gracemwakilasa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 538
- 1,281
AiseeeeHuyu hata sura tu anaonyesha sio raia lakini hana adabu na usipofunzwa na wazazi utafunzwa na ulimwengu
AiseeeeHuyu hata sura tu anaonyesha sio raia lakini hana adabu na usipofunzwa na wazazi utafunzwa na ulimwengu
HaaaaaahhhSisi wa mlengwa wa kulia tunaenda uamiaji mbona kama anafanana na mmalawi inabidi alete uraia wa bibi na babu zake wa upande wote
Kaka nenda pale uhamiaji kawaambie wakuangalie ww raia wa wapi watakupa jibu na ingependeza ungeenda na huyo mdada ungepata jibu sahihi sanamkuu, watanzania wanafananaje?
Adabu ndo hiyo ya maprofesa wachumia tumbo eh... Afu mnatumbuliwa kwa aibu mnarudi mmeufyataHuyu hata sura tu anaonyesha sio raia lakini hana adabu na usipofunzwa na wazazi utafunzwa na ulimwengu
Wamteke ananinii huyo au ww ndio utamteka naona unaanza kuandaa mazingira ili ufanikishe lengo lako lakini ili mradi usha predict humu basi lolote likitokea kwake kama ulivyotabiri basi tutarudi kwako mkuu kukupa hongeraMkuu Max naye si umemuona hapo !?..Ni kupambana tu Mkuu..
Kwani mpo kundi moja?? Nataka nikiwajibu niwapige kwa pamoja..Adabu ndo hiyo ya maprofesa wachumia tumbo eh... Afu mnatumbuliwa kwa aibu mnarudi mmeufyata
Hahahaaaaaaaa kweli aisee ni dokiiHey! Wiki iliyopita nilimwona, Nika dhani ni Dokii.
Kutumiwa bila kuwa na akili ni kitu kibaya sana. Anayofanya Magufuli si mageni duniani, nchi yeyote LAZIMA iwe na sheria isipokuwa hapa Tanzania wananchi walizoea ubabaishaji mno na kutofuatiliwa ulipaji kodi kwa miaka zaidi ya 30 mpaka ikawa kama vile ujinga ndiyo hali halisi ya watanzania. Bahati mbaya, hata wasomi wetu nao ni mambumbumbu kwani hawajuwi chochote.
Muangalie na kumsikiliza kwa sikio na jicho la tatu...Unachosema ni kweli. Je, Maneno ya huyu mama yana ukweli kiasi gani?
Hoja zake unaweza kutupa majibu au ufafanuzi kiasi!Huyu hata sura tu anaonyesha sio raia lakini hana adabu na usipofunzwa na wazazi utafunzwa na ulimwengu
Wewe endelea kunywa ulanzi achana na wasomi.professor uchwara