Mhariri Mtendaji wa Uhuru aliyetimuliwa atinga semina ya TANAPA

Mhariri Mtendaji wa Uhuru aliyetimuliwa atinga semina ya TANAPA

Mleta uzi una chuki zako. Nipo mwanza. Sijamuona mwalimu kulangwa. Hata akiwapo, si kosa. Mhariri si lazima awe kaajiliwa. Uhariri wake hauondoki kwa kuondoka Uhuru. Mhariri ni mhariri kama ilivyo kwa jenerali wa jeshi. Huwezi kuwa si jenerali kwa sababu eti umeacha utumishi wa jeshi.
 
TANAPA inawadharau wahariri inawapa elfu 50 kweli?

Kutoka Dar hadi Rocky city wanawapa 50.
 
Back
Top Bottom