Mh. Zitto kuna ukweli gani katika ripoti hii?

Acheni jamani mbona hajafanya kosa lolote amesingiziwa tu na hata yale kuitwa mnafiki amesingiziwa tu na hata kwamba yuko kwenye payroll ya serikali na ni ndumilakuwili siyo chadema halisi bali ni gov.agent anasingiziwa tu.

Swali yeye ni nani mpaka awe kila siku anasingiziwa tu na hakuna watu wengine wa kusingiziwa?

Kwa kazi chache nzuri alizowahi kuzifanya si ingelitosha kabisa kumjengea heshima kubwa katika jamii lakini anayepigiwa kelele kila siku ni yeye tu ana nini cha ziada?
 
Acheni jamani mbona hajafanya kosa lolote amesingiziwa tu na hata yale kuitwa mnafiki amesingiziwa tu na hata kwamba yuko kwenye payroll ya serikali na ni ndumilakuwili siyo chadema halisi bali ni gov.agent anasingiziwa tu.

Swali yeye ni nani mpaka awe kila siku anasingiziwa tu na hakuna watu wengine wa kusingiziwa?

Kwa kazi chache nzuri alizowahi kuzifanya si ingelitosha kabisa kumjengea heshima kubwa katika jamii lakini anayepigiwa kelele kila siku ni yeye tu ana nini cha ziada?

Kwa watu wengi na nafikiri na Mh Zitto mwenyewe ana ambition ya kuwa one of our top leaders in future. Pia anaonekana ni role model kwa watu wengi. Hata vitoto vidogo mitaani vinamjua Mh Zitto kama wanavyomjua Messi. Kwa hiyo vitu kama hivi vitamsadia Mh Zitto kama akifanikiwa kuwa kiongozi wetu wa ngazi ya juu ajifunze mapema kabisa asije akakumbwa na tuhuma kama zile zinazomkabili Rais wetu kununuliwa suti 5 na investor. Sio unaangalia taarifa ya habari na watoto, mara anatokea mtu na kukanusha kuwa Rais hakununuliwa suti 5. Mara watoto wanaanza kukuuliza maswali amesema Rais amefanyaje? Unabaki kumumunya maneno. We don't want these tuhuma kuwepo in the first place. Ni muhimu viongozi wetu wajao wajue jinsi ya kuepukana na tuhuma ambazo hazina mpango na badala yake wa concentrate kwenye kazi za kujenga hili taifa. Tunapoteza muda mwingi sana kujadili na kukanusha tuhuma.
 
kumbe ndio maana jamaa anaandika historia ya kuwa mbunge pekee wa chadema asielamba posho za vikao kwa kuwa kuna source zingine za income?
 
Mkuu ndio maana nilisema kwenye post yangu ya awali kabisa kuna sentensi zinajicontradict zenyewe. On one hand inasena: "This move, according to the ABG's Public Relations Manager Teweli Teweli, was a result of a proposal submitted to the company by Kigoma North MP."

On the other hand inasema: "Kigoma North government submitted a proposal and Barrick funded it because Kigoma North's education system is lagging behind national standards. Kabwe had complained about the same issue in Parliament for years, with no effect." Reads part of the research seen by The Guardian on Sunday.

So which is which? The only person to give the correct answer is Hon Zitto. Hata hivyo kama alivyosema Mwanakijiji huwa kuna manispaa ya Kigoma North? Kigoma Mjini, Kigoma Vijijini, Kibondo na Kasulu ndio manispaa za kigoma. Hii "Kigoma North government" ndio ipi?
Wakuu JF nashukuru sana kuona concern tuliokuwa nayo wengi sasa inaeleweka. Haikuwa tuhuma za kula rushwa kwa namna yoyote bali jinsi habari inavyo ji contradict inazua maswali mengi sana.

Kwanza Mkuu Mkandara katika thread aliuliza 'Zitto kuna ukweli gani katika report hii'? Hakuenda kwenye conclusion bali kuto nafasi kwa mh Zitto kufafanua habari yenyewe (clarify).

Zitto akakubali kuwa ni yeye alifanya mahojiano na huyo 'researcher' na kumruhusu aandike. Fair enough!
Badala ya kuweka sawa taarifa kama hizi '........was a result of a proposal submitted to the company by Kigoma North MP." na 'Kigoma North government submitted a proposal and Barrick funded it because Kigoma North's education system is lagging behind national standards' Mh Zitto alianza uetetezi kuwa hakuchukua pesa!!!!

Hata pale EMT alipoweka sawa mkanganyiko huo, jibu lilikuwa lile lile 'sikuchukua kitu'.
Binafsi nimetoa maoni kuwa tatizo sio rushwa, bali habari ina mchanganyiko lakini haikueleweka.

Matokeo yake tumeisoma nyaraka vizuri na katika kuichambua tunaona kuna mambo mengi zaidi ya kujibiwa sio suala la rushwa.

Tuendelee wakuu
 
Mkuu ndio maana nilisema kwenye post yangu ya awali kabisa kuna sentensi zinajicontradict zenyewe. On one hand inasena: "This move, according to the ABG's Public Relations Manager Teweli Teweli, was a result of a proposal submitted to the company by Kigoma North MP."

On the other hand inasema: "Kigoma North government submitted a proposal and Barrick funded it because Kigoma North's education system is lagging behind national standards. Kabwe had complained about the same issue in Parliament for years, with no effect." Reads part of the research seen by The Guardian on Sunday.

So which is which? The only person to give the correct answer is Hon Zitto. Hata hivyo kama alivyosema Mwanakijiji huwa kuna manispaa ya Kigoma North? Kigoma Mjini, Kigoma Vijijini, Kibondo na Kasulu ndio manispaa za kigoma. Hii "Kigoma North government" ndio ipi?
Kwanza, I take this discussion very positively with the exception of few people who try to make this matter political.

This is ethical matter and I consider this as an act of public scrutiny of members of the public to the public office holder. Now, few responses:
Kigoma district council (Halmashauri ya Wilaya Kigoma) iliomba msaada huo katika juhudi zetu za kujenga shule zaidi za sekondari. Wao ndio waliandika proposal na walisambaza kwenye kampuni nyingi. TANAPA kwa mfano walijenga bweni la wanafunzi katika shule ya sekondari Bugamba kipindi hicho hicho.

Mimi kama Mbunge wa Jimbo nilifuatilia maombi haya kwa karibu kabisa mpaka walipopata na kutumia fedha hizo kununua mabati (na saruji).
Je ni kazi ya Mbunge kuombaomba misaada? Kinadharia sio kazi ya Mbunge hii. Kiukweli tumekuwa tukifanya kazi za executive. Miradi mingi jimboni kwangu inatokana na juhudi binafsi za kutafuta misaada. Kazi hii ingefanywa na executive. Huu ni mjadala mpana na unahitaji kuwepo ili kuweza kusaidia. Mbunge akisema kuwa akae na kusubiri Serikali ilete miradi, miradi haitatokea kabisa kabisa. Kutokana na desire hii ya miradi kwenye majimbo wabunge tunajikuta katika mitihani kama hii ya Barrick kutoa misaada.

Hapa nakubaliana na mwanakijiji kwamba tunahitaji kuwepo na sheria ya lobbying. Nimelisema jambo hili Bungeni kwa muda mrefu sasa. Barrick katika hali ya kawaida walikubali maombi ya msaada Kigoma kuonyesha kuwa wao sio wabaya hivyo kama Zitto anavyowafikiria na hivyo CSR yao ionekane Kigoma. Kimsingi bajeti yao ya CSR ni kubwa sana na nimeona miradi mingi katika maeneo ya uchimbaji. Lakini hii haiiondoi kuwa wanapaswa kulipa kodi na ni jambo nimekuwa nikilisema kila wakati ninapopata nafasi.

Mkandara na wengine wanahoji sahihi kabisa. Ninaomba tu kuwa mijadala ya namna hii iendelee itatufanya wanasiasa tuwe makini na kujua public inatuweka kwenye mizani. Kwa kweli sioni kosa kusaidia watu wangu. Lakini kuna jambo kubwa la kujifunza katika maoni ya wengi hapa.

Mwaka 2008 na kisha mwaka 2011 niliwasilisha muswada binafsi Bungeni kuhusu sheria ya maadili ya viongozi. Moja ya jambo ninalopendekeza ni hili la kutangaza misaada tunayopata kwa ajili ya majimbo yetu (transparency).

Napenda kuwahakikishia kuwa nimejifunza katika mjadala huu na siku za usoni nitakuwa makini zaidi katika suala kama hili.

JF ya mijadala ya aina hii (ukiachana na wachangiaji wachache wenye kuleta masuala ya uwongo na uzushi) ndio JF tuliyoiunda. This public scrutiny shall extended to actions and inactions of many of us holding public offices. It shall go to NGOs receving donations from various corporations as well.

Kama kuna maswali zaidi nipo tayari kuyajibu.
 
We don't want these tuhuma kuwepo in the first place. Ni muhimu viongozi wetu wajao wajue jinsi ya kuepukana na tuhuma ambazo hazina mpango na badala yake wa concentrate kwenye kazi za kujenga hili taifa.

Tunapoteza muda mwingi sana kujadili na kukanusha tuhuma.
Nakubaliana na wewe. Masuala haya ni muhimu kuyajadili. Uwazi wa aina hii ni muhimu sana kwetu. Shukran
 
Kwanza, I take this discussion very positively with the exception of few people who try to make this matter political.
kuwa kiongozi ni pamoja na kukiri makosa, nakukubali kwa hili mheshimiwa.
 
kumbe ndio maana jamaa anaandika historia ya kuwa mbunge pekee wa chadema asielamba posho za vikao kwa kuwa kuna source zingine za income?
Iwapo unaamini kuwa posho zaenda kujenga mashule. Msaada huu ulitokea mwaka 2009, wakati huo nilikuwa nalamba posho. Nadhani turudi kwenye hoja ya msingi na kuachana na hizo hoja za kwanini Zitto hachukui posho
 
What are the facts kutoka kwenye original article na facts kutoka kwa Zitto? halafu tuzipime facts hizo and based on those facts lets try to agree on the meaning.. lets follow the facts wherever they may be or lead us na kutoka hapo to-eliminate all the inconsistencies na na kama alivyosema Sherlock Holmes "once you have eliminated all which is impossible,whatever remains, however improbable must be the truth"
 
Ooh nimeposti kabla sijasoma hiyo ya hapo juu ya Zitto nadhani sasa tunazo facts za kutosha kuweza kufanya inference yoyote ile. Thanks.
 
Kinachowaponza Wabunge wa majimbo kwa sasa ni haka kaugonjwa ka sasa ka kila Mbunge kujaribu "kuwaletea maendeleleo" wapiga kura wake ili aendelee kuchaguliwa. Hili limeanzishwa na wabunge matajiri kufanya kila kitu kwa pesa yao kwenye miradi mingi majimboni mwao.

Ninayo mifano ya Wabunge kama Nimrod Mkono wa Musoma (V), aliyekuwa Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz, Mbunge wa Monduli, Lowassa, Mbunge wa Singida Mjini, Mohamed Dewji, etc, etc.

Miradi ya namna hii sio endelevu kwa kuwa inategemea kuendelea kuwepo kwa Wabunge hawa. Kwa Wabunge masikini kama Zitto anavyojinadi hapa (ingawa hakusema benki ana kiasi gani cha fedha!) wanajikuta wakitembeza bakuli hata kusikokubalika kama huku Barrick alikoenda.

Ushauri wangu kwa wabunge kama Zitto ni kwamba waendelee kuibana serikali kwenye matumizi na vipaumbele vyake. Pesa zipo. Zinatafunwa sana hasa na mihimili hii miwili yaani SERIKALI na BUNGE.
 
Kwanza, I take this discussion very positively with the exception of few people who try to make this matter political.

This is ethical matter and I consider this as an act of public scrutiny of members of the public to the public office holder. Now, few responses:
Kigoma district council (Halmashauri ya Wilaya Kigoma) iliomba msaada huo katika juhudi zetu za kujenga shule zaidi za sekondari. Wao ndio waliandika proposal na walisambaza kwenye kampuni nyingi. TANAPA kwa mfano walijenga bweni la wanafunzi katika shule ya sekondari Bugamba kipindi hicho hicho.

Mimi kama Mbunge wa Jimbo nilifuatilia maombi haya kwa karibu kabisa mpaka walipopata na kutumia fedha hizo kununua mabati (na saruji).
Je ni kazi ya Mbunge kuombaomba misaada? Kinadharia sio kazi ya Mbunge hii. Kiukweli tumekuwa tukifanya kazi za executive. Miradi mingi jimboni kwangu inatokana na juhudi binafsi za kutafuta misaada. Kazi hii ingefanywa na executive. Huu ni mjadala mpana na unahitaji kuwepo ili kuweza kusaidia. Mbunge akisema kuwa akae na kusubiri Serikali ilete miradi, miradi haitatokea kabisa kabisa. Kutokana na desire hii ya miradi kwenye majimbo wabunge tunajikuta katika mitihani kama hii ya Barrick kutoa misaada.

Hapa nakubaliana na mwanakijiji kwamba tunahitaji kuwepo na sheria ya lobbying. Nimelisema jambo hili Bungeni kwa muda mrefu sasa. Barrick katika hali ya kawaida walikubali maombi ya msaada Kigoma kuonyesha kuwa wao sio wabaya hivyo kama Zitto anavyowafikiria na hivyo CSR yao ionekane Kigoma. Kimsingi bajeti yao ya CSR ni kubwa sana na nimeona miradi mingi katika maeneo ya uchimbaji. Lakini hii haiiondoi kuwa wanapaswa kulipa kodi na ni jambo nimekuwa nikilisema kila wakati ninapopata nafasi.

Mkandara na wengine wanahoji sahihi kabisa. Ninaomba tu kuwa mijadala ya namna hii iendelee itatufanya wanasiasa tuwe makini na kujua public inatuweka kwenye mizani. Kwa kweli sioni kosa kusaidia watu wangu. Lakini kuna jambo kubwa la kujifunza katika maoni ya wengi hapa.

Mwaka 2008 na kisha mwaka 2011 niliwasilisha muswada binafsi Bungeni kuhusu sheria ya maadili ya viongozi. Moja ya jambo ninalopendekeza ni hili la kutangaza misaada tunayopata kwa ajili ya majimbo yetu (transparency).

Napenda kuwahakikishia kuwa nimejifunza katika mjadala huu na siku za usoni nitakuwa makini zaidi katika suala kama hili.

JF ya mijadala ya aina hii (ukiachana na wachangiaji wachache wenye kuleta masuala ya uwongo na uzushi) ndio JF tuliyoiunda. This public scrutiny shall extended to actions and inactions of many of us holding public offices. It shall go to NGOs receving donations from various corporations as well.

Kama kuna maswali zaidi nipo tayari kuyajibu.
this post by Hon Zitto is very panoramic and fertile.... it iluminates many people from darkness, i totally agree that day to day responsibilities of our entrusted leaders should be practiced in a transparent route, morality of most citizens is a result of the mindset that should be shown by shinning examples from public leaders

welldone Zitto
 
Kumbukeni ya yule jamaa wa IMF, wamempaka na baadaye wanasema hana hatia!! Siasa ni mchezo mchafu sana samtims lo!
 
Pamoja na michango mingi mizuri sana katika mada hii, naomba tukubaliane kimsingi kwamba viongozi wa kisiasa Tanzania wataendelea kupata tuhuma nyingi sana kama wao wenyewe hawatakuwa makini katika maisha yao ya kiutendaji na ya kawaida.

...ifikie hatua sasa kwa wanasiasa makini kama Zitto kuwa na team ya washauri makini ambao kazi yao ni pamoja na kuchunguza, kutafiti na kuongoza wanasiasa hao ili wasiwe wanaingia kwenye controversies kama hizi...enzi za mwanasiasa kudhani kwamba ni kila kitu zimepita, kwa sasa the power of information ina-impact maisha ya professor na mwananchi wa kijiweni alike!

Hata kama ni tetesi au majungu, mwisho wa siku gharama ya kurudisha heshima yaweza kuwa kubwa sana....

MWISHO kabisa, kwa mwendo huu wa wanasiasa kuwa na UKWASI ambao hauendani na vipato vyao na pia uhalisia wa maisha ya waTanzania wengi, MATOPE haya yataendelea kuchafua wengi sana.....
 
Read my signature

wengine wanadanganya ili wapate nafasi za kugombea. hujawahi kusikia skendo za wanasiasa wetu kutumia majina ya bandia kujimilikisha shahada, shahada za uzamili hata zile za uzamivu? wanadanganya kila kitu ili mradi waonekane ni bora. They only aim political popularity tu.

na kwa mradi huu mr. nyepesi hawezi kuibuka kulisemea, maana ugolo wake umekamatwa.

aliwahi kusema yeye ni founder wa JF, so always yuko connected kuangalia wananchi wasema nini. hivyo naamini amesikia wito wa wana JF, aje atujibu imani yetu iongezeke
 
Hapo nilipoweka nyekundu, unataka ithibitike mara ngapi? wakati wewe mwenyewe umekiri kuwa hili ni kweli.
Una maana kama jimbo lako limefaidika wewe hujafaidika binafsi? kwani huo msaada aliuomba nani kwa Barrick? na nani aliwapa anuani za kupeleka huo msaada huko jimboni kwako? Kwa nini wasipeleke kabla hujaanza kukemea mikataba na wapeleke huo msaada baada ya wewe kupiga kelele?

Halafu unasema utawajibika ikithibitika na ilhali imeshathibitika kuwa umefaidika jimboni kwako. Na wewe ndio mbunge wa hilo jimbo lako. Kwanini usiwajibike ukapisha uchunguzi wa kina ili ujisafishe? Ithibitike nini zaidi ya hivi?

Mama,mbona mshari sana?anasema kama ikithibika amejinufaisha yeye binafsi.Kama unashindwa kuelewa hata hilo kaulize jukwaa la lugha.Uwezo wako wa kuelewa mambo unatia shaka.
 
@ Zitto
  • Hii mikataba mipya are they the best we can get au hata yenyewe inaweza ikawa better zaidi for the benefit of the people.. (are we at the win win situation yet..!!!!)
  • Je hakuna njia ya kuweza kuwabana hawa ambao walishasign mikataba ili na wenyewe waendane na hizi new laws
  • Pia nadhani hizi accusations zimekuja sababu watu wanaona kwamba hauko vocal kama zamani.., (na wewe unasema kwamba umekuwa mkubwa na sio mtu wa maneno kama zamani)... Je unadhani this is more effective..., sababu bila kuwa Vocal sidhani kama issue za Buzwagi zingefanikiwa..., (pia nadhani there is a lot of things which we need to be vocal about)...
  • Pia wanasema kwamba "Mpe Mchawi Akulele Mtoto..." Je kwa wewe kusaidia kudraft hizi new laws...Je imefanya kuwa vigumu kwako ku -critize jambo lolote baya kama lipo kwenye hizi new laws....?, Sababu you are now the part of the people ambao wametuletea hizi Laws (au these laws are now water tight.... the best they can be...?)
 
...............................
Mwaka 2008 na kisha mwaka 2011 niliwasilisha muswada binafsi Bungeni kuhusu sheria ya maadili ya viongozi. Moja ya jambo ninalopendekeza ni hili la kutangaza misaada tunayopata kwa ajili ya majimbo yetu (transparency).
Napenda kuwahakikishia kuwa nimejifunza katika mjadala huu na siku za usoni nitakuwa makini zaidi katika suala kama hili.
JF ya mijadala ya aina hii (ukiachana na wachangiaji wachache wenye kuleta masuala ya uwongo na uzushi) ndio JF tuliyoiunda. This public scrutiny shall extended to actions and inactions of many of us holding public offices. It shall go to NGOs receving donations from various corporations as well. Kuna kuna maswali zaidi nipo tayari kuyajibu.

Nimeyapenda majibu yako. Wish wanasiasa wote wagekuwa sio tu wanaiga mfano wa communication kama huu. Endelea kuhakikisha Kigoma inapiga hatua lakini kuwa smart

Big up sana mkuu
 
Mkuu wangu hata kama... Kwa Usd 10,000 sidhani kama Zitto mwenyewe alishindwa kuzipata. Hata kwa kupitia Mabillioni ya JK mbunge unaweza kucheza nazo zikaenda kuboresha shule zako. na ikija julikana ulifuja fedha ya JK, wananchi watakupa support zaidi kwa ujasiri uloufanya kuwekeza fedha hizo ktk elimu, lakini hii ya Barrick kusema kweli wakati mwingine mkuu wangu Zitto hufanya maamuzi ya ajabu sana hasa naposikia kwamba ni yeye aliyekwenda kuomba msaada Barrick..Ni kwa njia hizi za misaada Kina Jeetu Patel na Rostam huwakaweka mfukoni viongozi wa serikali..Na Zitto kama anategemea kuwa rais huko mbele ni muhimu afahamu hata nchi za magharibi hutumia misaada kama hii kuwaweka kibindoni marais wa nchi maskini.
Mkandara una ajenda nzito sana iliyojificha moyoni mwako kuhusu issue hii. Ni wewe uliyeomba msaada wa JF kuchangia hebu baki neutral kwanza. mtunzi wewe , mwimbaji wewe, keyboard wewe, manyanga wewe, hapana hapana nakataa. let other part play the game. Mabilioni ya JK yalikuwa kuwasaidia wajasiriamali ili kufikisha idadi ya ajira milioni moja. Tena kupitia benki zetu. Halmashauri itakopaje fedha hizo? NO! WHAT I SEE IS 2015 PRESIDENTIAL RACE. MTAUANA BURE MA NDUGU ZANGU. THAT IS HOW POLITICS PLAYED.
 
