Mhandisi mwalimu anaomba msaada.

Mhandisi mwalimu anaomba msaada.

Mie pia ni Engineer ila Mie nina mtihani mkubwa sana ktk maisha yng kuhsu ajira na Condition yngu..Age inasogea kigugumz chang kinanikosesh aman hasa ktk saili hizi nashindw kukizuia ndo kinazidi kabisa..Sijui itkuwje .
Pole sana mkuu. Usikate tamaa hiyo ni hali ya kawaida tu wala isikukoseshe amani na kukufanya ushindwe kusonga mbele.

Jifunze kuwa na confidence kwani hiyo ndio dawa yake tosha kabisa.

Naamini mpaka umefika hapo basi ni wazi kabisa umevuka vikwazo vingi maana kuwa mhandisi sio jambo dogo. Believe it that you can do it.

Wewe hakika ni tajiri ajae either kwa kupata ajira ama kwa kujiajiri.💪
 
Pole sana mkuu. Usikate tamaa hiyo ni hali ya kawaida tu wala isikukoseshe amani na kukufanya ushindwe kusonga mbele.

Jifunze kuwa na confidence kwani hiyo ndio dawa yake tosha kabisa.

Naamini mpaka umefika hapo basi ni wazi kabisa umevuka vikwazo vingi maana kuwa mhandisi sio jambo dogo. Believe it that you can do it.

Wewe hakika ni tajiri ajae either kwa kupata ajira ama kwa kujiajiri.
Shukrani sana mkuu..hakika nafarijika na ushauri wenu.
 
Shukrani sana mkuu..hakika nafarijika na ushauri wenu.
Mungu ni wetu sote mkuu na kila mtu ana riziki yake hapa duniani, na anayepanga ni Mungu pekee either kwa kuwahi au kuchelewa believe me ipo siku neema kwako itakuja pia. Kutangulia siyo kufika. Amini kuwa ipo siku nawe utalia kivulini either kwa kuajiriwa au kujiajiri na naamini hiyo siku yaja very soon kwako. Keep on pushing and praying to God coz better days are on the way coming towards you and they'll last forever.

JIAMINI💪, UNAWEZA hicho kigugumizi chako ni kama kama doa tu mwilini, likubali, jikubali pia na ujiamini.
 
(1) Connection kwenye kupata sehemu yoyote ya kufundisha; Nina uwezo wa kufundisha masomo matatu kwa ufasaha Physics, Chemistry na Mathematics kwa level zote,
Mkuu umesoma lakini huheshimu taaluma za watu,wewe sio mwalimu,hivyo hupaswi kusema unauwezonwa kufundisha,ualimu sio kufundisha tu what is physics or chemistry,ualimu ni zaidi ya hayo,sijawahi kuta mwalimu aliyesoma chemistry au biology akijinadi kuwa anauwezo wa kutoa huduma za kitabibu au mtu yeyote aliyosoma fani tofauti akijita yeye ni mwanasheria,kwanini ualimu!?

Nyie ndo munaoufanya ualimu uonekane hauna maana, kwamba baada ya kuona mambo yako hayaendi basi pumziko ni kwenye ualimu!!?
 
Mungu ni wetu sote mkuu na kila mtu ana riziki yake hapa duniani, na anayepanga ni Mungu pekee either kwa kuwahi au kuchelewa believe me ipo siku neema kwako itakuja pia. Kutangulia siyo kufika. Amini kuwa ipo siku nawe utalia kivulini either kwa kuajiriwa au kujiajiri na naamini hiyo siku yaja very soon kwako. Keep on pushing and praying to God coz better days are on the way coming towards you and they'll last forever.

JIAMINI, UNAWEZA hicho kigugumizi chako ni kama kama doa tu mwilini, likubali, jikubali pia na ujiamini.
blessed sana mkuu..
 
Mtaani panazidi kuwa tight...mimi mkataba uliisha August 2023 lakin naona kama nimekaa miaka
 
Mie pia ni Engineer ila Mie nina mtihani mkubwa sana ktk maisha yng kuhsu ajira na Condition yngu..Age inasogea kigugumz chang kinanikosesh aman hasa ktk saili hizi nashindw kukizuia ndo kinazidi kabisa..Sijui itkuwje .
Kwa hiyo ukaamua kujipa jina la kubeti?
 
Mkuu umesoma lakini huheshimu taaluma za watu,wewe sio mwalimu,hivyo hupaswi kusema unauwezonwa kufundisha,ualimu sio kufundisha tu what is physics or chemistry,ualimu ni zaidi ya hayo,sijawahi kuta mwalimu aliyesoma chemistry au biology akijinadi kuwa anauwezo wa kutoa huduma za kitabibu au mtu yeyote aliyosoma fani tofauti akijita yeye ni mwanasheria,kwanini ualimu!?

Nyie ndo munaoufanya ualimu uonekane hauna maana, kwamba baada ya kuona mambo yako hayaendi basi pumziko ni kwenye ualimu!!?
Wapo walimu wengi tu ni vilaza kuliko ambao hawajasomea ualimu. Kusoma na kupractice ni vitu viwili tofauti, tuliosoma sayansi tunajua. Mm nimefundishwa vzr zaidi na form six leavers kuliko mnaojiita walimu
 
Mkuu both teams to score-YES pole sana kwa situation yako, and the first to do is not to give up, endelea kupambana huku ukimshirikisha Muumba wako hakika the day will come, utaona anakushika mkono kukuvusha kwa mlango uliofunguka.

The next thing is to create some passive ways of making money (Fx, Crypto, Stocks) etc.... These doesn't require one to speak or interact with people to make money. Just you and your computer at home. Ila hii iwe ya Mwisho kabisa focus zaidi na hiyo ya juu hapo firstly.

Keep hoping the better days are coming.... Ninavyokushauri hivi ninajua changamoto km ya kwako imenisibu that's why I feel it.

Kila la heri mkuu both teams to score-YES
 
Mkuu umesoma lakini huheshimu taaluma za watu,wewe sio mwalimu,hivyo hupaswi kusema unauwezonwa kufundisha,ualimu sio kufundisha tu what is physics or chemistry,ualimu ni zaidi ya hayo,sijawahi kuta mwalimu aliyesoma chemistry au biology akijinadi kuwa anauwezo wa kutoa huduma za kitabibu au mtu yeyote aliyosoma fani tofauti akijita yeye ni mwanasheria,kwanini ualimu!?

Nyie ndo munaoufanya ualimu uonekane hauna maana, kwamba baada ya kuona mambo yako hayaendi basi pumziko ni kwenye ualimu!!?
Tulia wewe,
Hakuna aliyeingia darasani akasoma vizuri halafu anashindwa kufanya hiyo kazi ya ualimu.
Kama unaweza jifanye tabibu basi na huo ualimu wako.
 
Back
Top Bottom