Kweli mnataka huyu Kabwe awe rais? ni ME ME ME only akiwa Rais atakanyaga wengi kweli ndio tutaona his true colors
Kila kitu ni yeye amefanya; BOT ni yeye; BUNGE KURA ni YEYE; KUONGEA na Kikwete ni YEYE; kila kitu ni yeye
Ni Kidicketa kidogo tunakianzisha hapo.
binafsi sina imani na bwana zito, mara mia nitamsapoti hata shibuda nijue moja kwamba nimelamba garasha.
Sema "ninavyojua mimi" siyo tunachojua.mtasema sana ki kibaraka kwa propaganda zinazofanwa na tanzania daima gazeti la mbowe na haya ndo matokeo yake ila tunachojua chadema hakuna makini kama ZITTO
Nnachompenda Zitto,ni kutokuwa mnafiki,alisema posho hataki na kweli hataki.angalia wengine wanakataa gari kwa waandishi wa habari,nyuma ya pazia wanachukua,wanasema jukwaani fulani fisadi,anamfukuza mtu kwa kushindwa kumlipa mke wake sh 10ml.Huyu bwana hakuna asiyejua kuwa ni kibaraka wa CCM! Anatumika kuivuruga CDM kwa maslahi ya mafisadi wa chama cha mapinduzi!sasa hivi ana utajiri unaotia mashaka wengi!
Na ukweli ni kwamba ni mmoja kati ya viongozi wawili tu wa chadema ambae hakutokea ccm baada kukosa nafasi kwenye kura za maoni za ubunge...!mtasema sana ki kibaraka kwa propaganda zinazofanwa na tanzania daima gazeti la mbowe na haya ndo matokeo yake ila tunachojua chadema hakuna makini kama ZITTO