Fred Katulanda
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 374
- 509
Taarifa ambazo zimenifikia punde zinasema kuwa mhariri wa New habari Danny Mwakiteleko amefariki dunia kiwa anaendelea kupatiwa matibabu Muhimbili. Danny alilazwa hapo kutokana na kupata ajali ya gari usiku wakati akitoka kazini. Bwana ametoa, na Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe!