Nimeamini Simba jike hata awe mkali vipi, atazaa tu.
Kumbe Faiza alikua haonekani hapa JF sababu ya kulea mimba??
Soon utasikia MAMA POROJO kazaa na J. J. Mnyika!!!
She is too busy with politics...after all I guess she's too bossy!!
"SASHA-DESDERIA" jina gali hilo,mwite mtoto majina yetu asili Ndimbwelu
Mbunge wa MBEYA MJINI,MH.JOSEPH MBILINYI,jana amebarikiwa kupata mtoto wa kike alompa jina la SASHA-DESDERIA,na mama wa mtoto huyo anaitwa FAIZA..
View attachment 66551
Hakuna mwanamke asiyependa mtoto jamani huwezi jua ana matatizo gani
Labda mtoto hapatikani
usione mtu ana kaa kimya moyoni anaugulia
Wanafanana sana! Hongera sugu!