Tanzania tuna good laws and policy but we lucky good leadership
Fact tupu but good leadership hawapo au hawapo kwenye uongozi?
Tanzania tuna good laws and policy but we lucky good leadership
Sasa angalia yanayotokea Cameroon. Hayo hayo ndiyo CCM inataka kutuletea Tanzania:Mkuu JASUSI yani tanzania tumeshindwa kutengeneza ndege ,magari, computers tushindwe hata kulima? Hii serikali ya magamba haina vision ,wakulima wazawa inabidi wapewe mitaji . Haya mawazo ya kizamani ya kusema mzungu atakuja kuendeleza nchi yetu inabidi tuyafute .kikwete ni janga la kitaifa
African land is being bought up by foreigners at a record paceKwa hili la ardhi inayotumika kuwamali ya Taifa,sikubaliani kabisa. Mimi nashauri katiba itamke wazi kuwaardhi yote inayotumiwa na wazawa kwa sasani mali yao, ila ardhi ambayo haitumiki ndiyo mali ya Taifa.Hili liwekwe katika katiba ili kupunguza kero kubwa ya Watz kuwa kama wakimbizi katika nchi yaonamnukuu,bw,khamisi swedi kagasheki,,,,,,hardhi,,,yote tanzania,ni mali ya bwana mkubwa,rais,hakuna mtanzania yoyote mwenye hati miliki ya hardhi,kuwa mali yake isipokua umilikiswa kwa miaka,36,99,mwisho wa kumnukuu,,sasa kwa maneno haya na kwa katiba hii ya sasa inampa rais dilitu za kutuuza kila anapotaka,wewe huoni anavyo safiri na kaulimbiu yake ni kwenda kutafuta wawekezaji,wanaokuja kupewa maekari ya mashamba,alafu watanzania wanatolewa kama wakimbizi juu ya hardhi yao,watanzania wenzangu tuamke nchi inauzwa kwa kasi ya fasti jet,,,lakwanza ni kupigania hakizetu zinazotaka kuporwa na ccm kwenye mchakato wa katiba,ya sasa,na kuakikisha rais anakua mtumishi na sio mungu mtu,mimi katika maisha yangu sijaona wazungu waki omba omba,misaada kama matonya,na nchi zao hazina utajiri wa rasilimali kama africa,ebu tujiulize wa tanzania tumelogwa na nani,nchi tajiri kama tanzania,bado viongozi wanabeba mabakuli,nchi za nje na kuomba omba kama matonya,haya gesi imeshapatikana,hata wazungu wanatucheka sana kila siku utasikia wawekezaji wawekezaji,uhu ni ujinga wa kufikiriatu kwa serikali ya ccm,
Fact tupu but good leadership hawapo au hawapo kwenye uongozi?
Nishituke nini? Sina cha kushituka coz' kama kushituka, nishashtuka sana nakushangaa wewe unaeshituka leo!!! By the way, nami sina shaka kwamba kilimo chetu hakiwezi kukuzwa na wageni lakini nitakuwa mwehu nikiukana ukweli kwamba hata sisi wenyewe tumeshindwa kukikuza! Ninaposema sisi wenyewe, simaanishi serikali; bali mimi na wewe! Kiasi cha miaka miwili iliyopita nilileta mada hapa JF, kwamba hivi kweli Tanzania tuna ardhi ya kutosha au hatuna akili za kutosha!!?? Nikawaomba wana-JF kila mmoja anitajie ana ekari ngapi za ardhi alizozipata yeye mwenyewe(yaani sio mashamba ya kurithi) kwa juhudi zake!! Niliuliza hivyo huku nikiamini kwamba kupata ardhi Tanzania hakuhitaji mtu kuwa tajiri!!! Na concern yangu hapa ilikuwa kwamba, angalau kila Mtanzania angekuwa na ekari mbili za ardhi, basi suala la kwamba tuna ardhi ya kutosha lisingekuwepo lakini linakuwepo kwavile naamini hatuna akili za kutosha za kuitumia ardhi iliyopo!! Ndugu yangu, wewe una ardhi ekari ngapi?!
Jaribu kuelewa hoja kwa mapana yake...issue hapa si kwamba kila mmoja kuwa mkulima, issue ni namna gani kwamba sisi wenyewe Watanzania tusivyo tayari kwa kilimo!! Huo mfano wa ekari mbili ni kukuonesha ni namna gani Watanzania kwa ujumla wetu tusivyo tayari kwa kilimo na ndio maana no body cares hata hilo suala la kuwa na ardhi!Nikusahishe kuwa kilimo sio anybody's business...ni kutokana na mawazo kama ulionayo wewe ndio maana hatutakaa tufanikiwe kwenye kilimo..kwa maana nyingine wazo lako la kuwa nchi itatoka kwa upande kwa kilimo kwa kila mtu kuwa na vijiheka viwili ni misconception. Kilimo ni profession kama zilivyo profession zingine..siku tukilitambua hilo tutawekeza kama inavyopasa.
Yaani walipoalikwa wamarekani haikuwa kitu, lakini waturuki imekuwa kelele (ukoloni wa kiarabu).Mie nadhani mkuu ungetueleza kiundani zaidi kinachokusumbua.
Ninavyojua mie kilimo chetu ni cha kijima mno, sio mbaya kuachia watu wengine kuja kuekeza.After all ardhi ipo ya kumwaga!