Mh Slaa apanda chati na avunja Rekodi

Mh Slaa apanda chati na avunja Rekodi

Zawadi Ngoda

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2009
Posts
4,367
Reaction score
2,404
Zikiwa zimasalia Takriban wiki mbili na ushehe mpaka uchaguzi mkuu, Mh Slaa ameweza kujikongoja toka 4% tar 5.9 mpaka 12% tar 7.10. Kwa kupata 12% amefunja rekodi ya wagombea wote wa urais wa CHADEMA katika chaguzi zilizopita. Haya ni maendeleo makubwa sana kwa Chama hicho, yanayostahili pongezi.

Licha ya kuvunja rekodi ya Chama chake, lakini kiwango hicho bado hakitoshi kumuingiza Ikulu. Hata hivyo ninahakika kabisa kuwa safari hii CHADEMA imesikika mbali zaidi, pengine mpaka 50% ya vijiji vya Tanzania. Kwa ushujaa huu wa Mh Slaa utakiwezesha Chama kupata wabunge wengi kati ya 12%-15% ya wabunge wote wa Tanzania. Huu ni ushindi kwa CHADEMA na ni ushindi kwa upinzani.

Tatizo litalojitokeza baada ya uchaguzi ni kuvunjwa moyo kwa wapenzi wa Chama hicho, kutokana na vyombo vya habari kutoa matumaini makubwa sana kuliko hali halisi. Kwa maana hiyo pamoja na kazi nzuri ya Mh Slaa ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa Wabunge na kujulikana kwa chama, wapenzi wao hawatayaona hayo kama ni maendeleo au ushindi bali ni kinyume chake. Hii ni hatari sana kwa chama maarufu cha upinzani kujihakikishia uhai wake baada ya uchaguzi.

Ushauri wangu kwa vyombo vyote vya habari vinavyoiunga mkono CHADEMA kutopika takwimu na badala yake kuandika hali halisi. Kwa mfano hakuna hata siku moja vyombo hivyo vya habari vimeeleza kinaga naga ni maeneo gani Mh Slaa hana umaarufu kabisa.
Chaguo ni lenu kujenga chama au kubomoa.
 
kumbe ndo maana ukapewa jina la zawadi..kwa hiyo sishangai hata kwa hizi comment zako..Wewe uko CCm na mgombea wenu anshinda kwa kishindo sasa unawashwa nini..kaa utulie
 
We ni mnafiki, labda unapokea masalia toka kwenye ufisadi!
 
Zikiwa zimasalia Takriban wiki mbili na ushehe mpaka uchaguzi mkuu, Mh Slaa ameweza kujikongoja toka 4% tar 5.9 mpaka 12% tar 7.10. Kwa kupata 12% amefunja rekodi ya wagombea wote wa urais wa CHADEMA katika chaguzi zilizopita. Haya ni maendeleo makubwa sana kwa Chama hicho, yanayostahili pongezi.

Licha ya kuvunja rekodi ya Chama chake, lakini kiwango hicho bado hakitoshi kumuingiza Ikulu. Hata hivyo ninahakika kabisa kuwa safari hii CHADEMA imesikika mbali zaidi, pengine mpaka 50% ya vijiji vya Tanzania. Kwa ushujaa huu wa Mh Slaa utakiwezesha Chama kupata wabunge wengi kati ya 12%-15% ya wabunge wote wa Tanzania. Huu ni ushindi kwa CHADEMA na ni ushindi kwa upinzani.

Tatizo litalojitokeza baada ya uchaguzi ni kuvunjwa moyo kwa wapenzi wa Chama hicho, kutokana na vyombo vya habari kutoa matumaini makubwa sana kuliko hali halisi. Kwa maana hiyo pamoja na kazi nzuri ya Mh Slaa ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa Wabunge na kujulikana kwa chama, wapenzi wao hawatayaona hayo kama ni maendeleo au ushindi bali ni kinyume chake. Hii ni hatari sana kwa chama maarufu cha upinzani kujihakikishia uhai wake baada ya uchaguzi.

Ushauri wangu kwa vyombo vyote vya habari vinavyoiunga mkono CHADEMA kutopika takwimu na badala yake kuandika hali halisi. Kwa mfano hakuna hata siku moja vyombo hivyo vya habari vimeeleza kinaga naga ni maeneo gani Mh Slaa hana umaarufu kabisa.
Chaguo ni lenu kujenga chama au kubomoa.


Hii ndiyo IT department ya CCM kama tulivyosikia na sasa isha fika mpaka JF??
 
Uchambuzi wako unaonekana ni sahihi,ila naona upande wa wabunge Chadema itapata takriban 30% ya wabunge wa kuchaguliwa.Hatua hii itakifanya kuwa kiongozi wa wapinzani bungeni.
Pamoja na expectation kubwa kuwa ni kigezo cha wao kukata tamaa,hapo nasema no ila nafikiri kuwa hii itakuwa changamoto ya kuchukua madaraka mnamo 2015.
 
Hii ndiyo IT department ya CCM kama tulivyosikia na sasa isha fika mpaka JF??
Tena nimesikia mtoto wake amefungua IT mitaa ya upanga kwa ajili ya kuvuruga matokeo yatakapokuwa yakitumwa kutoka mikoani ili kutoa ushindi kwa chama fisadi!

NNACHO SEMA OGOPA NGUVU YA UMMA, HAWATAFUA DAFU. KWANI MI KILA NIKIMHOJI NINAYE KUTANA NAYE ANASEMA TUNACHO TAKA NI MABADILIKO NA SI VINGINEVYO!
 
Ushauri wangu kwa vyombo vyote vya habari vinavyoiunga mkono CHADEMA kutopika takwimu na badala yake kuandika hali halisi. Kwa mfano hakuna hata siku moja vyombo hivyo vya habari vimeeleza kinaga naga ni maeneo gani Mh Slaa hana umaarufu kabisa.
Chaguo ni lenu kujenga chama au kubomoa.

Ushauri huu ungeanza kuwafikia REDET na SYNOVATE kabla ungesaidia sana
 
Zikiwa zimasalia Takriban wiki mbili na ushehe mpaka uchaguzi mkuu, Mh Slaa ameweza kujikongoja toka 4% tar 5.9 mpaka 12% tar 7.10. Kwa kupata 12% amefunja rekodi ya wagombea wote wa urais wa CHADEMA katika chaguzi zilizopita. Haya ni maendeleo makubwa sana kwa Chama hicho, yanayostahili pongezi.

Licha ya kuvunja rekodi ya Chama chake, lakini kiwango hicho bado hakitoshi kumuingiza Ikulu. Hata hivyo ninahakika kabisa kuwa safari hii CHADEMA imesikika mbali zaidi, pengine mpaka 50% ya vijiji vya Tanzania. Kwa ushujaa huu wa Mh Slaa utakiwezesha Chama kupata wabunge wengi kati ya 12%-15% ya wabunge wote wa Tanzania. Huu ni ushindi kwa CHADEMA na ni ushindi kwa upinzani.

Tatizo litalojitokeza baada ya uchaguzi ni kuvunjwa moyo kwa wapenzi wa Chama hicho, kutokana na vyombo vya habari kutoa matumaini makubwa sana kuliko hali halisi. Kwa maana hiyo pamoja na kazi nzuri ya Mh Slaa ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa Wabunge na kujulikana kwa chama, wapenzi wao hawatayaona hayo kama ni maendeleo au ushindi bali ni kinyume chake. Hii ni hatari sana kwa chama maarufu cha upinzani kujihakikishia uhai wake baada ya uchaguzi.

Ushauri wangu kwa vyombo vyote vya habari vinavyoiunga mkono CHADEMA kutopika takwimu na badala yake kuandika hali halisi. Kwa mfano hakuna hata siku moja vyombo hivyo vya habari vimeeleza kinaga naga ni maeneo gani Mh Slaa hana umaarufu kabisa.
Chaguo ni lenu kujenga chama au kubomoa.

Best unaongea kama wale wa Magogoni. Hata mkichoma kwa hila safari hii 2015 tutakutana tena, no surrender!!
 