An extract from ABG CSR REPORT

Below is a sample list of projects that have received funding from ABG2009-2010 even though they fall outside of our impact areas.

"ABG community development funding is structured to primarily support social development in host communities. However, we do make considerations for developmental initiatives that are a priority to Tanzania's national development strategy. For example project that fall into the broad development priorities such as education and health have been our key focus areas "


*****************************************
PROJECT FUNDING
ABG’s community development is structured to primarily support social development in host communities. However considerations will be made for developmental initiatives that are important to Tanzania’s national development strategy.
  • Funding of community projects focuses on but is not limited to health, education, environment, water and sanitation, skills development and training.
  • These focus areas are consistent with national development priorities (MKUKUTA) and the Millennium Development Goals (MGD’s).
  • Below are a list of projects outside of our impact areas that have received support from ABG.

ORGANIZATION PROJECT AMOUNT
Vice President’s officeAfrican Environment Day 2010Tshs 20,000,000
IGP’s officeSenior police officers conference on the 22[SUP]nd[/SUP] - 24[SUP]th[/SUP] Feb 2010 held in DodomaTshs 10,000,000
Chunya DistrictAssistance to construct girls hostel in Chunya DistrictTshs 5,000,000
Kinondoni Municipal Council( Masaki sub ward)Greening project for Masaki sub ward under the local government environmental project initiative coded MasakiTshs 6,000,000
Bunda DistrictBunda District soccer tournamentTshs 10,000,000
Tanzania Education Development AssociationAssistance to support TEDA for purchasing roofing sheets for several disadvantaged school.Tshs 15,000,000
World Economic ForumHosting of the world economic forum in AfricaTshs 25,000,000
Tanzania Tennis AssociationSupport Tennis tournaments for primary schools in MwanzaTshs 20,000,000
Engineers Registration BoardWorkshop for engineers Annual Day, in-kind support in form of laptops for the four best engineering student from the university of DSMUSD 4800
Tanzania Tennis AssociationTennis coach Ramadhan Jerani for participation in the 7[SUP]th[/SUP] ITF African regional coaches’ conference to be held in Pretoria.(Air ticket, accommodation and pocket money)USD 1500
Former District Commissioners Forum(FODICO)A proposal for rehabilitation of Mwisenge primary and secondary school in Musoma.Tshs 20,000,000
The Association of Independent food security monitors (IFOSEMO), Coast RegionA proposal of a construction of a grain storage facility for Coast Region.Tshs 15,000,000
The Institute of Engineers TanzaniaTechnical Division of Workshop in MwanzaTshs 6,000,000
Femina HIPSponsorship to the production of femina magazine for secondary school submitted by Femina HIPTshs 13100
CCBRTConstruction for a maternity ward at CCBRT Dar es Salaam RegionTshs 25,000
FODICO, Dar es SalaamA proposal to conduct s six months broad based campaign to educate and sensitize against female circumcision.USD 15,000
National Museum of TanzaniaSponsorship proposal on photo on Northen circuit for a permanent ecological exhibitionUSD 4200
CHANETASupporting Netball initiativeTshs 6500,000
Lucy’s Hope Centre for Orphans.An out reach project to help orphans and other vulnerable children in Cost and dar es Salaam RegionsUSD 20,000
The United Republic of TanzaniaDonation for Mwaisenge orphanage and elderly centre in Mara RegionUSD 10,000


Children’s Book ProjectPan Africa Reading for all Conference.USD 20,000.00
CEO Roundtable-TanzaniaFundraising for CEO Scholarship Fund Trust-2009USD 3000.00
DISL’s 2009 Youth camp in Dar es SalaamCorporate Sponsorship Commitment for Youth Camp.USD 7000.000
Tanzania House of TalentInvestment in music equipment, salary for music teachers and rehabilitation of centre in Dar es Salaam.Tshs 30,000,000
 
Back
Top Bottom