewa barua ya kufukuzwa kazi na uzuri huenda kabla hajapewa kauli ya kufukuzwa kazi alikuwa ana barua ya kuhudhuria hiyo semina na huenda tayari tiketi alikuwa nayo mkononi
 
Back
Top Bottom