Ushauri wangu kwa vyombo vyote vya habari vinavyoiunga mkono CHADEMA kutopika takwimu na badala yake kuandika hali halisi. Kwa mfano hakuna hata siku moja vyombo hivyo vya habari vimeeleza kinaga naga ni maeneo gani Mh Slaa hana umaarufu kabisa.
Chaguo ni lenu kujenga chama au kubomoa.
kisonge-zanzibar, donge, kibanda maiti, mchambawima, kumakunduchi
 
Uchambuzi wako unaonekana ni sahihi,ila naona upande wa wabunge Chadema itapata takriban 30% ya wabunge wa kuchaguliwa.Hatua hii itakifanya kuwa kiongozi wa wapinzani bungeni.
Pamoja na expectation kubwa kuwa ni kigezo cha wao kukata tamaa,hapo nasema no ila nafikiri kuwa hii itakuwa changamoto ya kuchukua madaraka mnamo 2015.
Hakuna mtanzania yeyote anayengoja waingie 2015 tunataka mwaka huu 2010 soma alama za nyakati
 
Zikiwa zimasalia Takriban wiki mbili na ushehe mpaka uchaguzi mkuu, Mh Slaa ameweza kujikongoja toka 4% tar 5.9 mpaka 12% tar 7.10. Kwa kupata 12% amefunja rekodi ya wagombea wote wa urais wa CHADEMA katika chaguzi zilizopita. Haya ni maendeleo makubwa sana kwa Chama hicho, yanayostahili pongezi.

Licha ya kuvunja rekodi ya Chama chake, lakini kiwango hicho bado hakitoshi kumuingiza Ikulu. Hata hivyo ninahakika kabisa kuwa safari hii CHADEMA imesikika mbali zaidi, pengine mpaka 50% ya vijiji vya Tanzania. Kwa ushujaa huu wa Mh Slaa utakiwezesha Chama kupata wabunge wengi kati ya 12%-15% ya wabunge wote wa Tanzania. Huu ni ushindi kwa CHADEMA na ni ushindi kwa upinzani.

Tatizo litalojitokeza baada ya uchaguzi ni kuvunjwa moyo kwa wapenzi wa Chama hicho, kutokana na vyombo vya habari kutoa matumaini makubwa sana kuliko hali halisi. Kwa maana hiyo pamoja na kazi nzuri ya Mh Slaa ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa Wabunge na kujulikana kwa chama, wapenzi wao hawatayaona hayo kama ni maendeleo au ushindi bali ni kinyume chake. Hii ni hatari sana kwa chama maarufu cha upinzani kujihakikishia uhai wake baada ya uchaguzi.

Ushauri wangu kwa vyombo vyote vya habari vinavyoiunga mkono CHADEMA kutopika takwimu na badala yake kuandika hali halisi. Kwa mfano hakuna hata siku moja vyombo hivyo vya habari vimeeleza kinaga naga ni maeneo gani Mh Slaa hana umaarufu kabisa.
Chaguo ni lenu kujenga chama au kubomoa.

Wezi wa mali za umma shilingi ngapi wametumia kuwavisha umati ule wote zile nguo, magari mangapi yalitumika kuwabeba watu Ruvuma nzima kuwapeleka nyasa na uwanja wa majimaji, wenda wazimu nani atadanganywa sasa wakati wenyeji wanaona kwa macho watu wanasombwa peleka ujinga wenu huko
 
Zikiwa zimasalia Takriban wiki mbili na ushehe mpaka uchaguzi mkuu, Mh Slaa ameweza kujikongoja toka 4% tar 5.9 mpaka 12% tar 7.10. Kwa kupata 12% amefunja rekodi ya wagombea wote wa urais wa CHADEMA katika chaguzi zilizopita. Haya ni maendeleo makubwa sana kwa Chama hicho, yanayostahili pongezi.

Licha ya kuvunja rekodi ya Chama chake, lakini kiwango hicho bado hakitoshi kumuingiza Ikulu. Hata hivyo ninahakika kabisa kuwa safari hii CHADEMA imesikika mbali zaidi, pengine mpaka 50% ya vijiji vya Tanzania. Kwa ushujaa huu wa Mh Slaa utakiwezesha Chama kupata wabunge wengi kati ya 12%-15% ya wabunge wote wa Tanzania. Huu ni ushindi kwa CHADEMA na ni ushindi kwa upinzani.

Tatizo litalojitokeza baada ya uchaguzi ni kuvunjwa moyo kwa wapenzi wa Chama hicho, kutokana na vyombo vya habari kutoa matumaini makubwa sana kuliko hali halisi. Kwa maana hiyo pamoja na kazi nzuri ya Mh Slaa ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa Wabunge na kujulikana kwa chama, wapenzi wao hawatayaona hayo kama ni maendeleo au ushindi bali ni kinyume chake. Hii ni hatari sana kwa chama maarufu cha upinzani kujihakikishia uhai wake baada ya uchaguzi.

Ushauri wangu kwa vyombo vyote vya habari vinavyoiunga mkono CHADEMA kutopika takwimu na badala yake kuandika hali halisi. Kwa mfano hakuna hata siku moja vyombo hivyo vya habari vimeeleza kinaga naga ni maeneo gani Mh Slaa hana umaarufu kabisa.
Chaguo ni lenu kujenga chama au kubomoa.

Tukikibomoa ili CCM isinhde si advantage kwako? Unahangaika nini sasa ndugu yangu tena? Au una wasiwasi?
 
Tunataka mabadiliko mwaka huu na hakuna anayetaka kusubiri mwaka 2015. Jk amepata wakati mgumu kujieleza kwani analiwa na mdudu ufisadi ambaye hathubutu kamwe kutamka habari zake na ameona bora afe na tai shingoni
 
Tunataka mabadiliko mwaka huu na hakuna anayetaka kusubiri mwaka 2015. Jk amepata wakati mgumu kujieleza kwani analiwa na mdudu ufisadi ambaye hathubutu kamwe kutamka habari zake na ameona bora afe na tai shingoni

Mwenzako alisema ukweli juu ya kusubiri mpaka 2015, wewe waleta hasira.

Nikufahamishe kitu kimoja muhimu: Kutaka ni suala moja, kuwa na uwezo ni jingine kabisa. Hata mimi nilitaka CCM waondoke lakini zikiwa zimebakia wiki mbili hali halisi under ground haiwezekani, sijui kwa mapinduzi.

Sasa wanaosema CHADEMA tunasubiri 2015 msiwabeze kwani wameongea haki.
 
Zikiwa zimasalia Takriban wiki mbili na ushehe mpaka uchaguzi mkuu, Mh Slaa ameweza kujikongoja toka 4% tar 5.9 mpaka 12% tar 7.10. Kwa kupata 12% amefunja rekodi ya wagombea wote wa urais wa CHADEMA katika chaguzi zilizopita. Haya ni maendeleo makubwa sana kwa Chama hicho, yanayostahili pongezi.

Licha ya kuvunja rekodi ya Chama chake, lakini kiwango hicho bado hakitoshi kumuingiza Ikulu. Hata hivyo ninahakika kabisa kuwa safari hii CHADEMA imesikika mbali zaidi, pengine mpaka 50% ya vijiji vya Tanzania. Kwa ushujaa huu wa Mh Slaa utakiwezesha Chama kupata wabunge wengi kati ya 12%-15% ya wabunge wote wa Tanzania. Huu ni ushindi kwa CHADEMA na ni ushindi kwa upinzani.

Tatizo litalojitokeza baada ya uchaguzi ni kuvunjwa moyo kwa wapenzi wa Chama hicho, kutokana na vyombo vya habari kutoa matumaini makubwa sana kuliko hali halisi. Kwa maana hiyo pamoja na kazi nzuri ya Mh Slaa ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa Wabunge na kujulikana kwa chama, wapenzi wao hawatayaona hayo kama ni maendeleo au ushindi bali ni kinyume chake. Hii ni hatari sana kwa chama maarufu cha upinzani kujihakikishia uhai wake baada ya uchaguzi.

Ushauri wangu kwa vyombo vyote vya habari vinavyoiunga mkono CHADEMA kutopika takwimu na badala yake kuandika hali halisi. Kwa mfano hakuna hata siku moja vyombo hivyo vya habari vimeeleza kinaga naga ni maeneo gani Mh Slaa hana umaarufu kabisa.
Chaguo ni lenu kujenga chama au kubomoa.

Mpiga miluzi mwingine huyu!

Tumeshawazoea!!

KAribu JF.

DR.SLAA FOR LIFE
 
Mwenzako alisema ukweli juu ya kusubiri mpaka 2015, wewe waleta hasira.

Nikufahamishe kitu kimoja muhimu: Kutaka ni suala moja, kuwa na uwezo ni jingine kabisa. Hata mimi nilitaka CCM waondoke lakini zikiwa zimebakia wiki mbili hali halisi under ground haiwezekani, sijui kwa mapinduzi.

Sasa wanaosema CHADEMA tunasubiri 2015 msiwabeze kwani wameongea haki.

Gift, kura za tarehe 31 ndizo zitakazoamua nani achukue dola, sio maneno matupu. Usicheze na nguvu ya umma.
 
slaa.jpg
 
Back
Top Bottom