Mh Slaa apanda chati na avunja Rekodi

kumbe ndo maana ukapewa jina la zawadi..kwa hiyo sishangai hata kwa hizi comment zako..Wewe uko CCm na mgombea wenu anshinda kwa kishindo sasa unawashwa nini..kaa utulie

Ni kosa zawadi kuwa CCM? unaturudisha enzi za chama kimoja. Ndugu hizi ni zama za vyama vingi kila mtu na chama chake. shawishi kwa hoja ili kuwafanya wafuasi wa CCM waingie chadema.
 
Tunataka mabadiliko mwaka huu na hakuna anayetaka kusubiri mwaka 2015. Jk amepata wakati mgumu kujieleza kwani analiwa na mdudu ufisadi ambaye hathubutu kamwe kutamka habari zake na ameona bora afe na tai shingoni

Ukweli ni kwamba vyama vya upinzani vimechelewa kujiandaa katika maeneo ya vijijini,hivyo ushindi kwao ni mgumu katika uchaguzi wa 2010. Ushauri wangu kwa vyama vya upinzani ni kwamba baada ya uchaguzi huu waende wakajipange upya hasa vijijini kwa ajiri ya uchaguzi wa 2015
 
Ukweli ni kwamba vyama vya upinzani vimechelewa kujiandaa katika maeneo ya vijijini,hivyo ushindi kwao ni mgumu katika uchaguzi wa 2010. Ushauri wangu kwa vyama vya upinzani ni kwamba baada ya uchaguzi huu waende wakajipange upya hasa vijijini kwa ajiri ya uchaguzi wa 2015
Vijiji gani unavyovizungumzia wewe, sasa utashangaa idadi kubwa ya wabunge wa upinzani watotoka kwenye majimbo yaliyoko vijijini.
 
Tatizo litalojitokeza baada ya uchaguzi ni kuvunjwa moyo kwa wapenzi wa Chama hicho, kutokana na vyombo vya habari kutoa matumaini makubwa sana kuliko hali halisi. Kwa maana hiyo pamoja na kazi nzuri ya Mh Slaa ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa Wabunge na kujulikana kwa chama, wapenzi wao hawatayaona hayo kama ni maendeleo au ushindi bali ni kinyume chake. Hii ni hatari sana kwa chama maarufu cha upinzani kujihakikishia uhai wake baada ya uchaguzi.

Hongera na njozi zako hizi za kufikirika .... If wishes were gold beggars would ride................
 
Wewe kweli hamna kitu!tafiti mnazifanya chumbani halafu mnataka kuaminisha watu kuwa tafiti hizo ni sahihi,kweli wewe na wenzako ni bure kabisa!
 
Ni kweli kabisa amejitahidi sana ila kwa kifupi kila binadamu ameandikiwa siku ya kufurahi na kuhuzunika katika historia ya mwanadamu hakuna aliyekwisha furahi milele ipo siku atapata huzuni tu kama si mwaka huu au miaka inakuja.

hata hivyo, tusubili kivuitu wa bongo ndo mwamuzi, anaweza akakufanya ukatabasamu au ukakasiraka siku hiyo. usiamini sana hizo asilimia

watu wengi sasa wanamwamko-kupita maelezo kama unadhani utani uliza rafiki zako uliosoma nao ambao wako mikoani. unaweza ukashangaa.
 
zawadi, can u give me zawadi ya nyama ya bata plse...? or Tigo, thanks, when ur ready
i will come soon, why iam sayin this...? maana ww unaweza kutoa kila kitu kama zawadi hata kura yako... soo as ur T**O
 
Mwenzako alisema ukweli juu ya kusubiri mpaka 2015, wewe waleta hasira.

Nikufahamishe kitu kimoja muhimu: Kutaka ni suala moja, kuwa na uwezo ni jingine kabisa. Hata mimi nilitaka CCM waondoke lakini zikiwa zimebakia wiki mbili hali halisi under ground haiwezekani, sijui kwa mapinduzi.

Sasa wanaosema CHADEMA tunasubiri 2015 msiwabeze kwani wameongea haki.

Bored stiff with gabage
 
zawadi, can u give me zawadi ya nyama ya bata plse...? or Tigo, thanks, when ur ready
i will come soon, why iam sayin this...? maana ww unaweza kutoa kila kitu kama zawadi hata kura yako... soo as ur T**O

Zawadi pekee nitayokupa ni kumtambulisha Kikwete kama Rais tena na kumrudisha Ikulu.
 
uchambuzi wako unaonekana ni sahihi,ila naona upande wa wabunge chadema itapata takriban 30% ya wabunge wa kuchaguliwa.hatua hii itakifanya kuwa kiongozi wa wapinzani bungeni.
Pamoja na expectation kubwa kuwa ni kigezo cha wao kukata tamaa,hapo nasema no ila nafikiri kuwa hii itakuwa changamoto ya kuchukua madaraka mnamo 2015.

kumbe kelele zote hizi mpaka na kuiba wake za watu ni ili muje kuwa kiongozi wa upinzani bungeni sasa kwa kuwaweka sawa, kiongozi wa upinzani bungeni sio ccm bali cuf!

sasa kuhangaika kote huko mpaka na kutumia mamilioni ya ruzuku munazopata toka serikali ya ccm kukodi helkopta, na kuanguka bafuni mpaka kuvunjika mkono kwa mhashamu slaa ni ili kuwazidi cuf!

chadema wasitudanganye bwana hawa ni ccm b maana kumbe vita vyao ni dhidi ya cuf wala sio ccm au ufisadi!!!

pumbafu kabisa!!!!!
 
kumbe kelele zote hizi mpaka na kuiba wake za watu ni ili muje kuwa kiongozi wa upinzani bungeni sasa kwa kuwaweka sawa, kiongozi wa upinzani bungeni sio ccm bali cuf!

sasa kuhangaika kote huko mpaka na kutumia mamilioni ya ruzuku munazopata toka serikali ya ccm kukodi helkopta, na kuanguka bafuni mpaka kuvunjika mkono kwa mhashamu slaa ni ili kuwazidi cuf!

chadema wasitudanganye bwana hawa ni ccm b maana kumbe vita vyao ni dhidi ya cuf wala sio ccm au ufisadi!!!

pumbafu kabisa!!!!!

Your thoughts are very shallow
 
Zikiwa zimasalia Takriban wiki mbili na ushehe mpaka uchaguzi mkuu, Mh Slaa ameweza kujikongoja toka 4% tar 5.9 mpaka 12% tar 7.10. Kwa kupata 12% amefunja rekodi ya wagombea wote wa urais wa CHADEMA katika chaguzi zilizopita. Haya ni maendeleo makubwa sana kwa Chama hicho, yanayostahili pongezi.

Licha ya kuvunja rekodi ya Chama chake, lakini kiwango hicho bado hakitoshi kumuingiza Ikulu. Hata hivyo ninahakika kabisa kuwa safari hii CHADEMA imesikika mbali zaidi, pengine mpaka 50% ya vijiji vya Tanzania. Kwa ushujaa huu wa Mh Slaa utakiwezesha Chama kupata wabunge wengi kati ya 12%-15% ya wabunge wote wa Tanzania. Huu ni ushindi kwa CHADEMA na ni ushindi kwa upinzani.

Tatizo litalojitokeza baada ya uchaguzi ni kuvunjwa moyo kwa wapenzi wa Chama hicho, kutokana na vyombo vya habari kutoa matumaini makubwa sana kuliko hali halisi. Kwa maana hiyo pamoja na kazi nzuri ya Mh Slaa ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa Wabunge na kujulikana kwa chama, wapenzi wao hawatayaona hayo kama ni maendeleo au ushindi bali ni kinyume chake. Hii ni hatari sana kwa chama maarufu cha upinzani kujihakikishia uhai wake baada ya uchaguzi.

Ushauri wangu kwa vyombo vyote vya habari vinavyoiunga mkono CHADEMA kutopika takwimu na badala yake kuandika hali halisi. Kwa mfano hakuna hata siku moja vyombo hivyo vya habari vimeeleza kinaga naga ni maeneo gani Mh Slaa hana umaarufu kabisa.
Chaguo ni lenu kujenga chama au kubomoa.

9254630.gif
 
zikiwa zimasalia takriban wiki mbili na ushehe mpaka uchaguzi mkuu, mh slaa ameweza kujikongoja toka 4% tar 5.9 mpaka 12% tar 7.10. Kwa kupata 12% amefunja rekodi ya wagombea wote wa urais wa chadema katika chaguzi zilizopita. Haya ni maendeleo makubwa sana kwa chama hicho, yanayostahili pongezi.

Licha ya kuvunja rekodi ya chama chake, lakini kiwango hicho bado hakitoshi kumuingiza ikulu. Hata hivyo ninahakika kabisa kuwa safari hii chadema imesikika mbali zaidi, pengine mpaka 50% ya vijiji vya tanzania. Kwa ushujaa huu wa mh slaa utakiwezesha chama kupata wabunge wengi kati ya 12%-15% ya wabunge wote wa tanzania. Huu ni ushindi kwa chadema na ni ushindi kwa upinzani.

Tatizo litalojitokeza baada ya uchaguzi ni kuvunjwa moyo kwa wapenzi wa chama hicho, kutokana na vyombo vya habari kutoa matumaini makubwa sana kuliko hali halisi. Kwa maana hiyo pamoja na kazi nzuri ya mh slaa ikiwa ni pamoja na kuongezeka kwa wabunge na kujulikana kwa chama, wapenzi wao hawatayaona hayo kama ni maendeleo au ushindi bali ni kinyume chake. Hii ni hatari sana kwa chama maarufu cha upinzani kujihakikishia uhai wake baada ya uchaguzi.

Ushauri wangu kwa vyombo vyote vya habari vinavyoiunga mkono chadema kutopika takwimu na badala yake kuandika hali halisi. Kwa mfano hakuna hata siku moja vyombo hivyo vya habari vimeeleza kinaga naga ni maeneo gani mh slaa hana umaarufu kabisa.
Chaguo ni lenu kujenga chama au kubomoa.


zawadi ndg yangu, wala usiende mbali kujua wapi slaa hana mvuto kabisaaaaaaaaa, kigamboni ni ccm 80% na cuf 18%, vyama vilobaki wamegawana 2%
 
Jamani someni huu waraka wa wenzetu waislam kuhusu uchaguzi mkuu wa tanzania; hivi wana maana gani
Huo waraka umekaa ki-makamba makamba... Uislam na kuwa mwislam maana yake ni kuwa mwadilifu, mtenda haki thus JK na CCM wote ni MAKAFRI na hawastahili kura zetu sisi Waislam. Tutamchagua yule mwenye kujali maskini na mayatima inshaallah...
 
Back
Top Bottom