Quote:-
"Hapa piga ua lazima pana mkono wa akina MVI"
Wakuu heshima mbele, hatimaye nimepata dataz za kwanza kutoka ground Zero ambazo sina uhakika how good they are lakini ninaiamini the source, Kubenea na Ndimara, walikuwa wakitayarisha article nzito inayotabiri kusukwa kwa baraza jipya la mawaziri, ambalo liko tayari, ndani yake walikuwa waseme kuwa mkulu ameachwa pembeni na "Tyson" kuchukua nafasi yake, info zika-leak wakiwa bado wanatayarisha hiyo article, na kufika pasipotakiwa, and the rest of the story......!,
Bado tunaendelea kuzitafuta zaidi, zikipatikana hapa hapa JF!
Ahsante Wakuuu!
ES
Mawazo yako hayana tofauti na baadhi ya watu wanaopenda kupata majibu ya haraka bila kutumia muda kutafakari.
Jana nilisikitika nilipoanagalia Taarifa ya Habari na leo niliposoma Tamko La BAVICHA,Mzee Mengi,Makunga,Sakina Datoo hawa nao niliona ni kwa kiwango gani walivokua wavivu wakufikiri pale walipo toa hukumu kabisa kua Kuvamiwa kwa kubenea kuna Uhusiano wa moja kwa moja na UANDISHI wake,hawa watu ktk matamko yao walitoa hukumu kabisa kua kubenea amehujumiwa,kama ilivo kwa JOHN MNYIKA ( ingiwa najua tatizo lake ni uanaharakati,na tabia yao nikutafuta majibu rahisi)kudai kua vijana waliofanya tukio wametumiwa na mafisadi so wasitumike, bila kukumbuka kua mmoja alie kamatwa ana miaka 65 sijui kama ni kijana.
RIOBA ktk waongeaji alikua more objective na hakutaka kuhukumu ingawa Prof wangu Shivji nae jana kidogo nilijiuliza is it uzee unamuanza au ni bcs nae ameaminishwa kua kubenea amehujumiwa na mafisadi, Mengi yeye simshangai ni mzee wa kuchukua oppprtunities na always hua ni mtu wa kukurupuka.
JANA NILIULIZA MASWALI HAPA JF KUA KAMA KWELI KUBENEA AMEKUA ANAKUMBANA NA VITISHO (JE ALISHINDWA KUWEKA ANGALAU MLINZI WA KIMASAI KTK OFISI YAKE? PIA WHY WATU WANAKIMBILIA KUDAI KUA AMEHUJUMIWA BCS YA UANDISHI WAKE NA TUSIJIULIZE MASWALI MADOGO MAY BE KADHULUMU,KACHUKUA MKE WA MTU,AU WALIOVAMIA NI VIBAKA,OR NI MATEJA BCS HATA SILAHA ZAO NI MAARUFU MIONGONI MWA MATEJA,etc)
Watanzania wengi wanataka kuaminishwa kwamba tukio hilo ni hujuma kwa vigezo kua amekua akipata sms za vitisho,or ametaka kugongwa naGARI makusudi,hivi kwa siku ni wangapi wanapoteza maisha kwa kugongwa na magari either kwa uzembe wa DEREVA au wa mtumiaji wa njia mwenyewe,why tusijiulize kubenea inawezekana alikua amelewa akashindwa kufata sheria za barabarani or dereva aliemkosa alikua amelewa mzembe.
Nachoomba kuptia Forum hii WAANDISHI walifanye tukio hili kama matukio mengine mpaka pale uthibitisho utakapo kua kweli ni hujuma.
Ni hatari kwa jamii kuwapa nafasi watu kama SAKINA DATOO wa SUNDAY CITIZEN bcs mara nyingi amekua ni mtu ambae ni opportunist wanao fanya nae kazi wanlijua hilo anapotoa kauli zake mara nyingi hana Facts,na anakua ni mtu wa kuongozwa na HISIA zaidi,MAKUNGA jana alionyesha kitu cha ajabu kua waandishi wanafanya uchunguzi kabla ya kuandika (theme ya maongezi yake) lakini nilishangaa je kabla ya kuongea alikua amefanya uchunguzi wa kiwango GANI? MAMA TAMWA sijashangaa ni NATURE ya kazi yake wana harakati mara nyingi ni watu hatari sana bcs to them kilakitu ni opportunity kama alivo wahi kusema PROF WANGU MAREHEMU CHACHAGE (TO TRUST ACTIVIST IS NOT SAFE AS TO TRUST REVOLUTIONIST)
Wana JF inawezekana ni kweli kahujumiwa,nani hatujui thats why TIBA anafanya uchunguzi tusubiri matokeo tujaribu kuangalia jambo la kubenea kwa mapana zaidi isije tukaifanya FANI YETU YA HABARI NI CHAKA LA MAOVU kila mwandishi akiguswa basi tu conclude hujuma bcs ni mwandishi ifike mahali tuliangalie jambo kwa UHALISIA WAKE kuliko HISIA.
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI